Wengi hapa watakuja kukurushia maweMadaktari wa hivi sijuhi hata vyuoni walikuwa wanasomea nini......kuripoti mlipuko wa ugonjwa kwenye media sio sawa na kurusha udaku facebook!
Wengi hapa watakuja kukurushia maweMadaktari wa hivi sijuhi hata vyuoni walikuwa wanasomea nini......kuripoti mlipuko wa ugonjwa kwenye media sio sawa na kurusha udaku facebook!
Wewe ukienda hospitali kutibiwa daktari anapokufungulia faili na kuandika taarifa zako unadhani ni "show" tu....sasa kama hao wagonjwa walikufa...taarifa zao hazipo kwenye kituo cha afya walipotibiwa unategemea zipatikane wapi....na Daktari mzima hajui taratibu za kuripoti magonjwa ya mlipuko hadi kuamua kuunga tela kwa diwani.....madaktari wengine hovyo kabisa!Wazee wa kuficha ficha
Kwa kweli nchi maombi yamedunda!View attachment 1697377
Hii nchi hata kuiombea haiwezekani , tumuachie tu Mungu mwenyewe aamue kuchukua hatua kwa kadri atakavyoona inafaa .
Wakiandika fupi! Mkuu naomba nikufundishe jambo moja, binadamu haijalishi kasoma vipi au ana cheo kipi wote huwa tunaongozwa na hisia( mihemko) siku unapojifunza kuangalia jambo nje ya hisia zako basi hapo maisha yako yatakuwa mepesi,Ukiona serikali imeandika barua ndefu ujue kuna jambo so inajitetea tu.
Ulipotea sana, huyo hana tofauti na Kichaa Mkuu.Mwanzoni nilimuona mchapakazi saivi nimegundua ni lijinga linalotumiwa kisiasa
Asante Mkuu.Wakiandika fupi.........! Mkuu naomba nikufundishe jambo moja, binadamu haijalishi kasoma vipi au ana cheo kipi wote huwa tunaongozwa na hisia( mihemko) siku unapojifunza kuangalia jambo nje ya hisia zako basi hapo maisha yako yatakuwa mepesi,
Tatizo gani? We umeliona hilo tatizo?Badala ya kutafuta solution, waziri na team yake wanafight kuficha tatizo na kuintimidate watoa taarifa. Hatuwezi kuendelea na huu ujinga
Taarifa ya mitandaoni kuna iliyosena 31, nyingine 16. Na hawa wanasema watatuKwahiyo hao watatu ni ugonjwa gani umewakumba..!?
Tatizo gani? We umeliona hilo tatizo?
Hahahaa ukiwamo wewe mwenyewe, kubwa la mashetani.Watz kwa pa1 tusipokuwa wamoja na kukemea huu ujinga, tutapukutika kama màjani! Imagine mtu amewatahadharisha juu ya ujio wa ugonjwa usiofahamika but jitu linakuja et siyo kaz yake. Yan tukusubr ww wazr ndo uje utangaze🤔🤔 roho za watu hazina spea!
Hii n nchi ya mashetani kweli kweli!