SGR pamejaa dini pendwa?

SGR pamejaa dini pendwa?

Aisee pamejaa jamaa zetu kama wote(kuanzia ukaguzi, tiketi na wahudumu) kasoro zile kazi za kutumia akili na Nguvu ndo huwakuti. Eeh Mola tunusuru waja wasitudhuru
Kumbe mpo serious hivi kuchunguza. Nikupe task nyingine ingia taasisi zote nchini ulete takwimu kati ya Muslim na Christians. But usiende mbalimbali hapo hapo SGR leta takwimu kati ya hayo mawili.

Unfortunately mmezoea privilege sana for years kiasi ambacho mkiona mtu ana operate nje ya system mliyo izoea au kuleta usawa mnaona kama mnaonewa.

Nitawapa mfano binafsi kuna taasisi nilikua nafanya kazi ile taasisi more than 95% ni Christians na maisha yalikua poa tu jumla tulikua 124. Akaja mkuu mpya ambae ni Muslim na wakaja waajiriwa wapya watano katika hao wao watatu walikua Christians na wawili Muslims ila katika hao Christians watatu mmoja alikua na jina la Kiislamu anaitwa Fadhil na Surname ya Ukoo ila ni Mkristo. Oya milio ilikua mingi sana hapo ndani ya taasisi huyu jamaa ni mdini kaanza kazi tu kashaanza kuleta Waislamu wenzie.
Wakristo mlishazoea kuona Christians katika sehemu fulani kiasi kwamba mkiona Sura tofauti mnahisi kama mnaonewa.

So ndugu mleta uzi hiyo assignment niliyokupa hapo ifanye kwa umakini. Then nikuulize ni kua unataka haki au unapenda mfumo ubaki kama ulivyokua.?​
 
Kumbe mpo serious hivi kuchunguza. Nikupe task nyingine ingia taasisi zote nchini ulete takwimu kati ya Muslim na Christians. But usiende mbalimbali hapo hapo SGR leta takwimu kati ya hayo mawili.

Unfortunately mmezoea privilege sana for years kiasi ambacho mkiona mtu ana operate nje ya system mliyo izoea au kuleta usawa mnaona kama mnaonewa.

Nitawapa mfano binafsi kuna taasisi nilikua nafanya kazi ile taasisi more than 95% ni Christians na maisha yalikua poa tu jumla tulikua 124. Akaja mkuu mpya ambae ni Muslim na wakaja waajiriwa wapya watano katika hao wao watatu walikua Christians na wawili Muslims ila katika hao Christians watatu mmoja alikua na jina la Kiislamu anaitwa Fadhil na Surname ya Ukoo ila ni Mkristo. Oya milio ilikua mingi sana hapo ndani ya taasisi huyu jamaa ni mdini kaanza kazi tu kashaanza kuleta Waislamu wenzie.
Wakristo mlishazoea kuona Christians katika sehemu fulani kiasi kwamba mkiona Sura tofauti mnahisi kama mnaonewa.

So ndugu mleta uzi hiyo assignment niliyokupa hapo ifanye kwa umakini. Then nikuulize ni kua unataka haki au unapenda mfumo ubaki kama ulivyokua.?​
Issue ni kwamba Nyerere aliwaaminisha kuwa wao ndio wana haki zaidi na hii Nchi . Ila ukiona mtu yupo sensitive sana ns udini ujue au ubaguzi mara nyingi yeye ndie mbaguzi.
 
Asee Watanzania ni wabaguzi sana. Binafsi mi ni mkiristo lakini sijawahi kuzingatia kama Kuna idadi kubwa ya watu wa dini flani sehemu flani!
Leo ndo mnaanza kunishangaza ofsini yangu boss wangu ni muislamu but kwa umri wangu sijawahi kusikia akihubiri au kutunyanyasa kwa dini zetu.
Hili linatoka wapi?
 
Baada ya kutoa kafara za damu za watanganyika

Nao wana haki ya kumsema na kumkataa kama tunavyomkataa huyo bibi serial killer mumiani mnyonya damu za Watanganyika.
Au kwa sababu ni muislamu, mwanamke na pia ana asili ya kiarabu ndio maana mnamsakama hivyo!! Acheni hivyo, mbona wakati wa magu watu wamekufa, wakati wa mkapa je waislamu wameuawa!!
 
Aisee pamejaa jamaa zetu kama wote(kuanzia ukaguzi, tiketi na wahudumu) kasoro zile kazi za kutumia akili na Nguvu ndo huwakuti. Eeh Mola tunusuru waja wasitudhuru
Enyi wagalatia msio na akili ni nani aliyewa....
 
Kwahiyo kama alivyokuwa Dr Dau na ENI-ESESEFU?
Miaka yote aliyokaa Dau hiyo taasisi wafanyakazi wagala walikuwa wengi kuliko dini nyingine
Kumbe mnamtumia kulipa kisasi. Leo tumejua. Hongera kwa kutetea muuwaji mwenzako. Imekuuma Sana na sasa unatetea muuwaji mwenzako. This will forever stay in our mind. Sasa tunajua sababu ya ndugu zetu kuuwawa.
Kumbe nyie ndio mlianza niliku sijui hilo.
 
