Serikali yashusha bei ya sukari mpaka Tsh 1,800/=

Serikali yashusha bei ya sukari mpaka Tsh 1,800/=

Serikali leo imetangaza viwango vipya vya bei ya sukari nchini vinavyoanza kutumika kuanzia sasa. Kwa mujibu Mkurugenzi wa bodi ya sukari Tanzania Henry Semwanza bei ya rejareja ya sukari sasa itakuwa sh. 1,800 kwa kilo moja


HILI TANGAZO SI LA KWELI KWANI HAJASAINI WALA KUANDIKA KWENYE OFFICIAL LETTER HEAD. MTU KAAMUA KUJIANDIKIA

20160308_113718-1.jpg
 
Je bei hiyo ni kila mkoa na mji au kwa mikoa jirani na Kilimanjaro, Morogoro na Kagera tu? Bei elekezi haijafafanua jambo hilo?
Nadhani umesoma heading pekee halafu uka comment!

Waraka umetoa maelezo yote!

Sisi Watanzania ni watu ajabu kweli. Tuko active sana kuongea au kuandika lakini ni wavivu linapokuja suala la kusoma kwa makini au maandiko marefu/mengi.
 
Kwenye open market economy huwezi kufanya hivyo. Hayo maelekezo yataleta utata ............. bei ya sukari Morogoro, Moshi au Kagera kunakozalishwa sukari haiwezekani ikawa sawa na Mtwara, Mbeya au Kigoma!! Kama ni hivyo basi itabidi serikali ifidie gharama zingine.

Washushe pia bei za vifaa vya ujenzi!!
 
Hivi tumeshaangalia ubora wa hii sukari? naona kama ina ladha ya sukari guru na nyingine ina kaharufu ka kiroba au ni mie tu naona hii hali. Na hili la bei linatia shaka, iweje mkazi wa kamachumu auziwe 1800 kwa kilo sawa na mtu wa kyela wakati yeye anaishi mita mia kutoka kiwandani? na anaweza enda nunua sukari kiwandani kwa miguu?
Aina hiyo ya sukari ni bora zaidi kwa afya yako kuliko ile sukari nyeupe. Ukiweza acha kabisa kutumia sukari ya kiwandani. Kamua juisi ya miwa unywe au tumia hiyo juisi kwenye chai au mapishi. Utumiaji wa Sukari ya kiwandani ni moja ya sababu kubwa inayoibua tatizo (ugonjwa) la kisukari.
 
Serikali leo imetangaza viwango vipya vya bei ya sukari nchini vinavyoanza kutumika kuanzia sasa. Kwa mujibu Mkurugenzi wa bodi ya sukari Tanzania Henry Semwanza bei ya rejareja ya sukari sasa itakuwa sh. 1,800 kwa kilo moja


20160308_113718-1.jpg

Tangazo la namna hii unalibeba na kwenda nalo dukani ukikomalia ni tangazo halali ukipigwa ngumi ya pua kwakweli huna pa kushtaki ni halali yako kabisa.
 
Nadhani umesoma heading pekee halafu uka comment!

Waraka umetoa maelezo yote!

Sisi Watanzania ni watu ajabu kweli. Tuko active sana kuongea au kuandika lakini ni wavivu linapokuja suala la kusoma kwa makini au maandiko marefu/mengi.
Sawa mkuu
 
Kwenye open market huwezi kufanya hivyo. Hayo maelekeze yataleta utata ............. bei ya sukari Morogoro, Moshi au Kagera kunakozalishwa sukari haiwezekani ikawa sawa na Mtwara, Mbeya au Kigoma!! Kama ni hivyo basi itabidi serikali ifidie gharama zingine. Washushe pia bei za vifaa vya ujenzi!!
CCM wameshaifuta kwenye Katiba? Tanzania inafuata "ujamaa na kujitegemea", hiyo open market wamechomekea tu ili kuanzisha "ujasirimali" wakiwa bado IKULU.
Wadanganyika ni nani aliyewaroga?
Kushusha bei za bidhaa kwenye uchumi wa open market ni jipu.
 
