Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,303
- 2,079
Wafie tu huko jela, hawana umuhimu wowote! Wanafuja tu ruzuku
Ni kweli ulichosema mkuu kwani hawa wanaona kabisa mkia wa mbuzi huooo halafu eti wanauliza naniiii iko wapi kama sio upopoma ni kitu gani? kwa ujumla viongozi wote wa vyama vya upinzani vya leo sio wabunifu na inabidi sasa waondolewe haraka sana waje watu wapya ambao ni creative ili waende sambamba na changamoto zinazojitokeza