Serikali yashusha bei ya sukari mpaka Tsh 1,800/=

Serikali yashusha bei ya sukari mpaka Tsh 1,800/=

Wabongo kwenu hakunaga jema kutwa lawama hata mlambwe makalio ....sasa ww unatakaje kwa mfano?
hebu nikuulize ni vipi cement dar iuzwe elfu 11, mtwara elfu 13 na mwanza elfu 18, basi waweke elfu 13 nchi nzima kuanzia dar hadi tunduma.
 
Kama kuna kuharufu ka kiroba basi UKAWA wameitemea mate!

Umenikera sana, una mawazo ya kijinga kabisa. Changia hoja iliyo mezani hapa, habari za Ukawa hapa zimetokea wapi?..
 
Wabongo kwenu hakunaga jema kutwa lawama hata mlambwe makalio ....sasa ww unatakaje kwa mfano?

Mkuu matusi ya nini hapa!!? Mdau ameulizia ubora hauoni hilo ni jambo jema!!?. Uliwalisha raia wako sumu unafikiri Uchumi wa nchi utaujenga na nani sasa, mbona bidhaa feki mnazitia kiberiti kila mnapo zibaini?. Kama mtu ameona ipo kasoro ni jukumu la Serikali (kama wapo humu) wachunguze kwa sababu tunacho hicho kitengo hivyo unapotukana haujengi taifa lako.....

Jifunze wakati mwingine kupitia jamii nyingine
 
KUONGEA NA KUTIMIZA VITUVIWILI TOFFAUTI
 
Badala ya kujikita kwenye hoja iliyoko mezani unaanza kuleta porojo za kisiasa.

Hoja iliyoko mezani ni price capping ya sukari. Kama unataka tuanze kujadili hoja ulizozileta, fungua Thread/Mada nyingine ili tuanze kujadili.
Soma kichwa cha habari ya mada.
 
Hukonyuma walishasema cement imeshuka 12@lf loh sitakikukumbuka
 
Mfano mfanyabiashara wa kawaida alinunua kiroba kimoja yani kg 25 kwa shilingi 47000/= leo hii auze kwa 1800/= hii sio haki hata kidogo .Walitakiwa wafanye mabadiliko taratibu sio kwa njia hii waliyotumia
 
Wakumbuke lakini na kutoa bei elekezi ya jumla pia,kwa kuwa hapa dsm sukari ya 50kg inauzwa 95,000-94,000 kwa bei ya jumla,sasa ukiuza kwa 1800@kg utapata Tsh 90,000.sasa hiyo itakuwa ni biashara kweli au msaada.
hiyo bei umepigwa........
 
Hapa kuna shida to bei elekezi wakati bei imeshuka, hebu tuangalie ukweli bei ya jumla mfuko ni 91,000/ where on earth utauza kwa 1,800? kwa reja reja?. let be realistic
 
nanusa kuadimika kwa sukari sokoni..Ngoja nikanunue ya kutosha kwa miezi sita niweke nyumbani kwangu
 
Back
Top Bottom