Miaka yote aliyokaa Dau hiyo taasisi wafanyakazi wagala walikuwa wengi kuliko dini nyingine. Na hadi tunavyozungumza leo hii

Si kweli enzi za Dau ,wagalatia,watesolonike na wakorontio walikuwa wachache sana ,makobazi na hijabu zilikuwa za kutosha.
 
Huu nao pia ni ugonjwa wa akili,

Mmefikia stage ya kuanza kuchunguzana Dini zenu kwenye maeneo ya kazi!!
Sio ugonjwa tu bali ni CHUKI mradi tu kipatikane cha kusema.
Mimi zamani nilikuwa najiuliza sana hivi kwanini hakuna nabii/mtume alietajwa ima kwenye qur an au bibilia na akawa mweusi?
Nikapata jibu mtu mweusi ni moja ya kiumbe kijinga mno.
Pata picha hoja za kazi kwa maslai ya nchi husika zinahesabiwa kwa udini sasa hao viumbe vichwani ndo akili za kuja kuwa wagunduzi?
 
Au kwa sababu ni muislamu, mwanamke na pia ana asili ya kiarabu ndio maana mnamsakama hivyo!! Acheni hivyo, mbona wakati wa magu watu wamekufa, wakati wa mkapa je waislamu wameuawa!!
Angalia humuhumu JF Jiwe alivyokuwa anapopolewa, Jiwe na Samia wote wauaji tu japo kwenye mauaji ya halaiki Samia ndiyo muhusika. Samia hawezi kunyamaziwa huo uuaji wake eti kwa kuwa ni mwanamke au eti aachiwe na anyamaziwe tu na huo uuaji wake anaowafanyia Watanganyika kwa kuwa ni Muislamu, that will never happen. Huo Uarabu unampa wewe mimi ninachojua Samia ni mbantu, Muislamu na Mzanzibari na hana chembe ya Uarabu ila ni serial killer namba moja tangu taifa la Tanganyika liundwe kwani hata colonial era hatukuwahi kusikia kama kuna massacre of this extent imewahi kufanyika.
Mkapa naye kwa aliyowafanyia Wapemba apopolewe vilevile, kazi kwenu Wapemba.
 
Nyerere alitaifisha shule zote za makanisa ili kobazi waliokuwa wanakataa kupeleka watoto shule wawapele pasina hivyo mpaka leo jiamii ya kobazi ingekuwa na watu wachache sana(bado ni wachache by comparison) waliosoma, colonial era 'ilmu dunyaa' iliyolewa zaidi na makanisa na the other side ilikuwa ni 'ilmu akhera' tu nothing more and nothing less.
Hiyo mikoa uliyoitaja ndiyo Nyerere aliibana mno eti kuweka balance kwa kuwa ndiyo ilikuwa na wasomi wengi, alilazimisha kuweka balance ambayo inaligharimu taifa mpaka leo.
Kutaifisha shule ilikuwa ni kiini macho, kwa maelekezo ya watoto wa kigalatia wapitishwe na wapewe kipaumbele
Kulikuwa na idadi kubwa ya watoto wa kiislamu wenye mafanikio kielimu wakati wa ukoloni kulinganisha na kipindi cha mfumo kiristo wa nyerere.
Kwanini sasa waislamu hawalalamiki kwenye elimu na fursa, ni nyinyi ndio mnalialia kila kukicha?, sababu tokea mfumo kristo ufumuliwe na Kikwete baada malamiko yenye ushahidi yalikutwa na Waziri wa kwanza Elimu tokea kipindi cha Nyerere wakati wa Rais Mwinyi, Waziri Kighoma Malima alikuta madudu ya ajabu wizara ya elimu, na alipoanza kubadilisha akaanzishiwa zengwe mpaka kufa katika mazingira ya kutatanisha.


Huu ndio mfumo kristo, huyu kadinali alikuwa anafanya nini kwenye serikali?
1771069458068.png

1771069495514.png
 
Ila hii ishu ya udini mnaoishadadia mnakua kama vichaa ,,myu apewe kazi kwa merit zake acheni usenge tena ndo akiwa muslim mnaanza sijui kobaz na usenge mwingine....munaua umoja kwa usenge wenu
 
Ila hii ishu ya udini mnaoishadadia mnakua kama vichaa ,,myu apewe kazi kwa merit zake acheni usenge tena ndo akiwa muslim mnaanza sijui kobaz na usenge mwingine....munaua umoja kwa usenge wenu
Hawa wapumbavu wa kigalatia walizoeshwa ujinga na mfumo kristo kuwa ni wa kuwa ni wao tu ndio wafanye kazi serikalini
 
Back
Top Bottom