Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,371
- 33,019
Wangeupeleka hadi Moro ingekuwa poa sanaWatu wa Kibaha mmeletewa MWENDOKASI afu hamsemi!
Pichani ni MWENDOKASI ikiwa kituo cha basi NJUWENI MAILI MOJA
Mama anaupiga Mwingi
Wangeupeleka hadi Moro ingekuwa poa sanaWatu wa Kibaha mmeletewa MWENDOKASI afu hamsemi!
Pichani ni MWENDOKASI ikiwa kituo cha basi NJUWENI MAILI MOJA
Mama anaupiga Mwingi
morogoro itakuja treni ya umemeWangeupeleka hadi Moro ingekuwa poa sana
Jana nilipita palekituo cha sheli Maili moja,nilimkuta dada wa mwendo kasi akiita abiria wanaotaka kwenda Kivukoni moja kwa moja. Kwa hiyo yapo ya kivukoni ila sina uhakika kwa yale ya Gerezani directWamefanya jambo la busara sana na hii yote ni kupunguza msongamano stand ya Mbezi kama ilivyokuwa zamani Kimara.. Kwasasa kimara pameboreshwa mno hakuna tena kugombea magari..Mwanzoni haikuwezekana kabisa
Miundombinu ya Mbezi Kibaha inaruhusu haya magari kufika bila tabu.. Sasa ni vema kukawa na route za moja kwa moja Kibaha Kariakoo na Kibaha Ferry...!
Sijui huku ndio kuupiga mwingi? Kwa BRT lakini!
Safi kabisa.. Nikitoka Msata kituo cha kwa kwanza maili mojaJana nilipita palekituo cha sheli Maili moja,nilimkuta dada wa mwendo kasi akiita abiria wanaotaka kwenda Kivukoni moja kwa moja. Kwa hiyo yapo ya kivukoni ila sina uhakika kwa yale ya Gerezani direct
Hahahaaa, tushawazoea aisee.
Kuna siku konda alitaka kunidhulumu chenji yangu, nilianzisha timbwili timbwili mbona alisalimu na kunipatia chenji yangu
Kwani wanaojenga choo na kumtaja mama huwa kuna uhusiano gani?Sasa mwendokasi na mama vinauhusiano gani daah
Hakuna bus toka mbezi to kariakoo/posta mpaka ukashuke kimara uanze kupambania tena bus lingineWatu wa Kibaha mmeletewa MWENDOKASI afu hamsemi!
Pichani ni MWENDOKASI ikiwa kituo cha basi NJUWENI MAILI MOJA
Mama anaupiga Mwingi
Unaishi wapi wewe? Yapo mengi tu hapo MbeziHakuna bus toka mbezi to kariakoo/posta mpaka ukashuke kimara uanze kupambania tena bus lingine
Huko kibaha wataweza kuwa na route mpaka city center?
Ipowasisahau ruti ya kuingia Hospitali ya Mloganzila.
Wananchi ni wengi sana wanatoka maeneo mbalimbali kufuata huduma.
tangia lini mkuu, maana nilitokea k.koo kwenda kumuona mgonjwa Mloganzila ilinibidi nipande zaidi ya gari 3.
Wiki hiitangia lini mkuu, maana nilitokea k.koo kwenda kumuona mgonjwa Mloganzila ilinibidi nipande zaidi ya gari 3.
sijaona mwendo kasi.
kama wameanzisha basi ni jambo jema.
Wazee wa legacy mpo 😂😂Hakika Magufuli alifanya kazi kubwa sana kwa huo mkeka wa Kibaha Kimara ni hatari sana
Hakuna bus toka mbezi to kariakoo/posta mpaka ukashuke kimara uanze kupambania tena bus lingine
Na jinsi ambavyo huwa wanajidai wakiwa wanapakia abiria mbezi, sisi tunaoshukia karibu huwa wanatukataza kukalia siti.Ule ufalme wa coaster za Mlandizi unafikia tamati!
Kwani wanaojenga choo na kumtaja mama huwa kuna uhusiano gani?
😁 Ahahaaa yaani afadhali hata angemtaja mzee baba Pombe.Sasa mwendokasi na mama vinauhusiano gani daah
Ahsante sana kwa Uongozi wa UDART Chini ya CEO Charles Nawe, watanzania wanataka watendaji kama hawa, ukiona kero za wananchi unazitatua mara moja bila kuchelewa.Wiki hii