Aisee..! Wewe ni kusifu kila kitu tu, wala hujipi muda wa kutafakari.Safi sana magufuli hapa tumepata bonge la kiongozi viva jpm
Naona ni vita kat ya wafanyabiashara na wateja humu ndani,...hii awamu nyingne mlipoambiwa mtaisoma namba mlifikir mchezo eeh?Haya matamko yatatuponza jamani nahisi wamekurupuka katika hili ninunue mfuko elfu 96000 halafu niuze kilo 1800 hata bei ya sasa ya 2200 ni kama msaada tu kwa raia wenzetu mfuko wa sukari ukianza kupima hizi robo mara nusu sana sana utaambulia kilo 46 mpaka mfuko unaisha na raia walivyowakali sasa anataka mzani ugote chini utadhani muuzaji anakiwanda chake home
Hata Waziri wa Viwanda, amesikika akitamka kwamba sukari inapaswa kuuzwa 2,000/= hadi 2,200/= kwa kilowote wanauza 2000-2500,
Unataka kuniambia EWURA uwa wanatoa bei za kila mkoa?Bei ya mafuta ya mikoani ni kubwa kiasi Fulani kulinganisha na DSM kufidia gharsma za usafirishaji.
Ndugu usijivue akili kwa kupongeza pasipo kutumia angalau akili yako kidogo kufikiri, hilo agizo juu ya kushusha bei ya sukari ni kiini macho kwani hapo wanazungumzia bei ya wauzaji wa rejareja huku wakishindwa au kuacha kwa makusudi kuzungumzia bei ya wauzaji wa jumla. labda nikuambie tu kwa sasa mfuko wa sukari Kg 25 unauzwa Tshs. 47,000/= - 48,000/= kutoka bei ya tshs. 44,500/= sasa huyo anayetoa agizo hilo anawafanya watanzania ni mazuzu kwani anajua wazi yeye ni mnufaika na ongezeka la hiyo bei ya jumla analeta mazingaombwe ya kutoa agizo ya kuwapangia bei wauazji wa reja reja.Tumpe Muda Mh. JPM Mambo Yatakaa Sawa Tu Coz Kwa KipindinKifupi Tu Alichokaa Madarakani Hata Mafuta Yameshuka.
Kimsingi Huwezi Kupandisha Au Kushusha Tu Bei Ya Bidhaa Bila Kufanya Utafiti Wa Kina. Unaweza Ukashusha/Kupandisha Ukajikuta Umezidisha Kiwango Upande Mmoja Ukaumia Sana, So Ni Bora Mambo Haya Yakaenda Kwa Polepole Lakn Kwa Uhakika Ili Kuondoa Matatizo Na Malalamiko Kwa Wadau.
MAGUFULI JEMBE, WANAFIKI WANAMCHUKIA LAKIN WANAMKUBALI.
Duh!! mbona umeuliza swali la kipuuzi kiasi hiki, yaani uwezo wako wa kufikiri umepungua kuliko kawaida kwani ni wazi haufuatilii kabisa suala zima la matangazo ya kupanda au kushuka kwa bei ya mafuta (Fuel).Unataka kuniambia EWURA uwa wanatoa bei za kila mkoa?
Mjinga hashauriki dalas anajuaJe hakuwa na washauri wa uchumi(kiuchumi)?
Mkuu open market ulisoma wapi??sisi tulifundishwa freemarketUmesoma uchumi hata kidogo??
Unaijua kazi ya serikali kwenye open market au una payuka tu??
Mkuu umeongea point sana. Wauzaj reja reja wanauza kulingana na walivyo nunua maduka ya jumla, sasa badala wawabane wauzaj wa jumla wanabana wa rejareja hiv mshaur wao ni nan? Maduka ya jumla yakishusha automatically wa reja reja lazima washusheHaya matamko yatatuponza jamani nahisi wamekurupuka katika hili ninunue mfuko elfu 96000 halafu niuze kilo 1800 hata bei ya sasa ya 2200 ni kama msaada tu kwa raia wenzetu mfuko wa sukari ukianza kupima hizi robo mara nusu sana sana utaambulia kilo 46 mpaka mfuko unaisha na raia walivyowakali sasa anataka mzani ugote chini utadhani muuzaji anakiwanda chake home
Wewe punguani kweli siku zote tabia za mashoga ni kurukia kila jambo swali umeulizwa wewe au unatafuta baasha kwa nguvu.Duh!! mbona umeuliza swali la kipuuzi kiasi hiki, yaani uwezo wako wa kufikiri umepungua kuliko kawaida kwani ni wazi haufuatilii kabisa suala zima la matangazo ya kupanda au kushuka kwa bei ya mafuta (Fuel).
Hao walikua wanauza kwa ujanja wapate faida kubwa, ila walikua wananunua bei rahisi, hata wakiuza 1800 faida ipo. Hakuna excuse yeyote walizoea kutulanguaHOW ABOUT CLOSING STOCK WALIYONAYO WAFANYABIASHARA, AMBAYO BY FIFO NA AVCO IKO VALUED AT 2000/=