Bora ziliwe kuliko huu uaribifu wa ambao ungetokeaHapo wawekezaji walioingia mikataba watakula fedha ya bure kama hii habari ni ya ukweli.
Bora ziliwe kuliko huu uaribifu wa ambao ungetokeaHapo wawekezaji walioingia mikataba watakula fedha ya bure kama hii habari ni ya ukweli.
Hoja iliyopo hapo eti ni kwa sababu JK katokea bagamoyo....Binafsi Sidhani Kama Ni Busara KUSITISHA UJENZI BANDARI YA DARESALAAM Imeelemewa Saana , Haina Eneo Sioni Dhambi Kujengwa Bandari Bagamoyo Ni Sehemu ya Tanzania Na Ilikuwepo Kwenye Mipango.
Daresalaam Hakuna Sehemu ya Miundombinu.
KUINGIA Bandarini Leo Inachukua Lorry Hata 6 Hours Foleni Baadae Itakuwaje?
Mizigo Ikiingezeka???
Tunafanya Mambo Kwa Hisia Na Chuki Tu.
Daresalaam, Mtwara Ni Tanzania Bagamoyo Ni Tanzania Pia
Bora ziliwe kuliko huu uaribifu wa ambao ungetokea
Bandari ya mwaa kivyake na ile kivyake.
Habari imekaaa kiudaku zaidi na siwezi kuishadidia mpaka nione tamko rasmi la serikali.
Strategically Bagamoyo Port ni better kuliko Dar.
Wewe ni mtaalamu wa mipango?Tatizo la Kikwete uwa hafikirii kitu, yeye hujifanyia jambo bila kuangalia ya mbeleni. Kulikuwa na umihimu gani kujenga bandari ya Bagamoyo?
Like mother like father.Hapo wawekezaji walioingia mikataba watakula fedha ya bure kama hii habari ni ya ukweli.
Kwanini isiwe tanga au mtwara iwe bagamoyo kilomita chache kutoka darKujengwa banadari mpya na ya kisasa kupisha bandari ya dar ambayo haina nafasi ni uharibifu?
Hakika shule mlienda kusomea ujinga.
Kwanini isiwe tanga au mtwara iwe bagamoyo kilomita chache kutoka dar
Na Mkapa na Warioba siku iliyofuata kiliwapeleka nini?Hicho ndio kilimpeleka JK ikulu juzi, thanx Magufuli