Serikali yakanusha Dkt. Kigoda kufariki dunia

Serikali yakanusha Dkt. Kigoda kufariki dunia

Status
Not open for further replies.
Propaganda tu hizi.

Ukiona kuna makanusho mengi yasiyo kuwa na kichwa wala miguu, eleweni kuwa inawezekana ni kweli kwa zaidi 99%

Hata wakati wa kifo cha baba wa Taifa hayati Mwl J.K. Nyerere walikuwa wanaficha ficha hivi hivi mwisho wa siku wao ndiyo wakathibitisha!

Mbaya zaidi lugha wanazotumia kuupa taarifa sahihi umma juu ya viongozi wao, si sahihi na hazikubaliki.

Cheki msemaji wa jeshi anavyotoa habari. Ni kana kwamba mke anatoa habari za mumewe wakati hiyo yeye ni msemaji wa taasisi ya umma na huyo anayemtolea taarifa ni kiongozi wa umma na umma una haki zote za kupewa taarifa sahihi juu ya kiongozi wao kinyume na vile unavyofahamu. Is as simple as that!!
 
Get well soon Mbunge wa Jimbo letu, ingawa Mabadiliko yameshafika huko.
 
Wengine humu wanasema get well soon wengine a rest in peace! Mbn bado haieleweki
 
Watu wa serikari wangekuwa wanajitokeza na kutoa maelezo kwenye kero za wananchi sidhani kama tungefika hapa; hila ikiwa habari za kukanusha vifo tu awajambo ndio utasikia matamko ya wasemaji wa serikari ao waandishi wa habari si wangeweza kwenda nyumbani kwake kujua ukweli.
 
TBC wametangaza Kigoda is no more

Hawa wanaojiita serikali ni akili gani hii sasa? Huyu mtu yaonekana tangu jana alishafariki. Kwa nini huyo anayejibandika cheo cha msemaji wa serikali alikanusha. Sijui kama ni dhana kwamba wanasiasa hawastahili kifo!

Bila kuboresha hospitali zetu, hata India haitawaokoa ng'o!!! Wanakwenda huko wakiwa tayari ni terminally ill!
 
Hivi kwanini watu wanapenda kuombeana mabaya siku hizi?

Na tunakoelekea ni kushushiana vipondo kabisa kwa yeyote unayemwona haungi mkono upande wako/wenu!!

Sababu kuu ni moja tu;

Hawa walioko madarakani walishadhani na wamejijengea fikra potofu kuwa wao ndiyo wenye haki ya kuiongoza nchi hii kwa gharama yoyote ile!

Ndiyo maana wanadhani wasio upande wao wanastahili kutukanwa, kudhalilishwa utu wao (attacking their personality), wanaumwa (wagonjwa) na wanastahili kifo na kila aina ya ubaya!!

Lakini kumbe nao wanaumwa, wanakufa na ni dhaifu kuliko hata wa upande huu!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom