sex before marrige

sex before marrige

.........Hakuna mwanafunzi anayefanya mtihani wa taifa kabla ya kukutana na testi shuleni. Vile vile, ndege haliwi bila ya kunyonyolewa manyoya kwanza.

Kama unataka atayekuoa akukute na Bikra katafute wanaume wa kijijini kwenu huko Mbwinde.
 
Niambie mpaka ndoa lakini uwe bikira. Nisipo ikuta hijarishi nimetoa mahari. nna ku.....
 
Acha upuuz wako ww kama umekosa vya kuandika kakojoe ulale, kwhy n dhambi kwa kina dada tu co watu wote??? Na hao watoto wanaozaliwa wanaridhi mabaya ya mama zao tu alafu mabaya ya baba zao anaridhi nani?? Kuzini n dhambi kwa binadamu wote co wanawake acha ubaguz na upuuz wako peleka facebook
Acha jazba mkuu. Dhambi ni kwa wote, ila unadhani kama wanawake wakibana hao wanaume watawatoa wapi wa kwenda kuwagegeda??!!

Unafikiri ni kwa nini zamani watoto wa kike ndio waliokuwa wanalindwa zaidi? Jibu ni rahisi ukimlinda msichana, mvulana imekula kwake. Halafu kingine ni kuwa wasichana ndio wanawashawishi wanaume kwa kiasi kikubwa. Humu JF kuna nyuzi kibao zimejadili udhaifu wa mwanaume kwa mwanamke. Kwa hiyo utaona kuwa kama wanawake wakibana, wanaume itabidi waoe tu, maana kutakuwa hakuna namna.

Leo hii watu hawaoni haja ya kuoa kiviiile kwa kuwa wakitaka ngono, inapatikana kirahisi sana.

Tafakari, chukua hatua.
 
.........Hakuna mwanafunzi anayefanya mtihani wa taifa kabla ya kukutana na testi shuleni. Vile vile, ndege haliwi bila ya kunyonyolewa manyoya kwanza.

Kama unataka atayekuoa akukute na Bikra katafute wanaume wa kijijini kwenu huko Mbwinde.
Wewe tulia, usimsemee kila mwanaume wa mjini. Kuna wengine wako tofauti na wewe.
 
Huku JF wengi wao ndio wale wale, achana bana we endelea na msimamo wako. Halafu ukitoa ushauri kama huu wanaume lazima wapinge sana maana wanapenda sana kumega bure bure bila kuoa.
 
Ndoa ni process ndefu sio maigizo wala maonyesho!!!!!!!!!!!!!!!! Inatakiwa mpate mda wa kufahamiana vizuri na mwenza wako.......... mojawapo ni huo uzinzi unaouita wewe!!!!!!!!!!!!
Kufahamiana ni lazima mzini?!! Na huo uzinzi hajauita yeye ni dini uliyonayo na hata ukiondoa dini za hapo mashariki ya kati, tamaduni zetu zinakataa uzinzi kabla ya ndoa. Ndio maana bikra ni tunu.

Suala lingine ni kuwa kama unamuamini Mungu basi utakubali kuwa yeye anajua kuliko wewe, sasa kama Mungu kasema usizini wewe unahalalisha kwa kisingizio cha kufahamiana ni bora ukasema kwanza kuwa huna imani na Mungu na unaona anakuzingua tu. Sio leo oooohoo tunajaribiana halafu kesho eti mnaenda kanisani kufunga ndoa mkitaka baraka za Mungu!!!! Hivi huyu Mungu ni babu yenu?!! Halafu sasa ni bora aliyezini na anakubali ni makosa, wewe usivyo na haya unatetea kabisa. Are you seriously questioning God's wisdom and authority???!!!!!!!

Kama unamuamini Mungu hebu mrudie na utubu fasta. Kumbuka ni heri kufanya dhambi na kutambua kosa lako, kuliko kufanya kosa halafu tena juu ya hilo unatetea kosa hilo.
 
Mambo yanaenda salama tu . Nashukuru .
We unaendeleaje ? Naona tunapewa lecture kuhusu
Sex kdbla ya ndoa dahhhh . Hii ngumu ku meza .

Haya waliyaweza wazazi wetu mkuu... Hapa kitakachotokea ni cheating tu... Mwanamke atasema no sex until marriage mwanaume atasema sure... Ila mwanaume ataendelea kufanya yake huko pembeni mpaka siku ya ndoa... Watu hawajajua.. Sex kwa mtu mzima ni kama maji kwa binadamu yeyote
 
Haya waliyaweza wazazi wetu mkuu... Hapa kitakachotokea ni cheating tu... Mwanamke atasema no sex until marriage mwanaume atasema sure... Ila mwanaume ataendelea kufanya yake huko pembeni mpaka siku ya ndoa... Watu hawajajua.. Sex kwa mtu mzima ni kama maji kwa binadamu yeyote
Sio kweli wewe usijumlishe watu wote kwa sababu ya tabia zako bwana. Mtu ukiamua kukaa bila ngono inawezekana kabisa ni uamuzi tu.

Ni akili zenu mmeziendekeza tu ndiyo maana unafikiri hivyo. Kwa hiyo ukifungwa wewe lazima uliwe kiboga au?
 
Yani mboga iende mezani bila kuonja kama chumvi imekolea!!!
 
it seems you have forgotten the saying which goes " curiosity........"

Made the monkey loose its virginity
Acha watu wa loose banaa getting married kwa asie kuplease ya nn??ndo maana Mungu asema tuungame we shall repent n burry our past tuanze new page
 
Duhhhhh kwa hili motoni tutaenda wengi .
Na wewe unadhani Mungu alikuwa hatumi Mitume ili watufundishe adabu? Sa kama unadhani Mungu anafanya utani basi we ngojea tu MOTO, tena moto wakule unapo waka ujuwe umewaka ni lazima iwakusanye wengi sanaaaaa.
 
Sipingani na maandiko.matakatifu ila nina swali ambalo huwa nna jiuliza sipati jibu if SEX was made ONLY FOR MARRIAGES why then we unmarried twapata
 
piga xana mamboz hawa watoto wa kike wana dharau do as you can na ndio dawa yaoooooo!
 
Back
Top Bottom