UDBS oyeeee bishaneni tujue na sisiPrice capping kwenye bidhaa zipi!!?
Kwenye open market economy sidhani kama inawezekana ukaweka same price across the whole country. Control measures unaweza kuweka kuzuia bei zisiwe beyond. Price capping kwenye services or utilities could be fine not on commodities. I am a Scientist but this one does not make sense to me!! I still stand to be corrected. I really have to check this before embarking on a serious discussion with any of you guys!! However, to me this would perhaps be a temporary measure ...... but what would be a permanent solution!!
Siyo babu yako sema ni watanzania wengi miaka ya 80 tulikunywa sana chai ya sukari guru
Hata sasa serikali imeweka bei isiwe beyond shilingi 1800. Serikali haijakataza kama una ubavu unaweza kuuza sukari kwa shilingi 100 kwa kilo au kugawa bure.Price capping kwenye bidhaa zipi!!?
Kwenye open market economy sidhani kama inawezekana ukaweka same price across the whole country. Control measures unaweza kuweka kuzuia bei zisiwe beyond. Price capping kwenye services or utilities could be fine not on commodities. I am a Scientist but this one does not make sense to me!! I still stand to be corrected. I really have to check this before embarking on a serious discussion with any of you guys!! However, to me this would perhaps be a temporary measure ...... but what would be a permanent solution!!
Hivi tumeshaangalia ubora wa hii sukari? naona kama ina ladha ya sukari guru na nyingine ina kaharufu ka kiroba au ni mie tu naona hii hali. Na hili la bei linatia shaka, iweje mkazi wa kamachumu auziwe 1800 kwa kilo sawa na mtu wa kyela wakati yeye anaishi mita mia kutoka kiwandani? na anaweza enda nunua sukari kiwandani kwa miguu?
kweli! wanaweza changanya hata na magunzi ili bei ipungue. hivi TDFA huwa wanakagua hii sukari?Mzalendo15 umenena vema. Ni wazi kkwamba sukari inaweza kushushwa bei mpaka hata 1500. Watakachofanya wazalishaji ni kupunguza ubora wa hiyo sikari ili wasipate hasara! Nadhni hata tukitaka sukari ya shs 1000 kwa kilo wazalishaji watatutengenezea. Ishu ni ubora!
haya ni maamuzi mazuri lakini ipo hofu moja,Serikali leo imetangaza viwango vipya vya bei ya sukari nchini vinavyoanza kutumika kuanzia sasa. Kwa mujibu Mkurugenzi wa bodi ya sukari Tanzania Henry Semwanza bei ya rejareja ya sukari sasa itakuwa sh. 1,800 kwa kilo moja
![]()
Serikali leo imetangaza viwango vipya vya bei ya sukari nchini vinavyoanza kutumika kuanzia sasa. Kwa mujibu Mkurugenzi wa bodi ya sukari Tanzania Henry Semwanza bei ya rejareja ya sukari sasa itakuwa sh. 1,800 kwa kilo moja
Changa la macho kama kawaida ya Serikali ya CCM, kushusha kila sehemu iuzwe 1,800/? haiwezekani kwa sababu hamjazingatia mambo meengi katika soko letu na mazingira ya upatikanaji pamoja na gharama zake.....
Bora mkakaa kimya sababu mnatuchefua sana wananchi, acheni usanii.
![]()
Mimi nimezungumzia faida ya kiafya kwako mlaji/ mtumiaji wa sukari.Ina maana huko kwenye soko la nje wanapeleke hii sukari au unaleta siasa
Wanavyotangaza bei ya mafuta uwa inakuaje?Je bei hiyo ni kila mkoa na mji au kwa mikoa jirani na Kilimanjaro, Morogoro na Kagera tu? Bei elekezi haijafafanua jambo hilo?
hivi bei za mafremu nani anapanga? unataka bei ya sukari mlimani city iwe sawa na manzese?Hizi issue mi nashangaa, hawa wafanya biashara wanapandisha vitu bei sana … sio kama bei 2400 ililekezwa na serikal au popote pale hapana ila wqfanya biashara wamekuwa wakijipandishia bei watakavyo bei ikiyotambulika ni ya 2000 ila utakuta duka hili 2400 mwingine 2200 wanafanya watakavyo
Umepewa sehemu ya kupumzika unataka na Mwenye nyumba akupe MKE wake upumzike nae!!! Hivyo vifaa vya ujenzi utavitumia Kama vitafunio kwenye hiyo chai!!!??? Wabongo bwana kila kitu ujuaji....Kwenye open market economy huwezi kufanya hivyo. Hayo maelekezo yataleta utata ............. bei ya sukari Morogoro, Moshi au Kagera kunakozalishwa sukari haiwezekani ikawa sawa na Mtwara, Mbeya au Kigoma!! Kama ni hivyo basi itabidi serikali ifidie gharama zingine.
Washushe pia bei za vifaa vya ujenzi!!
Hivi tumeshaangalia ubora wa hii sukari? naona kama ina ladha ya sukari guru na nyingine ina kaharufu ka kiroba au ni mie tu naona hii hali. Na hili la bei linatia shaka, iweje mkazi wa kamachumu auziwe 1800 kwa kilo sawa na mtu wa kyela wakati yeye anaishi mita mia kutoka kiwandani? na anaweza enda nunua sukari kiwandani kwa miguu?
Wabongo kwenu hakunaga jema kutwa lawama hata mlambwe makalio ....sasa ww unatakaje kwa mfano?Hivi tumeshaangalia ubora wa hii sukari? naona kama ina ladha ya sukari guru na nyingine ina kaharufu ka kiroba au ni mie tu naona hii hali. Na hili la bei linatia shaka, iweje mkazi wa kamachumu auziwe 1800 kwa kilo sawa na mtu wa kyela wakati yeye anaishi mita mia kutoka kiwandani? na anaweza enda nunua sukari kiwandani kwa miguu?
Badala ya kujikita kwenye hoja iliyoko mezani unaanza kuleta porojo za kisiasa.Kwa hiyo mmeshafanya price capping kwa bidhaa na huduma ngapi mpaka muda huu?
Na lengo lenu la kufanya price capping ni nini?
Ile price capping kwa elimu, shule mmeshaifanyia tathmini? Ilikuwa laki 3 na ushee? Tozo wanayolipa wazazi na wafadhili wao kama ada ya shule ikoje leo? Imeshuka au imeshushwa?
'Ujinga' wa Ikulu unarudi kwa kasi
Serikali yapiga ‘stop’ Shule binafsi kupandisha Ada
Serikali yapanga bei tiba hospitali binafsi