Sexual tensions.....Kuishinda.....

Sexual tensions.....Kuishinda.....

Simple The Boss hamisha tu hizo tension kutoka kwa target A (panaposhindikanika kutii kiu yako) to target B (panapowezekanika)

Suppose tension yako ipo kwa shemeji/boss/classmate(ambae ndio target A) sasa hamishia kwa wife/gf (ambae ni target B)
Lakini yule unayehamishia sex tension kwake, hutampenda kama yule unayetaka ukate kiu naye,,, I mean matamanio yanamhusu mtu specific siyo wote. Watu hutofautiana kwa umbo, tabia, hulka nk. HIsia kuelekea sex ndicho kinacho matter hapa.
 
Now I get you
Kama ni kazini, inabidi uact kikazi zaidi
Na kupunguza kuwa karibu bila sababu za msingi

Mfano kama ni Mwalimu na mwanafunzi, ni kuepuka kukutana nje ya darasani
Haya nsio mazingira hupelekea kutokea yaliyompata miss strong
Kunakuwa na tension afu huchukui hatua

Kuepuka kukutana sina hakika sana na hilo labda kuepuka kuwa karibu na mtu wa sampuli hiyo.......hasa pale unapoona dalili.
 
Nadhani kuiondoa inabidi ukubali moyoni mwako kua haiwezekani kuitekeleza no matter what. Pia si vizuri kuijadili na wa upande wa pili kwa sababu badala ya kutatua tatizo waweza ongeza tatizo na wakati mwingine huyo unaetaka akusaidie kuishinda aweza sababisha mkashindwa kabisa kulifikia lengo ie akakuangusha au kuleta ugomvi mkubwa na kuzusha yasiyokuwepo.
 
Wataalamu huwa wanashauri njia bora
ya kuepusha balaa kunapokuwa na sexual tension kati ya watu wawili
ni ku avoid kukutana....sasa najiuliza what if huwezi
kuepuka kuonana na mtu huyo,
na tayari kuna sexual tensions kati yenu zimejitokeza

suppose huyo mtu ni boss wako ofisini
au ni shemeji yako mnaishi nyumba moja
au office mate au classmate au mwalimu
na huwezi go on kutekeleza kiu yako ,for some reason huyu hutaweza
hata kama utataka kutii kiu yako

what the best way ya kuishinda sexual tension for two grown ups?


sexual tension ni kumtamani mtu na yule unaemtamani anajua
na yeye probably anakutamani ingawa kikawaida hampaswi au hamuwezi kutekeleza kiu zenu

Mnaongea with an open mind. Kila mmoja lazima afahamu mipaka yake ya kibinaadam.
 
Kuepuka kukutana sina hakika sana na hilo labda kuepuka kuwa karibu na mtu wa sampuli hiyo.......hasa pale unapoona dalili.

eti sampuli hiyo lol
hata wewe unaweza jikuta katika hiyo situation
msome Neylu .........
 
Last edited by a moderator:
Eeeh Mungu niepushie hayo makitu sijui ya tension maana mhhhh!!
 
Bila shaka huu ni mfano, nimesoma mara mbili nikawaza hii ikikupata wewe na ulivyo na macho ya huruma si ni balaa!!
 
Wataalamu huwa wanashauri njia bora
ya kuepusha balaa kunapokuwa na sexual tension kati ya watu wawili
ni ku avoid kukutana....sasa najiuliza what if huwezi
kuepuka kuonana na mtu huyo,
na tayari kuna sexual tensions kati yenu zimejitokeza

suppose huyo mtu ni boss wako ofisini
au ni shemeji yako mnaishi nyumba moja
au office mate au classmate au mwalimu
na huwezi go on kutekeleza kiu yako ,for some reason huyu hutaweza
hata kama utataka kutii kiu yako

what the best way ya kuishinda sexual tension for two grown ups?


sexual tension ni kumtamani mtu na yule unaemtamani anajua
na yeye probably anakutamani ingawa kikawaida hampaswi au hamuwezi kutekeleza kiu zenu
"Ikimbieni Zinaa"
Mi nafikiri njia sahihi ya kushinda hili jaribu Ovu ni kulikataa na kuyaepuka mazingira rafiki ya jaribu hili.
Bcoz unaweza share kwa huyo uliye na tension nae ukiwa na hope kwamba mtaweza pata suluhu sahihi (not to gv in) bt the unlike poles attraction btn two different sex..is of gret magnitude not easily overcomed unless U RUN.
 
The Boss unataka kusema ukimtamani house girl wako na yeye akakutamani ni lazima ulale naye.... jibu unalo?
Kwa miaka ya leo ni ngumu sana aise, tukutane wote kila mtu ana moto na mwenzie halafu tusifanye sijui.


Ivi inawezekana kweli mamamndenyi hata boy wako wa kwanza akakugusa tena na tena hata kama upo kwenye ndoa?
 
Sakapal kasema bora mzungumze ili iwe rahisi kuishinda
sasa ndo nimeuliza wewe ungeweza kuzungumza na mtu kama mume wa dada yako
au ndugu yake?
Hapo kwenye kuizungumza ndio mnaichochea kabisa na mnakuweka mmejifunua kitakochofuata ni historia.Suluhisho ni kukwepana tu hakuna namna hila ni ngumu sometimes unashangaa mmoja anampigia Simu au kumtext mwenzake nakumwambia ukweli apo ndio kuduwaa na kushangaa.Mfano binti kumchukulia mtu kama kaka au ndugu in a long run jamaa anajifunua.Kikubwa ni kuheshimu hisia zake na kumpotezea.
 
Back
Top Bottom