Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,346
- 26,138
Dr. Kigoda anagombea jimbo gani?
Jimbo la Handeni
Dr. Kigoda anagombea jimbo gani?
Hivi naye alimchuria mabadiliko kifo?
Dr. Kigoda anagombea jimbo gani?
namwombea lowassa na kigoda afya njema
Taarifa kwa Vyombo vya Habari
Serikali inapenda kukanusha taarifa kutoka Kwenye baadhi ya Mitandao ya Kijamii ikidai kwamba, Mhe. Dkt. Abdallah Kigoda, Waziri wa Viwanda na Biashara amefariki dunia nchini India alikokuwa anatibiwa.
Taarifa Rasmi ya serikali ni kwamba taarifa hizo ni za uongo na hazina hata Chembe ya ukweli. Mhe. Dkt. Kigoda bado yupo nchini India Katika Hospitali ya Apollo katika Jiji la New Delhi anakoendelea kupatiwa matibabu.
Mhe. Dkt. Kigoda alikwenda India kwa matibabu tarehe 18 Septemba, 2015 na tangu kipindi hicho ameendeleaa kupata matibabu katika hospitali Hiyo ya Apollo.
Serikali inapenda kuvionya vyombo vya habari na Mitandao ya kijamii kuacha kusambaza taarifa za uongo kuhusu viongozi wa serikali.
Ni vizuri watu wangekuwa na uhakika na habari kabla ya kuzisambaz
Hivi naye alimchuria mabadiliko kifo?
mzee wa push up nae kaambia asipende kupanda helicopter si unajua tena pacemaker haipendi sana altitude ndio maana inabidi ateseke sana na 4 wheel drive- mpaka kufika uchaguzi naona breaking news zitakuwa nyingi sanaVUTA-NKUVUTE kwani yeye hakuwahi kumtukana Lowasa kuhusu afya yake?? Niliomba kujua hilo tu!!!!!!!! Ili niweze kuangalia itakuwaje!!!
Jimbo la Handeni