Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
Sawa,bado na mafuta
huko hawagusi....kuna uwekezaji binafsi na 10% zao
Sawa,bado na mafuta
Mbona hakuna bei ya kutoka kiwandani na bei ya jumla wholesale?Tangazo halijitoshelezi hiyo bei ni kikomo au ndio bei ya chini?
Wewe hata uandike nini lakini uhalisia uko wazi siku hizi AKILI HAUNA na ni wazi uliokuwa ukiwategemea wakuweke mjini wametumbuliwa na leo MAKAHABA yanatafutwa na kukamatwa kwa hiyo sijui utaishi vipi mjini.Wewe punguani kweli siku zote tabia za mashoga ni kurukia kila jambo swali umeulizwa wewe au unatafuta baasha kwa nguvu.
Ndugu sio unaandika tu ili kujifurahisha uonekane na wewe una akili, kwa sasa mfuko wa sukari Kg.25 kwa bei ya jumla unauzwa tshs. 47,000/= ambayo ni sawa na Tshs. 1,880/= kwa kilo sasa ebu tafakari hicho ulichokiandika unaposhabikia muuzaji wa rejereja auze 1,800/= je ni halali?Hao walikua wanauza kwa ujanja wapate faida kubwa, ila walikua wananunua bei rahisi, hata wakiuza 1800 faida ipo. Hakuna excuse yeyote walizoea kutulangua
Aliekuuzia huo mfuko bei hyo katoa wapi? Hiyo sukari kiwanda gani hapa nchini kimemuuzia kwa bei hyo, tusidanganyane banaNdugu sio unaandika tu ili kujifurahisha uonekane na wewe una akili, kwa sasa mfuko wa sukari Kg.25 kwa bei ya jumla unauzwa tshs. 47,000/= ambayo ni sawa na Tshs. 1,880/= kwa kilo sasa ebu tafakari hicho ulichokiandika unaposhabikia muuzaji wa rejereja auze 1,800/= je ni halali?
Naona ume kremu neno kwa neno!!!Mkuu
Mkuu open market ulisoma wapi??sisi tulifundishwa freemarket
Kwani hiyo sukari ni ya serikali !? ....... upumbavuu !WAFUATILIWE WENGI WANAUZA 2000/- HADI 2200/-.
Labda mkuu sio jambo baya tukieleweshana mim najua freemarket sio open marketNaona ume kremu neno kwa neno!!!
Wewe nafikiri ni kula kulala haujui chochote juu ya maisha yanavyokwenda ni bora ukae kimya usijadili chochote juu ya hili la bei ya sukari kwani hakuna unachokijua.Aliekuuzia huo mfuko bei hyo katoa wapi? Hiyo sukari kiwanda gani hapa nchini kimemuuzia kwa bei hyo, tusidanganyane bana
kasim majaliwa "amewaomba" wafanyabiashara wauze sukari kwa bei elekezi ya 2300!aliyasema hayo janaTumpe Muda Mh. JPM Mambo Yatakaa Sawa Tu Coz Kwa KipindinKifupi Tu Alichokaa Madarakani Hata Mafuta Yameshuka.
Kimsingi Huwezi Kupandisha Au Kushusha Tu Bei Ya Bidhaa Bila Kufanya Utafiti Wa Kina. Unaweza Ukashusha/Kupandisha Ukajikuta Umezidisha Kiwango Upande Mmoja Ukaumia Sana, So Ni Bora Mambo Haya Yakaenda Kwa Polepole Lakn Kwa Uhakika Ili Kuondoa Matatizo Na Malalamiko Kwa Wadau.
MAGUFULI JEMBE, WANAFIKI WANAMCHUKIA LAKIN WANAMKUBALI.
kasim majaliwa amewaomba wafanyabiashara wauze sukari 2300 ili ipatikane kirahisi mwezi huu wa Ramadhani!HAKIKA SASA TUNA SEREKALI MAKINI.
mkuu,umemsikia majaliwa na tamko la bei mpya ya sukari?Kama umesoma vizuri utagundua kuwa kuna watu wanatakiwa kufatilia
ahahaha,ulikuwa sahih4Enzi za kunywa chai ya pipi zinarudi.
Mfuko wa sukari 50kg sasa hivi be ya jumla ni 110000.Bei Ya Sukari Imepanda Tena Hadi Kufikia Tsh 2800/- Serikali Ya Viwanda Ipo Wapi ?