Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 1,914
- 6,033
Shabiki wa Yanga aitwae Jane mkazi wa Bwilingu wilayani Chalinze amefariki dunia wakati akitazama mchezo wa jana kati ya Simba na Yanga.
Inadaiwa marehemu alifikwa na umauti wakati mpira ukiwa umebakiza dakika 10 kumalizika akawa analalamika mbona hawasawazishi ilihali muda unayoyoma.
Basi akapatwa na presha, akaanguka ghafla na hatimaye akapoteza maisha.
Source:
East Africa Radio
Inadaiwa marehemu alifikwa na umauti wakati mpira ukiwa umebakiza dakika 10 kumalizika akawa analalamika mbona hawasawazishi ilihali muda unayoyoma.
Basi akapatwa na presha, akaanguka ghafla na hatimaye akapoteza maisha.
Source:
East Africa Radio