Makonsigwa
Senior Member
- Mar 19, 2011
- 177
- 76
Kwa namna jambo hili linavoibuliwa ni wazi kuna mtu anatamani sana msiba huu utokee, swali ni kwa nini?
Hivi ni nani anayezusha Ujinga huu jamani kila mtu atakufa ila tusizushiane vifo kiasi hiki....
Tubadilike na tufanye maamuzi sahihi ya kumchagua Dkt John P Magufuli ✔✔✔ #HapaKaziTu
Hivi ni nani anayezusha Ujinga huu jamani kila mtu atakufa ila tusizushiane vifo kiasi hiki....
Tubadilike na tufanye maamuzi sahihi ya kumchagua Dkt John P Magufuli ✔✔✔ #HapaKaziTu
mkuu ya kweli hayo?
mabingwa wa kukanusha...halafu mwisho wa siku wanaumbuka
Pamoja na kutaka kuweka precedence ya crisis management, hii ni aibu kubwa kwa yeyote anayehusika serikalini.mabingwa wa kukanusha...halafu mwisho wa siku wanaumbuka