Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,638
- 697,929
Sheria na kanuni za LATRA si kwamba ni msahafu kwamba haziwezi kubadilishwa ama kutenguliwa ndio maana wametoa tena ruti ya Mbezi Mnazi mmoja .. Hii ruti ilikuwepo lakini ikafutwa baada ya ujio wa mradi wa mwendokasi unapoelekea kufeli kwa speed ya kutisha..
Sekta ya usafiri inapaswa kubadilika kulingana na mahitaji ya nyakati.. Kama kwasasa kuna daladala za Gongo la mboto Ferry nina imani kuwa na ruti hizi inawezekana kabisa na itasaidia sana kupunguza mrundikano wa abiria kwenye vituo Vikubwa
1. Bagamoyo Ferry/ Mnazi mmoja
2. Kibaha Ferry/ Mnazi mmoja
3. Kibaha Mbagala/ Gongo la mboto
4. Chanika Temeke/Buzz nknk
Hizi ruti ndefu zitapunguza misongamano vituo vya kubadilisha magari
Vitaokoa muda wa wasafiri, kumbuka muda ni mali
Vitapunguza nauli na kuleta unafuu kwa wananchi
Vita boost uchumi na kuleta matokeo chanya
Kwasasa alfajiri pale kituo kipya maili moja kuna mwendokasi wa moja kwa moja Kariakoo hii imepunguza usumbufu mwingi sana wa kubadilishwa na kusubiria magari pale Kimara
Vilevile kuna ruti ya saa nane usiku ya coaster isiyo rasmi ya wafanyabiashara inayoanzia Mlandizi na kuwachukua wa njiani mpaka maili moja.. Kwakuwa ruti kama hizi zimeonesha matokeo chanya LATRA itafakari upya kwa manufaa mapana ya Tanganyika.
Sekta ya usafiri inapaswa kubadilika kulingana na mahitaji ya nyakati.. Kama kwasasa kuna daladala za Gongo la mboto Ferry nina imani kuwa na ruti hizi inawezekana kabisa na itasaidia sana kupunguza mrundikano wa abiria kwenye vituo Vikubwa
1. Bagamoyo Ferry/ Mnazi mmoja
2. Kibaha Ferry/ Mnazi mmoja
3. Kibaha Mbagala/ Gongo la mboto
4. Chanika Temeke/Buzz nknk
Hizi ruti ndefu zitapunguza misongamano vituo vya kubadilisha magari
Vitaokoa muda wa wasafiri, kumbuka muda ni mali
Vitapunguza nauli na kuleta unafuu kwa wananchi
Vita boost uchumi na kuleta matokeo chanya
Kwasasa alfajiri pale kituo kipya maili moja kuna mwendokasi wa moja kwa moja Kariakoo hii imepunguza usumbufu mwingi sana wa kubadilishwa na kusubiria magari pale Kimara
Vilevile kuna ruti ya saa nane usiku ya coaster isiyo rasmi ya wafanyabiashara inayoanzia Mlandizi na kuwachukua wa njiani mpaka maili moja.. Kwakuwa ruti kama hizi zimeonesha matokeo chanya LATRA itafakari upya kwa manufaa mapana ya Tanganyika.