Kwa hiyo unamaanisha kuwa Mkuu wa Majeshi amefariki ?
Nashangaa waliweka kile kisheria chao cha mtandao bila ya kuwa na watu watakaoweza trace source ya habari, kazi vitisho wangejua watanzania hawatishiwi kihivyo hata wasingethubutu...
Sheria ya mtandao ni butu
Ukinunua simu mpya, line mpya unaweza fanya usajili feki, ukaja JF ukatengeneza story mbili tatu, ukimaliza unatupa kule, iP za mitandoa ni dynamic,
Kwi kwi kwiBado Tanzania hawana tech ya kumkamata mtu mjanja, kama Wachina na US wenyewe wanashindwa kamata watu huko na wao ndio wana tech kubwa hapa Tz hawawezi na ni Butu kabisa
Lakini TBC wame confirm kifo icho
Habari hizi kamuulize Nape lile vuvuzela la ccm anayemwita Mh. Lowasa maiti.
TBC wametangaza Kigoda is no more
ndio ni kweli kuna mtu kanitext kasema wametangaza tbcmkuu ya kweli hayo?
Mimi sio mdau wa Lumumba,kutaka Magufuli awe Raisi hakunifanyi kuwa mdau wa Lumumba,mimi sina chama jamaniUkithibitisha ww mdau wa lumumba nitakubari