Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kwenye study tour
Kama serikali haidaiwi naomba kujua hao mawakili waserikali walienda kufanya nn
Kama serikali haidaiwi naomba kujua hao mawakili waserikali walienda kufanya nn
Hayo yote yalifanyika chini ya serikali ya ccmSasa munaona umuhimu wakuwa na umeme wetu wenyewe? Kesi za kijinga kama hizi huwezi kukutana nazo tena. Kweli Umeme wa Rufiji utakuwa mkombozi kwetu ndo maana upande wa wazungu hawakupenda project hiyo.
Ebu kama hujui unacho ongelea ni vema ukaenda kujiandikisha maana unatoa vibweka kwenye mambo yanayo hitaji kutumia welediUnaweza ukasaini kama kugaranti mtu kwamba deni litalipwa lakini sio mdaiwa wa kwanza. Kwasababu mkopaji/mdaiwa wa kwanza yupo(IPTL) hajafa ajilipie deni lake.
Hukumu kwa Kwa kifupi imesema;-
V. The Government of United Republic of Tanzania shall;-
Pay to climant the sum of USD 185,449,440.04 together with interest thereonat the rate of LIBOR (6-Months) +2% from the 1 September 2018until the date of full and final payment and
VI. Bear its own legal costs and expenses
Wacha kushona mbeleko kabla mtoto hajazaliwa. Ni mapema mno kusherehekea umeme wa Stiglers Gorge. Changamoto zilizoikumba miradi ya ya Mtera na Kihansi hamna namna Rufiji itazikwepa. Tuombe uzima kuna mtu pale Magogoni hashauriki, analoamini yeye ndiyo hilo hiloSasa munaona umuhimu wakuwa na umeme wetu wenyewe? Kesi za kijinga kama hizi huwezi kukutana nazo tena. Kweli Umeme wa Rufiji utakuwa mkombozi kwetu ndo maana upande wa wazungu hawakupenda project hiyo.
Kule Afrika Kusini ndege haiendi tena.
London ndege haiendi tena.
Bado wale jamaa wa Bagamoyo
Bado Symbion mmmmmh
Kweli Mabeberu si mchezo
Ebu kama hujui unacho ongelea ni vema ukaenda kujiandikisha maana unatoa vibweka kwenye mambo yanayo hitaji kutumia weledi
Serkali hawahusiki hapo ufafanuzi mzuri sana
Yalipe yale mafisadi yaliyojificha nyuma ya IPTL
Akizungumzia hukumu hiyo iliyotolewa Oktoba 9, mwaka huu, Dk. Abbasi amesema ameulizwa kuhusu hukumu hiyo, na hivyo amelazimika kutoa ufafanuzi.
“Msingi wa kesi zote mdaiwa siyo serikali wala Tanesco, ni deni la benki dhidi ya IPTL (kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited) walilorithi miaka mingi kutoka kwa wakopeshaji wa Malaysia.
Kwa muktadha huo na kisheria, serikali na Tanesco ziliunganishwa tu kama kanuni za kisheria zinavyomruhusu mdai kuwaunganisha wahusika wengine kwenye kesi ili kupata uhakika kuwa analipwa madai yake," amesema Dk. Abbasi.
“Kwa muktadha huo, natumia fursa hii kuwatoa wasiwasi Watanzania, serikali haidawi, haijawahi kukopa Standard Chartered ya Hong Kong, ila kama Baraza la Usuluhishi lilivyoamua, tutahakikisha tunasimamia utawala wa sheria kwa kuona IPTL wanalipa deni lao,” amesema Dk. Abbasi.
Katika kesi hiyo ya ICSID yenye namba ARB/15/41, benki hiyo ilifungua kesi dhidi ya serikali ikidai kiasi hicho cha fedha kwa kile ilichodai ni kutokana na kukiukwa kwa mkataba wa manunuzi ya umeme uliokuwa umetiwa saini baina yao na pande tatu za mkataba huo.
Benki hiyo ilikuwa ikiwakilishwa na Matthew Weiniger wa QC Linklaters LLP One, Iain Maxwell, Aaron McDonald, Elizabeth Kantor, Harry Ormsby, Gavin Creelman na Herbert Smith wa Freehills LLP, wote kutoka Uingereza.
