sex before marrige

sex before marrige

kisa cha kukuta bamia na nyanya chungu???????????? me lazima nitest nione yalimo yamo................
uwiiiiiii ndo nyie mkiingia kwenye ndoa eti bwana hakufikishi,,,,,,,, sisikii utamu!!!!!!!!!
ndo maana sapu zipo eeeeenh!!!!! ukifeli mtihani shurti urudie.
Babe wangu uko wapi tuka tukafanye yetu sie tutangaze ndoa!!!!!!!!!!!!!!!

Sasa mbona umebadili msimamo ghafla?!

Kwenye mada yako si umeshauri kina dada wasitest kabla ya ndoa?!
 
Think ingekua rahc kama kungekua hakuna ugal&boy frn na wanaume wangekua wanaoa mapema co mpk wasubiri 30's yrs
 
Sasa ww owa alfu ukute mke ni shemale ndio atakufunza adabu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
wadada napenda kuwashauri kutofanya mapenzi kabla ya ndoa kwa sababu zifuatazo kwanza ni dhambi mbele za mungu pili mwanaume anakudharau hata kukuacha itakuwa si shida kwake tatu watoto wako watarithi tabia yako nilichokisahau naomba uongezee for women advantages


Kuna yalokusibu ww si bure
 
ni dhambi kabla ya ndoa ila ndani ya ndoa haaaa ruksa na MUNGU katoa baraka zake zote.

hii kitu iko very complicated, ni jambo gani jingine ambalo ni dhambi kabla ya ndoa? why sex only?
 
marriage before sex ilikuwa zamani sana enzi hizo unachaguliwa mke wa kuowa,sasa hivi ni sex before marriage uhuru wa kuchagua...
 
wewe ni mtu wa maana sana kwa kweli nimefurahishwa na hii uzi wako
vilevile kuongezea hapo unajihatarishia usalama wako wa maisha pindi unapotaka kuolewakwani ushado sana

halafu heshima na ulimbwende wa usichana wako unapotea kabisa na unakuwa una thamani ya kuwa binti

wadada napenda kuwashauri kutofanya mapenzi kabla ya ndoa kwa sababu zifuatazo kwanza ni dhambi mbele za mungu pili mwanaume anakudharau hata kukuacha itakuwa si shida kwake tatu watoto wako watarithi tabia yako nilichokisahau naomba uongezee for women advantages
 
wewe ni mtu wa maana sana kwa kweli nimefurahishwa na hii uzi wako
vilevile kuongezea hapo unajihatarishia usalama wako wa maisha pindi unapotaka kuolewakwani ushado sana

halafu heshima na ulimbwende wa usichana wako unapotea kabisa na unakuwa una thamani ya kuwa binti

Hili ulilosema unalifata/ulilifata?
 
asilimia 76 ya akili ya mtoto anarithi kwa mama yake kama mama anatabia za ajabu ajabu ujue na watoto wake watakua hivyo hivyo
asante kwa kunielewesha ila kwa nn isiwe asilimia 71,,,,73,,,,,,78.9,,,,,,au hata asilimia 69.001?kuna vigezo gan vya kiasilimia haswa ikizingatiwa ni suala la uumbaji and there is a question of soul?
 
kisa cha kukuta bamia na nyanya chungu???????????? me lazima nitest nione yalimo yamo................
uwiiiiiii ndo nyie mkiingia kwenye ndoa eti bwana hakufikishi,,,,,,,, sisikii utamu!!!!!!!!!
ndo maana sapu zipo eeeeenh!!!!! ukifeli mtihani shurti urudie.
Babe wangu uko wapi tuka tukafanye yetu sie tutangaze ndoa!!!!!!!!!!!!!!!


hivi wewe tinna cute hujui kuwa ndoa ni kuvumiliana na kufundishana kwenye mapungufu!!!!!
:A S 39:
 
Back
Top Bottom