Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,470
- 13,621
Aisee pamejaa jamaa zetu kama wote(kuanzia ukaguzi, tiketi na wahudumu) kasoro zile kazi za kutumia akili na Nguvu ndo huwakuti. Eeh Mola tunusuru waja wasitudhuru
Kumbe mpo serious hivi kuchunguza. Nikupe task nyingine ingia taasisi zote nchini ulete takwimu kati ya Muslim na Christians. But usiende mbalimbali hapo hapo SGR leta takwimu kati ya hayo mawili.
Unfortunately mmezoea privilege sana for years kiasi ambacho mkiona mtu ana operate nje ya system mliyo izoea au kuleta usawa mnaona kama mnaonewa.
Nitawapa mfano binafsi kuna taasisi nilikua nafanya kazi ile taasisi more than 95% ni Christians na maisha yalikua poa tu jumla tulikua 124. Akaja mkuu mpya ambae ni Muslim na wakaja waajiriwa wapya watano katika hao wao watatu walikua Christians na wawili Muslims ila katika hao Christians watatu mmoja alikua na jina la Kiislamu anaitwa Fadhil na Surname ya Ukoo ila ni Mkristo. Oya milio ilikua mingi sana hapo ndani ya taasisi huyu jamaa ni mdini kaanza kazi tu kashaanza kuleta Waislamu wenzie.
Wakristo mlishazoea kuona Christians katika sehemu fulani kiasi kwamba mkiona Sura tofauti mnahisi kama mnaonewa.
So ndugu mleta uzi hiyo assignment niliyokupa hapo ifanye kwa umakini. Then nikuulize ni kua unataka haki au unapenda mfumo ubaki kama ulivyokua.?
Unfortunately mmezoea privilege sana for years kiasi ambacho mkiona mtu ana operate nje ya system mliyo izoea au kuleta usawa mnaona kama mnaonewa.
Nitawapa mfano binafsi kuna taasisi nilikua nafanya kazi ile taasisi more than 95% ni Christians na maisha yalikua poa tu jumla tulikua 124. Akaja mkuu mpya ambae ni Muslim na wakaja waajiriwa wapya watano katika hao wao watatu walikua Christians na wawili Muslims ila katika hao Christians watatu mmoja alikua na jina la Kiislamu anaitwa Fadhil na Surname ya Ukoo ila ni Mkristo. Oya milio ilikua mingi sana hapo ndani ya taasisi huyu jamaa ni mdini kaanza kazi tu kashaanza kuleta Waislamu wenzie.
Wakristo mlishazoea kuona Christians katika sehemu fulani kiasi kwamba mkiona Sura tofauti mnahisi kama mnaonewa.
So ndugu mleta uzi hiyo assignment niliyokupa hapo ifanye kwa umakini. Then nikuulize ni kua unataka haki au unapenda mfumo ubaki kama ulivyokua.?