Huo waraka ni jipu. Utafikiri homework ya mwanafunzi wa high school.
1. Siyo headed paper.
2.. Hakuna sahihi
3. Font siyo ya official letter ya serikali.

This is embarrassing!
 
Kwenye open market huwezi kufanya hizvyo. Hayo maelekeze yataleta utata ............. bei ya sukari Morogoro, Moshi au Kagera kunakozalishwa sukari haiwezekani ikawa sawa na Mtwara, Mbeya au Kigoma!! Kama ni hivyo basi itabidi serikali ifidie gharama zingine.

Washushe pia bei za vifaa vya ujenzi!!
Nani alikuambia kwenye open market hakuna price capping?

Hata hao waliotuletea market economy mpaka sasa wanafanya price capping.

Kuanzia Marekani mpaka Europe ukienda unakutana na price capping katika masoko yao.

Tuache kukalili theory za kiuchumi!
 
Du afazali maana huku kwetu mbeya sukari katoni ni arobaini thelasin na tisa wafanya biashara waliweka dili kutuumiza walaji hapa katikati ya mwez wa pili
Utaumia bure kwa sukari ya TZ nunua ya Zambia au Malawi imjaa tele
 
CCM wameshaifuta kwenye Katiba? Tanzania inafuata "ujamaa na kujitegemea", hiyo open market wamechomekea tu ili kuanzisha "ujasirimali" wakiwa bado IKULU.
Wadanganyika ni nani aliyewaroga?
Kushusha bei za bidhaa kwenye uchumi wa open market ni jipu.
Kwenye rangi nyekundu. Acha kukalili theory za kiuchumi!

Nani alikudanganya kama kufanya price capping kwenye market economy ni jipu?

Wewe nadhani unaamini open market ni open ambayo haina hata regulations!

Kumbuka price capping ni moja ya market regulation.
 
Aina hiyo ya sukari ni bora zaidi kwa afya yako kuliko ile sukari nyeupe. Ukiweza acha kabisa kutumia sukari ya kiwandani. Kamua juisi ya miwa unywe au tumia hiyo juisi kwenye chai au mapishi. Utumiaji wa Sukari ya kiwandani ni moja ya sababu kubwa inayoibua tatizo (ugonjwa) la kisukari.
Ina maana huko kwenye soko la nje wanapeleke hii sukari au unaleta siasa
 
Hivi tumeshaangalia ubora wa hii sukari? naona kama ina ladha ya sukari guru na nyingine ina kaharufu ka kiroba au ni mie tu naona hii hali. Na hili la bei linatia shaka, iweje mkazi wa kamachumu auziwe 1800 kwa kilo sawa na mtu wa kyela wakati yeye anaishi mita mia kutoka kiwandani? na anaweza enda nunua sukari kiwandani kwa miguu?

Kama kuna kuharufu ka kiroba basi UKAWA wameitemea mate!
 
Tangazo la namna hii unalibeba na kwenda nalo dukani ukikomalia ni tangazo halali ukipigwa ngumi ya pua kwakweli huna pa kushtaki ni halali yako kabisa.

Halina mhuri wala sahihi ya mhusika.
 
Hivi tumeshaangalia ubora wa hii sukari? naona kama ina ladha ya sukari guru na nyingine ina kaharufu ka kiroba au ni mie tu naona hii hali. Na hili la bei linatia shaka, iweje mkazi wa kamachumu auziwe 1800 kwa kilo sawa na mtu wa kyela wakati yeye anaishi mita mia kutoka kiwandani? na anaweza enda nunua sukari kiwandani kwa miguu?

Suali lako zuri lakujua bei aliye kua mbali na wa karibu. Jibu ni EVERAGE. jaani kama mtu wa point A bei yake ni 1500sh na point Z ni 2000 sh inabidi upate everage ya hizo bei (bei ya katikati) ili watu wote waweze kununua kwa bei mmoja
 
Back
Top Bottom