Hukumu hiyo inaonyesha Serikali ya Tanzania iliwakilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Adelardus Kilangi, Wakili Mkuu wa Serikali, Dk. Clement Mashamba, Beredy Malegesi wa Crax Law Partners, Richard Karumuna Rweyongeza wa R. K. Rweyongeza & Co. Advocates, Galileo Pozzoli, Mark Handley, Profesa Tullio Treves, Luciana Ricart, Irene Petrelli, Renato Treves na Valerio Salvatori Curtis wa Mallet-Prevost, Colt & Mosle LLP.
Chanzo: Nipashe
Mwanasheria Mkuu wa Serikali leo katika mahojiano maalum na TBC amesisitiza kauli ya jana ya Serikali kupitia kwa
Msemaji Mkuu wa Serikali kuwa Serikali haidaiwi na katika uhusiano wa kibiashara kati ya IPTL na Benki ya SCB Hong Kong.
Serikali kama msimamizi wa utekelezaji itaibana kampuni ya IPTL ambayo bado ipo hapa nchini ikiwa na mitambo na raslimali nyingine, ikamilishe deni wanalodaiwa.
Hukumu kwa Kwa kifupi imesema;-
V. The Government of United Republic of Tanzania shall;-
Pay to climant the sum of USD 185,449,440.04 together with interest thereonat the rate of LIBOR (6-Months) +2% from the 1 September 2018until the date of full and final payment and
VI. Bear its own legal costs and expenses
Pia soma
IPTL saga: Tanzania kuilipa Standard Chartered Dola za Kimarekani Milioni 185
Watupe namba ya akauti tuwatumie....tuko vizuri.www.jamiiforums.com
Ilienda mara moja tu ikarudi na abiri wawili!VIPI INDIA BADO INAENDA?
Changanya na zako wewe bwege,unapokeaje maelezo yasiyo na tija kwa mwanasheria wa serikali bila kwanza kutafuta ukweli wa hoja yake?Serkali hawahusiki hapo ufafanuzi mzuri sana
Yalipe yale mafisadi yaliyojificha nyuma ya IPTL
Leta ukumu yote hapa tusome wenyewe.
Sasa munaona umuhimu wakuwa na umeme wetu wenyewe? Kesi za kijinga kama hizi huwezi kukutana nazo tena. Kweli Umeme wa Rufiji utakuwa mkombozi kwetu ndo maana upande wa wazungu hawakupenda project hiyo.
Mhe. Ndo maana akina Sethi na Ruge wapo katika nondo ili wao walipe. Hukumbuki JK alisema ile hela ilikuwa yao? Acheni kupotosha, kazi ya serikali ni kuhakikisha hiyo hela imelipwa. Tatizo lipo wapi?Si kweli, bahati nzuri hukumu tunayo. Imesema kabisa kuwa serikali ya Tanzania kwa kukatisha mkataba.... Go and read!
Toka serekali waliposema pesa za escrow sio za umma na saa hii hawa wengine wanakanusha haya ya IPTL mabaki nacheka tu.
Huyu Dr Hassan Abas ni kama Comical Ali au Mohamed Sared AlSahhaf aliyekuwa Msemaji wa Saddam Hussein wakati wa vita vya ghuba mwaka 2003.
Nchi nzima ilishatekwa mpaka Airport ya Baghdad lakini yeye alikuwa anasema US Marines watakatwa vichwa wote wakitua Iraq na kwamba Saddam bado yuko in control.
Hawa wasemaji tuwahurumie tu, hawaruhusiwi kutumia akili zao. Huyu Dr Abbasi angekuwa na soko kwenye profession yake asingekubali kazi ya kijinga kama hii. Kazi ya kukanusha tu
Kwanini kiongozi mkubwa kama Abbas anawadanganya wasomi tena Wana Sheria jaman?Endelea kujitekenya tu hapo na kucheka mwenyewe.Utakaposikia Ndege imekamatwa ndio wee na wale hamnazo wenzio mtafute ubalozi wa kwenda kufanya fujo..
Punguani.
Kama serikali haidaiwi mbona hukumu inasema Government of the United Republic of Tanzania shall pay Standard Chatterd bank?
Na kama serikali haidaiwi, huyo mwanasheria mkuu wa serikali alienda kufanya nini huko mahakamani?