Serikali yamwaga vitanda vya wagonjwa nchi nzima

Serikali yamwaga vitanda vya wagonjwa nchi nzima

Kwa utendaji huru wa jpm cjui ukawa watatuambia nini
Unataka tukuambie..
. Hakuna democracy
. nchi imeyumba kiuchumi.
. wanachi wanatekwa na kupotea ovyovyo.
. serkali haina uwezo wa kuajili watumishi.
. Serkali haina uwezo wa kuboresha mishara kwa watumishi.
. Uchumi unadorora kila uchwao.
. Hakuna protocal kwenye uongozi mkuu wa mkoa ndie msemaji wa serkali, ndie msemaji wa waziri wa mkuu.
Kuna vioja kibao....
. Serkali haina uwezo wa kupambana na majanga jama njaa nk, badala yake inategemea wahisani na kinachopatikani serkali inakiparamia
 
Unataka tukuambie..
. Hakuna democracy
. nchi imeyumba kiuchumi.
. wanachi wanatekwa na kupotea ovyovyo.
. serkali haina uwezo wa kuajili watumishi.
. Serkali haina uwezo wa kuboresha mishara kwa watumishi.
. Uchumi unadorora kila uchwao.
. Hakuna protocal kwenye uongozi mkuu wa mkoa ndie msemaji wa serkali, ndie msemaji wa waziri wa mkuu.
Kuna vioja kibao....
. Serkali haina uwezo wa kupambana na majanga jama njaa nk, badala yake inategemea wahisani na kinachopatikani serkali inakiparamia
Uuko nchi gani? Ingekuwa hivyo ingeweza kujenga treni ya umeme from dar to dom? Ingenunua ndege saba kwa mpigo? Ingehamia dodoma?
 
Mnapomuandika andika huyu jamaa kwa mambo ya serikali kanakwamba amefanya yeye ndio mnampakiburi zaidi!!!

Say,serikali inayoongoza na magufuli wamefanya abcd co unamtaja binafsi ndio maana anakuwa na kiburi hadi....!!
Kama imekuuma sana kufa
 
Ametoa hela yake ya mfukoni?
Vitanda 20 vinakidhi haja?.

Pengine umempa sifa isiyo...

Me nadhani ungesema hivi

"Serkali yaanza na kupeleka vitanda 20 kwenye Halmashauri".

Au kaama lengo ni kumtaja huyo ulie mtaja basi ingesomeka hivi

"******** aidhinisha vitanda 20 kila halmshauri".

Ukisema amwaga kwanza utadhani viingi kiasi kwamba hakuna sehemu ya kupita.

Au ******** katumia hela yake ya mfukon kunuunua hivyo vitanda.

Kodi zetu wenyewe hizooo mkuu, na niwajibu wa serkali kufanya hivyo.

WAJIBU SIO ZAWADI
Chuki mbaya sanz
 
Kila Halmashauri kupewa Vitanda vya Hospitali vya kawaida 20, Vitanda vya kujifungulia wajawazito 5, Magodoro 25 na Mashuka 50.

Pongezi kwa jitihada hizi lakini ningependa kufahamu mahitaji yalikuwa kiasi gani kwa kila aina ya vifaa vilivyotajwa hapo juu kwa nchi nzima? Pia je, mahitaji yakoje kwa kila halmashauri kwa kuzingatia idadi ya wananchi katika kila halmashauri na idadi ya hospitali katika kila halmashauri?
 
Nani amewambia shda ni vitanda? Dawa na watumishi ndo htaji la hospt! Mnagawa vitanda walalie wagonjwa bila kupata dawa? Hafu mwataka sifa kwenye hamna! Nyumbu ni nyumbu tu maana hamjui hata vipaumbele vya wananchi!
Acha ujinga
 
Punguzeni kumnanga huyu kijeba. maana kichwa kinamuuma anatafuta publicity kupitia majukumu ya serikali..
 
Pongezi sana, sie maskini tunashukuru sana kwani ndugu zetu walau watalala japo kwa mafisadi hii si kitu kwao. Ipo siku JPM utakumbukwa hata kama si kwa hawa matahira ...hata mbinguni itàtosha
 
serekali ya kwikwi hii!! hilo nalo la kupigia mbinja?
 
Comments za watu wengine, unaweza kujiuliza, Kati ya shule na ugali bora nini?
Mungu awasamehe tu! Maana hamjui mulitendalo, harafu ndiyo serikali iwape ajira, si mnaweza kuhiujumu serikali ili ionekane hakuna Jema linalofanywa serikali. Mbona watu wa ajabu hivi! Hata serikali ikifanya kitu chanya kwenu ni hasi, harafu ndiyo mnajiita wazalendo, nina wasiwasi na uzalendo wa aina hii. Ila kumbukeni watanzania tunaotumia mitandao hata nusu ya raia wote wa Tanzania hatufiki, na tulio wengi tunajitambua hatuendeshwi na matukio. Mr prizidar piga kazi tulio na macho tunakiona unachokifanya. Tanzania yakwetu sote hata sisi tusio na Chama.
 
Vitanda vya kulaza wagonjwa waliong'olewa kucha baada ya kutekwa na kuteswa ni muhimu sana kipindi hiki.
 
Vitanda vya kulaza wagonjwa waliong'olewa kucha baada ya kutekwa na kuteswa ni muhimu sana kipindi hiki.

Acha upumbavu wewe wametekwa wangapi mpaka wanunuliwe vitanda nchi nzima kuweni wastaarabu ujinga wenu ndiyo unawafanya mtekwe mbona mimi sijatekwa?
 
Unataka tukuambie..
. Hakuna democracy
. nchi imeyumba kiuchumi.
. wanachi wanatekwa na kupotea ovyovyo.
. serkali haina uwezo wa kuajili watumishi.
. Serkali haina uwezo wa kuboresha mishara kwa watumishi.
. Uchumi unadorora kila uchwao.
. Hakuna protocal kwenye uongozi mkuu wa mkoa ndie msemaji wa serkali, ndie msemaji wa waziri wa mkuu.
Kuna vioja kibao....
. Serkali haina uwezo wa kupambana na majanga jama njaa nk, badala yake inategemea wahisani na kinachopatikani serkali inakiparamia
Hizo zote propaganda hakuna jipya coz hata kipindi cha jk mlikuwa mkilialia hivyohivyo ila Leo wanafiki mmemmiss at I!!!
 
Back
Top Bottom