Serikali yamwaga vitanda vya wagonjwa nchi nzima

Serikali yamwaga vitanda vya wagonjwa nchi nzima

Cha msingi hapo ni Serikali kusikia na kutatua kero za muda mrefu katika sekta ya Afya za Watanzania. Chuki na Roho mbaya zitawatafuna na kuwamaliza awamu hii.
Ni kweli inamaana kubwa selikali ikifanya ivyo ni jumbo Jema... lkn labda tuseme "selikali INAKABIRIANA na kero ya muda mrefu..".
sio kwamba IMETATUA
 
Ninauwezo wa kuwashawishi vijana /watu elfu moja 2020 wasimpe kura Magu.
Na kazi hiyo nishaianza. Na kwa unoko nagombea ubunge au udiwani uchaguzi ujao.
Kaa huko wewe unayeweza kuleta effects ndani ya CCM, utamshawishi mwenzi wako tu kuipa kura CCM.
Utawashawishi mataahira wenzako wasio na hata uelewa juu ya haki hao ya msingi ya kupiga kura.

Huwa mnajidanganya sana kila mwaka lakini mwisho wa siku chalii.

Kugombea hata kuga peter mziray huwa anagonbea lakini huwa haambulii chochote.

Hufai hata kuiongiza familia...wewe na mange hamna tofauti
 
Changa la macho hili! Si umesikia bajeti ya 29 trilioni lakini zilizotolewa ni 35% tu? Yaani haifiki hata trilioni 11 duh! Serikali ya Kibashite hii!

naomba kuuliza vishanunuliwa au bado na lini ndo vitaanza kugawiwa na tarehe ,mwezi na mwaka wa mwisho wa kuvigawa
 
Wewe ni mmoja katika watu shenzi kwenye nchi yetu. Pengine ni Raia wa Angola uliyepata uraia wa kununua Tanzania. Ila tutawanyoosha na kuwamaliza pimbi nyinyi.
Hovyoooo, busara sifuri kabisa. Njoo uniteke sasa. Mimi sijawalazimisha kupanga bajeti hewa, kama uwezo wenyu ni kukusanya sh.100 pangeni bajeti ya sh mia.
 
Mmmm sasa nimeelewa! Kumbe majanga ya mafuriko, ukame na mateteko ya ardhi kwa vile "mtukufu" hakuahidi imekula kwetu.
 
Zisifanywe sherehe tu za kupokea hivyo vitanda zikawa na gharama kubwa kuliko vitanda vyenyewe, maana Tanzania kwa kusherehekea tu hatujambo.
 
Kwasababu wewe ni mjinga.

Huwa hawateki saa mbovu.

ROMA UKIONDOA UMUHIMU WAKE KWA MUNGU ALIYEMUUMBA NA KWA FAMILIA YAKE TOKA AMETEKWA ZAIDI YA POROJO NA MAIGIZO NINI KIMETOKEA NA WEWE NI HIVYOHIVYO HUNA IMPACT YEYOTE KWENYE JAMII HATA UKITEKWA ILA USIFE MAPEMA KWA SABABU HUTAYAONA MAZURI YA MAGUFULI.
 
Back
Top Bottom