- Thread starter
- #61
mmmmmh!!!!!piga xana mamboz hawa watoto wa kike wana dharau do as you can na ndio dawa yaoooooo!
mmmmmh!!!!!piga xana mamboz hawa watoto wa kike wana dharau do as you can na ndio dawa yaoooooo!
mh! Hata maandiko yameandika AKUOMBAE UMPE,uchoyo umeanza lini? Halafu SHAKE WELL BEFORE USE umesahau hii kitu?
Sipingani na maandiko.matakatifu ila nina swali ambalo huwa nna jiuliza sipati jibu if SEX was made ONLY FOR MARRIAGES why then we unmarried twapata
hivi ku-sex ni dhambi?
wadada napenda kuwashauri kutofanya mapenzi kabla ya ndoa kwa sababu zifuatazo kwanza ni dhambi mbele za mungu pili mwanaume anakudharau hata kukuacha itakuwa si shida kwake tatu watoto wako watarithi tabia yako nilichokisahau naomba uongezee for women advantages
Vp kuhusu wakaka??? Je, wao wanaruhusiwa kufanya mapenzi kabla ya ndoa???
asilimia 76 ya akili ya mtoto anarithi kwa mama yake kama mama anatabia za ajabu ajabu ujue na watoto wake watakua hivyo hivyo
wadada napenda kuwashauri kutofanya mapenzi kabla ya ndoa kwa sababu zifuatazo kwanza ni dhambi mbele za mungu pili mwanaume anakudharau hata kukuacha itakuwa si shida kwake tatu watoto wako watarithi tabia yako nilichokisahau naomba uongezee for women advantages
Made the monkey loose its virginity
Acha watu wa loose banaa getting married kwa asie kuplease ya nn??ndo maana Mungu asema tuungame we shall repent n burry our past tuanze new page
Zinaa dhambi,japo sijaoa ila mwanamke ntakaemuoa ntamlala usiku wa siku ya kwanza ya ndoa yangu
mkuu, kuna watu wamegeuza kutenda dhambi hii ni fashen/halali. safari ya mbinguni ni ngumu kwa wasioamini.
ndoa nyingi zina matatizo sababu ya kutest. mtu ametestiwa na watu kadhaa then anakutana mwenzake naye alionja na kuonjeshwa hadi anajiogopa. each and everyone will be haunted by the past. My the LORD save us from this deep sea of sin!
Vp kuhusu wakaka??? Je, wao wanaruhusiwa kufanya mapenzi kabla ya ndoa???
mwaya umetoa point shosti...ila kwa hii dunia ilojaa box za condom kila kona!hmmm ngumu kumesa!wadada napenda kuwashauri kutofanya mapenzi kabla ya ndoa kwa sababu zifuatazo kwanza ni dhambi mbele za mungu pili mwanaume anakudharau hata kukuacha itakuwa si shida kwake tatu watoto wako watarithi tabia yako nilichokisahau naomba uongezee for women advantages
Sipingani na maandiko.matakatifu ila nina swali ambalo huwa nna jiuliza sipati jibu if SEX was made ONLY FOR MARRIAGES why then we unmarried twapata