Serikali yakanusha Dkt. Kigoda kufariki dunia

Serikali yakanusha Dkt. Kigoda kufariki dunia

Status
Not open for further replies.
Hizi taarifa ni mbaya sana kwa Mgufuli, huenda analia muda huu.

Jamani tuache kuzusha kifo kwa mwananchama wa CCM, kwani tunampandisha presha mzee wa Push up.

Sasa inakuwa je mbona kura za Magufuli zinaporomoka siku hadi siku.

Lakini tukumbuke kuwa kuna msemo wa Kiluguru usemao "Lisemwalo lipo na kama halipo basi linakuja".

Mungu amjalie Afya njema ili aje kumpigia Kura Magufuli. Ataliaje Kisukuma akikosa kuingia IKULU Magufuli



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
I imagine people like Mwambene have impossible jobs in this country. Kukanusha vifo vya watu...ilhali wewe siyo Dr. au mtaalam wa vifo (kama yupo)? Its tough!

Nimejijuta nacheka tu...although siyo swala la kuchekesha, but the way ulivyowasilisha hoja yako!
"Impossible job ya kukanusha vifo vya watu"!
 
Hivi Serikali wameshakanusha juu ya zile picha za Twiga wa Ngoro ngoro? maana official page ya FB ya mwana mfalme inaonesha tarehe 28 na 29 September walikuwa mbugani Serengeti hapa Tanzania.

Wizara husika Come out please maana serikali ikikaa kimya itahisiwa ni kweli.

Kwa anayetaka jina analotumia FB huyo mwanamfalme aniPM

Siyo mpaka PM...just weka hapo hilo jina watu wakaangalie!
 
Ndugu zangu watanzania, mimi si msemaji wa Dr. Kigoda wala familia yake wala serikali. Lakini, nataka kudokeza ninachokijua. Ni kweli kuwa Dr. Kigoda yuko nchini India kwa matibabu. Kwa siku za hivi karibuni,amekuwa akilazwa ICU.

Anasumbuliwa na matatizo makubwa ya figo na ini. Tuzipuuze habari za kifo ingawa zaweza kuthibitishwa na wahusika kama ni za kweli kwa wakati na namna inayopasa. Nijuavyo, Dr. Kigoda anaendelea na matibabu ingawa hali yake si njema. Tumuombee Dr. Kigoda apate nafuu na aungane nasi kujenga Tanzania yetu.

Get well soon Comrade Abdallah Kigoda!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
======

Updates:






Hivi ni nani anayezusha Ujinga huu jamani kila mtu atakufa ila tusizushiane vifo kiasi hiki....
Tubadilike na tufanye maamuzi sahihi ya kumchagua Dkt John P Magufuli ✔✔✔ #HapaKaziTu
 
Tunamtakia apone na awe na Afya njema mh kigoda.
Ila nashauri serikali ingeboresha hospital za nchini na kuwa ongeza madokta maana inachosha sana watu kwenda tibiwa huko india maana hata lakutokea likitokea inakuwa ni shida/garama kwa serikali na wana ndg...
 
Hivi ni nani anayezusha Ujinga huu jamani kila mtu atakufa ila tusizushiane vifo kiasi hiki....
Tubadilike na tufanye maamuzi sahihi ya kumchagua Dkt John P Magufuli ✔✔✔ #HapaKaziTu
We gamba ushambiwa ni tetesi! Ila wewe wapigie familia yake uko confirm ujiridhishe
 
Tunaombea wote wenye maradhi Mungu awape nguvu wapate afya wote kwa pamoja tujenge taifa
 
I imagine people like Mwambene have impossible jobs in this country. Kukanusha vifo vya watu...ilhali wewe siyo Dr. au mtaalam wa vifo (kama yupo)? Its tough!

Duuuuuu!!! hapo Mkuu umetoa ya mwaka.

Lakini tuwaache wakanushe tu, ipo siku 'KIFO KITAWAUMBUA"

Mbona hawakukanusha kuhusu kifo cha DAVID BALALI ambaye wananchi hatuna uhakika kama kweli amekufa. Wangeanza kukanusha kuwa BALALI HAJAFA BADO YU HAI. TUNGEKUWA TUNAWAAMINI, LAKINI VINGINEVYO NI U-DIAMOND, AU U-ALI KIBA
 
Mungu amponye haraka kura yake ya kuiondoa ccm ni muhimu sana
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom