MSHABIKIE ATAMTINDUA MKEONyau na wachumia tumbo wenzio.Acha kwanza nikamsaidie rais kuzindua Treli.
MSHABIKIE ATAMTINDUA MKEONyau na wachumia tumbo wenzio.Acha kwanza nikamsaidie rais kuzindua Treli.
Huna adabu!!!Kama imekuuma sana kufa
Adabu INA rangi gani?Huna adabu!!!
Kuna tetesi kuwa hivyo vitanda ni vibovuNyumbu wangeshangilia kama hii habari angeleta mange.
haaaaaaaUnatk uhuru wkt jinsia yako huijui
Hakika !Shida ya wapinzani sio vitanda,madawa,maji au barabara shida yao Makonda aondolewe...
Akiondoka Makonda, shida za Watanzania zitaisha na kukoma kabisa.!
Halafu kesho utasikia mbunge anasema "nimepigania vitanda hadi serikali imesikia kwenye jimbo langu"........ Wakati huo huo kila siku bungeni hoja yake ilikuwa Bashite ang'olewe...
Hivyo vitanda na magodoro ni nyongeza tu siyo kama havikuwepo kabisa na waziri ameshauri vigawe kwenye maeneo yenye mahitaji makubwaHalimashauri 1 ina hospital 3 vituo vya afya 10 hivi vitanda 20 watagawaje!! Hii ni vichekesho. Pamoja na kubana matunizi ndiyo hivi???