Like mother like father.
Jana tu si alikuwa ikulu? Alienda kufanya nini?
Alichomfanyia Lowasa ndio nayye atakachofanyiwa. MLA HULIWA. Uongo?
sio wawekezaji ni wakandarasi kama walishafika hatua hiyo ya kuwapata wakandarasiHapo wawekezaji walioingia mikataba watakula fedha ya bure kama hii habari ni ya ukweli.
Nyiee watoto wa pwani(watoto mchele mchele) usiipeleke nchi yetu mnavyotaka, mmeibomoa nchi hii kwa kufanya kila kitu usela, sasa mtaisoma namba nyumbu nyieeKujengwa banadari mpya na ya kisasa kupisha bandari ya dar ambayo haina nafasi ni uharibifu?
Hakika shule mlienda kusomea ujinga.
Walikwenda sawazisha fitina za mkwere!Na Mkapa na Warioba siku iliyofuata kiliwapeleka nini?
Mkuu ukijenga bandari bagamoyo bado kutakuwa na mlundikano wa watu katika mikoa hii miwili ambayo kiuhalisia ishajaa, tuijenge kusini na mikoa ya pembeni ili nchi ipanukeeBinafsi Sidhani Kama Ni Busara KUSITISHA UJENZI BANDARI YA DARESALAAM Imeelemewa Saana , Haina Eneo Sioni Dhambi Kujengwa Bandari Bagamoyo Ni Sehemu ya Tanzania Na Ilikuwepo Kwenye Mipango.
Daresalaam Hakuna Sehemu ya Miundombinu.
KUINGIA Bandarini Leo Inachukua Lorry Hata 6 Hours Foleni Baadae Itakuwaje?
Mizigo Ikiingezeka???
Tunafanya Mambo Kwa Hisia Na Chuki Tu.
Daresalaam, Mtwara Ni Tanzania Bagamoyo Ni Tanzania Pia
Bagamoyo no ni apaapa dar tu kwanini hakupeleka mkuranga ckunabahari napo, barabara alizojenga zinatosha banaWatu Wa Ajabu Sana Kwani Akitokea Bagamoyo Maana Yake Bagamoyo MIRADI Isifanyike????
Tuangalie Merits Sio Nani Anatoka Wapi?
Mbona Magufuli Ameanzisha Usanifu wa Daraja Kuvuka Ziwa Victoria BUSISI Akija Rais Mwingine Asitishe??
Mbona JK Alianzisha MIRADI UDOM,MALAGARASI, KIGAMBONI, KILOMBERO Mingi Tu Huko Ni Kwao.
Wanaotizama Kwa Mtazamo Huo Ni WAKABILA TU.
Fedha Hizi Ni Grant Zingejengwa Reli Na Highways Kuelekea Maziwa Makuu Bagamoyo Ni Pori Na Eneo Kubwa DAR Itakuwaje???
Mtaboresha Bandari Msongamano Wa Malori KUINGIA Na Kutoka Port.
Fanyeni Muende Leo Muone Foleni Inaanzia Uwanja wa TAIFA KUINGIA.
Kutoa Unapakia Kutoka Saa 4 Na Zaidi Bagamoyo Tulikuwa Na Option ya Kudesign Tutakavyo.
Nchi Hii Wivu, Cheap Politics Na Uswahili.
Fedha Sio Zetu Wataondoka Wapeleke Kwingine.
Kenya, Uganda Na RWANDA 4 Billion Za Standard Gauge Na 6 Billion Za LAPPSET Wanahangaika Miaka 6 Sasa Nchi 3.
Sisi Tumebahatika SIASA ZA FITNA NA UKABILA Kuliko Mantiki Tunaharibu.
Tutajuta Nipo.
Hakuna namna, heri wale hizo chache hata kama ni bure kuliko riba ya mkopo wa miaka nenda rudi kwa mradi usio na tija. Hiyo ndiyo gharama za kuwa na marais wa pwani pwani. Sitashangaa kesho kuona tena mtu anatoka msoga kwenda Magogoni 'kumshauri' raisHapo wawekezaji walioingia mikataba watakula fedha ya bure kama hii habari ni ya ukweli.
Hizo zilizolala ziamshwe...hapa unaongelea bandari ya kisasa zaidi ya DARWalikwenda sawazisha fitina za mkwere!
Mtwara, Tanga zimelala then unaanzisha bandari kubwa Bagamoyo?
Nimekuelewa sana japo nina mashaka kama wengine watakuelewa. Maana yangu kukuelewa ni kwamba umenipa point muhimu sana pa kuanzia kufikiri badala ya kulaumu au kusifia!Ukiangalia yote haya :wizi bandarini,hii bandari ya Bwagamoyo,kubadilisha mfumo wa form four results utashindwa kuelewa tatizo lilikuwa ni IQ ya jamaa ama tamaa? Ukisema tamaa jee hili la form ni tamaa? watu kujenga hovyo hovyo ni tamaa? Nafikiri kakichwa kajamaa........
I second youwatu tulisema m.kwere iw yake ilikuwa ni level ya udiwani..yeye alichojua ni kupiga dili za pesa tu,hakuwahi kuwapenda watanzania
Hakuna namna, heri wale hizo chache hata kama ni bure kuliko riba ya mkopo wa miaka nenda rudi kwa mradi usio na tija. Hiyo ndiyo gharama za kuwa na marais wa pwani pwani. Sitashangaa kesho kuona tena mtu anatoka msoga kwenda Magogoni 'kumshauri' rais
Mkwere alikuwa bogus sana.Anapaswa kitiwa bakora kabisa