Serikali yamwaga vitanda vya wagonjwa nchi nzima

Serikali yamwaga vitanda vya wagonjwa nchi nzima

Mnapomuandika andika huyu jamaa kwa mambo ya serikali kanakwamba amefanya yeye ndio mnampakiburi zaidi!!!

Say,serikali inayoongoza na magufuli wamefanya abcd co unamtaja binafsi ndio maana anakuwa na kiburi hadi....!!
Ila kumuhusisha moja kwa moja na mambo mabaya kama utekaji ni sawa tu. Double standard
Huyu mimi nishamdharau tangu 2016 , hata agawe nyumba ya kisasa kwa kila mzee simkubali tena.
 
Huu uzi sizani kama utapata wachangiaji, watanzania tushazoe vitu vibaya, wapiga ramli kibao, kila siku wanaomba mabaya yatokee, kwenye kukosoa tunasifia na kwenye kusifia tunakosoa , sijui uzalendo wetu upo wapi, wanasiasa wanatugawa wametugeuza misukule yao kila kitu ndio ndio, tumekuwa kama chuma (conductor) kwenye joto tunakuwa wamoto kwenye baridi tunakuwa wabaridi, tumekuwa watu wakuendeshwa na matukio, sometimes hata uwezo wa kureason out, yapi maneno ya msingi yapi ya kipumbavu tunashindwa tunaendeshwa na mitandao ya jamii, mwisho wa siku inatugawa . Hongera rais wewe fanya kazi, hii mitandao ya kijamii na maneno ya baadhi ya wanasiasa yasikuchoshe kwani sisi tunayaona mambo mazuri unayoyafanya.
 
Vitanda bila ugali! !!
Watu wanakula mlo moja huko vijijini we unawapelekea Vitanda!!
 
Hongera kwa Mh Rais Wetu Mtakatifu,Rais asie Na DOA,Rais Msafi,Rais anaetaman kuongoza Malaika kesho mbinguni,Rais anaetaman Malaika washuke wazime hii Mitandao ya Kijamii ingawa sijui hizi taarifa nzuri ningezipataje,Rais Kipenzi cha Maskini,Rais anaechukia MATAJIRI wasiolipa kodi! Ila Mh Rais Wangu Mtakatifu hivi Vitanda watatumia kina nani mana sisi Raia wako sasa tunaishi kwa hofu kubwa sababu kumeibuka wimbi la Watekaji,Wauaji,Watesaji,Watishiaji Silaha za moto ambao mpaka sasa baso Serikali yako Tukufu haiwajui hawa Watu,Raia tunapotea tu siku hizi bila kujulikana tulipo,tunatushiwa tu Silaha za Moto hadharani,Tunaomba Wakati Unashughulikia hayo Vitanda Udili pia na Roho na Uhai wa Watu Wako mana Uliapa kuulinda na sisi Watanzania tulikuamini ndio Mana tulikuchagua. Ni hayo tu Mh Rais Mtakatifu
 
naomba kuuliza vishanunuliwa au bado na lini ndo vitaanza kugawiwa na tarehe ,mwezi na mwaka wa mwisho wa kuvigawa
 
Shida ya wapinzani sio vitanda,madawa,maji au barabara shida yao Makonda aondolewe...

Akiondoka Makonda, shida za Watanzania zitaisha na kukoma kabisa.!

Halafu kesho utasikia mbunge anasema "nimepigania vitanda hadi serikali imesikia kwenye jimbo langu"........ Wakati huo huo kila siku bungeni hoja yake ilikuwa Bashite ang'olewe...
 
Back
Top Bottom