Serikali yapeleka huduma ya mabasi ya Mwendokasi Kibaha

Tatizo wana monopolize soko.... Baada ya miaka 20 dsm kutakua hakuna biashara ya safirishaji wa abiria privately...
Wajenge lakini costa ziachwe... Hatuitaji ya tanesco kujirudia kwenye transport industry
 
Pongezi nyingi kwa Uongozi wa UDART zaidi kwa CEO Mr. Charles Nawe kwa kuruhusu ruti ya mwendokasi hadi Kibaha.
Hakika ni maamuzi sahihi kwa wakati sahihi maana Kibaha na DSM zimeunganishwa na Barabara ya Njia nane, mkeka wa maana hivyo hakuna sababu kwa nini mwendokasi zisifike Kibaha, barabara safi na ya uhakika.
Pili abiria ktk barabara hii ni wengi sana ambao wanafuata huduma za kiafya ktk Hospitali ya Muhimbili Mloganzila, kuna Kituo cha Mabasi Cha Magufuli Bus Terminal lkn pia kuna kituo kikubwa cha Polisi kiluvya Gogoni.
Sehemu zote hizo wananchi wanafuata huduma, hivyo mwendo kasi wamerahisisha sana. Pongezi kwa uongozi wa UDART na CEO,
kazi iendelee tujenge uchumi wa nchi yetu.
 
Pongezi nyingi kwa Uongozi wa UDART zaidi kwa CEO Mr. Charles Nawe kwa kuruhusu ruti ya mwendokasi hadi Kibaha.
Hakika ni maamuzi sahihi kwa wakati sahihi maana Kibaha na DSM zimeunganishwa na Barabara ya Njia nane, mkeka wa maana hivyo hakuna sababu kwa nini mwendokasi zisifike Kibaha, barabara safi na ya uhakika.
Pili abiria ktk barabara hii ni wengi sana ambao wanafuata huduma za kiafya ktk Hospitali ya Muhimbili Mloganzila, kuna Kituo cha Mabasi Cha Magufuli Bus Terminal lkn pia kuna kituo kikubwa cha Polisi kiluvya Gogoni.
Sehemu zote hizo wananchi wanafuata huduma, hivyo mwendo kasi wamerahisisha sana. Pongezi kwa uongozi wa UDART na CEO,
kazi iendelee tujenge uchumi wa nchi yetu.
Ha ha ha . Ilani inatekelezwa kwa vitendo
 
Namkubali sana CEO Mr. Charles Nawe kwa kazi yake nzuri na iliyo tukuka.
Barabara/Mkeka uliotandikwa kuanzia kimara mwisho Mpaka Kibaha ni wa kimataifa. hivyo ni maamuzi mazuri kwa mwendo kasi kuishia kibaha.
KIBAHA na DAR sasa ni pua na mdomo.
na pia Jiji la DSM linakuwa sana ktk maeneo ya Mbezi, Kibamba, Kiluvya hadi Kibaha.
 
Sio Kibaha tu, hadi hospitali ya rufaa Mloganzila wanaenda toka Mbezi Mwisho na Kimara, pia wanaenda kituo cha Mabasi Magufuli. Mambo ni Moro!
Mkuu umekumbusha jambo la muhimu sana,
kuna siku nilipata taabu sana kwenda kumuona mgonjwa Hospitali ya Muhimbili Mloganzila, usafiri unaishia Kibamba.
Sehemu ya Hospitali na Kituo Cha polisi Kiluvya Gogoni ni Sehemu muhimu sana ambazo ni muhimu wananchi kuzifikia kiurahisi na njia pekee na Usafiri kufika.
 
Nashauri kama barabara hii ya Magufuli ikikamilika, kwa kuwa kuna njia nane hivyo nashauri ile njia ya zamani ya katikati iwe maalumu kwa Mabasi ya mwendo kasi
 
Jana nililipita bus la mradi wa mwendokasi(UDART) kwenye stand ya mabasi Kibaha likiwa limepack mithili ya kusubiri abiria, nilijiuliza huenda limeanzisha route mpya hadi huku Kibaha lakini nikafikiria huenda lina shughuli nyingine tofauti na kusafirisha abiria.

Leo tena limelipita pale pa jana, mara hii nimeona kuna mtu kapanda, pia dereva na muhudumu walikuwa wameketi nje wakisubiria watu wapande.

Kama kweli hii route imeanzishwa, haya maamuzi ni sahihi? Au kisa hii njia iliyopanuliwa ndio wameamua walete bus huku hata kama ni abiria wachache ukilinganisha na viunga vya Dar.
 
MKUU ile njia haina vituo vya KUPANDIA wala KUSHUSHIA Abiria
Nashauri kama barabara hii ya Magufuli ikikamilika, kwa kuwa kuna njia nane hivyo nashauri ile njia ya zamani ya katikati iwe maalumu kwa Mabasi ya mwendo kasi
 
Back
Top Bottom