baaasi.. mengine ni porojo tuTunataka katiba mpya
baaasi.. mengine ni porojo tuTunataka katiba mpya
huyu dogo aache upumbavu, yani ni mpumbavu kweli kweli"Kuna watu wanasema eti Dkt. Hussein Mwinyi ameshinda kwa wizi, wanasahau kuwa CCM ni Chama kikubwa, kina mipango, uratibu unaeleweka, atambue msemaji wa hayo amehifadhiwa na kusitiriwa na Serikali ya CCM na sivinginevyo"
"Haiwezekani unahoji leo ushindi wa CCM ukiwa sehemu ya serikali unahudumiwa kwa kila kitu, kula tunakupa sisi, Ving'ora vya kumsafishia njia akitembea tunampa sisi, Nguo ya kuazima......1.
Tatizo lake amekaribishwa ukumbini (sebuleni) analazimisha kuingia chumbani, wanajisahau waache chokochoko, tunataka Wazanzibar waendeleze umoja na mshikamano asiyeweza akae pembeni apishe wengine "- Mwenezi wa CCM Taifa jana Zanzibar
Vyote ambavyo havijawahi shika madarakaKama ccm imechoka, chama gani kina nguvu?
Kala Maharage Ya Wapi??Huyo makamu nadhani mind set yake haijabadilika , Bado ana act kama mwanaharakati na sio kiongozi,
Hata ishu ya masheshe wa uamsho nilishangaa sana comment yake, kwa nafasi yake alikua anahamasisha raia wachangie masheshe anasahau kwamba yeye tayari ni sehemu ya serikali ambao ndio wasimamia sheria. Afadhali angesema hata Kwa kificho ila katoa maoni hayo publicly.
Mchele mchele sana, urojo urojo! Hajawa dona wala kandeHaka kajamaa nasikia tiamaji tiamaji.
Naona "kanamchamba" Makamu1
Mtayashika madaraka Yesu akirudi, endeleeni kuvuta subiraVyote ambavyo havijawahi shika madaraka
Hao wote ni watoto wa baba familia moja"Kuna watu wanasema eti Dkt. Hussein Mwinyi ameshinda kwa wizi, wanasahau kuwa CCM ni Chama kikubwa, kina mipango, uratibu unaeleweka, atambue msemaji wa hayo amehifadhiwa na kusitiriwa na Serikali ya CCM na sivinginevyo"
"Haiwezekani unahoji leo ushindi wa CCM ukiwa sehemu ya serikali unahudumiwa kwa kila kitu, kula tunakupa sisi, Ving'ora vya kumsafishia njia akitembea tunampa sisi, Nguo ya kuazima......1.
Tatizo lake amekaribishwa ukumbini (sebuleni) analazimisha kuingia chumbani, wanajisahau waache chokochoko, tunataka Wazanzibar waendeleze umoja na mshikamano asiyeweza akae pembeni apishe wengine "- Mwenezi wa CCM Taifa jana Zanzibar
Msimstaajibie huyo shaka c msenge tu kwani nani hajui cjui hiyo nafasi nyeti aliipataje .Stupid statement from an authority
ni yaongo ndio vingora sio mali ya ccm wala mshahara sio mali ya ccm upoKwani yaliyosemwa ni ya uongo.