SGR pamejaa dini pendwa?

SGR pamejaa dini pendwa?

Wa Zanzibar walituletea mtu tanganyika akaleta uzuni kwenye familia nyingi. Hatuwaamini tena.
kwani hao wengine kuanzia baba yenu aliyewazaa Laanatullahi Nyerere wameleta nini huku Zanzibar , si watu waliuliwa tokea 1964 na kwengine mpka leo hawajulikani walipo na kwa maelfu wamekimbilia nchi za nje
 
Nyerere alitaifisha shule zote za makanisa ili kobazi waliokuwa wanakataa kupeleka watoto shule wawapele pasina hivyo mpaka leo jiamii ya kobazi ingekuwa na watu wachache sana(bado ni wachache by comparison) waliosoma, colonial era 'ilmu dunyaa' iliyolewa zaidi na makanisa na the other side ilikuwa ni 'ilmu akhera' tu nothing more and nothing less.
Hiyo mikoa uliyoitaja ndiyo Nyerere aliibana mno eti kuweka balance kwa kuwa ndiyo ilikuwa na wasomi wengi, alilazimisha kuweka balance ambayo inaligharimu taifa mpaka leo.
Hii ilikua njia ya kuwadhibiti kobazi wasijenge shule Ili wadhibitiwe kupitia shule za serikali, ndiyo maana uhuru hadi 1988 wizara ya elimu ilikua himaya ya kanisa na matokeo ya mitihani ni Siri kama nyeti za mkwe
 
Asee Watanzania ni wabaguzi sana. Binafsi mi ni mkiristo lakini sijawahi kuzingatia kama Kuna idadi kubwa ya watu wa dini flani sehemu flani!
Leo ndo mnaanza kunishangaza ofsini yangu boss wangu ni muislamu but kwa umri wangu sijawahi kusikia akihubiri au kutunyanyasa kwa dini zetu.
Hili linatoka wapi?
Utakua msabato au Anglican, wakatoliki ni wadini kufuru,wao huangalia dini kila sehemu
 
Eti za kutumia akili na nguvu 😂😂

Jamaa akili hawana, halafu nguvu pia hawana, kazi kula urojo vibarazani tu…
 
Hata kama ni wazanzibar kuna shida gani! Mbona mnakua wabaguzi hivyo! Waarabu wabaya, wazanzibari wabaya, Uislamu mnaupiga vita. Ila wazungu na mayahudi ndio watu wazuri hahaaa aise
Kwenye wizi nako kuna dini Mkuu? Wizi hauna dini usijidanganye. Kama watu wametafutiwa kazi wacha mambo yaende tu. Lakini uadilifu kazini ni sheria na sio dini Mkuu. Hakuna wakati hii nchi imepigwa kama wakati wa Mwinyi, Kikwete na sasa Samia. Wakati wa Nyerere, Mkapa na Pombe haikua hivyo
 
Eti za kutumia akili na nguvu 😂😂

Jamaa akili hawana, halafu nguvu pia hawana, kazi kula urojo vibarazani tu…
Lakini ndio wanao ongoza kwa kulipa kodi na kwa utajiri,

Waangalie Mo Dewji,Bakhresa,GSM na wengine,

Wewe mwenye akili na usiyekula urojo unawazidi nini hao?
 
Kwa kuwa ni watanzania hakuna shida,Cha msingi wasihudumie abiria kwa misingi ya ndugu yake katika Imani yake
 
Back
Top Bottom