Serikali yakana hukumu ya kuilipa ESCROW dola Mil 185. Dk. Abbasi asema Serikali haidaiwi

Ukisikia kujimwambafai kifara ndio huku

Watu walisaign on behalf of the government for people's republic of Tanzania

Sasa tutaona. Nani mjanja

Tundu Lisu the greatest
yaan hyo uliemtaja n mmojawapo anaetaka kuipeleka nchi hii kuzmu na maden yatazd kuptahapo
 
Yaani Serikali ya huyu jiwe imekuwa na sifa zote za kibinadamu sasa.. Maana serikali inaongopa, serikali ina roho mbaya, serikali ina husuda, serikali inatapeli, serikali inapora, serikali inaua, inafunga..
Tatzo unaropoka bila kujua


kaa chin ufikilie haya yote yanayotokea kwa kuangalia chanzo

Source ya hayo maden ni utawala upi ukipata majibu sahih uje u comment tena
 
Hivi hili kosa ni la serikali ya awamu hii au iliyopita....mana naona comments zimekaa ki-chuki chuki au kuna wafanyakazi wa standard charted hapa?
 
Hivi hili kosa ni la serikali ya awamu hii au iliyopita....mana naona comments zimekaa ki-chuki chuki au kuna wafanyakazi wa standard charted hapa?
Yaan kuna watu wanacomment bila kuangalia sourc ya tatizo lenyew ndio wanajikuta wanaropoka tu unaeza sema wanatumia tumbo kufikili
 
Naona hoja simewaishia sasa WAPINZANI na CCM WALE wanaishi kwa kuokoteza hoja.

Ahsante Dada Faiza umenifungua macho sasa nimeona.

KUMBE
Malesya waliuza deni kwa Standard Chartered ya Hong Kong, lakini TANESCO wakatoa dhamana kwakua wao ndio walioingia mkataba wa kuuziana umeme na TANESCO na kwakua TANESCO Ni SHIRIKA la serikali wakasema iwapo IPTL watashindwa kulipa serikali italipa..

Hivyo anayedaiwa ni IPTL na kwa kua kashindwa kulipa basi serikali inunue mitambo ya IPTL baada ya kutoa gharama za deni.

Mara paa IPTL wanajikuta Wana go home na 1m.
 
Hivi hili kosa ni la serikali ya awamu hii au iliyopita....mana naona comments zimekaa ki-chuki chuki au kuna wafanyakazi wa standard charted hapa?
Tangu 1961serikali yetu inaongozwa na watu wale wale na kwa sera zile zile kinachobadirika ni majina ya watu , nyakati na aina ya viwanda na propaganda
 
yaan ningekua mm ndio msemaji wa serikali hapa ndio ilikua fursa nzuri ya kuisafisha serikali!

ningeitisha press na kusema, yes hilo ni deni letu!! na ndio maana akina seth na Lugemalila wako jela kwa vile walikula hela za hawa watu mnawaona wanaibuka sahz! sasa msemaji anakuna kusema hatudaiwi?? kwanini mmewaweka ndani akina seth aka Singasinga na Lugemalila???

pumbavu kabisa huyu!!
 
Hukumu inahusu breach of contract sasa alievunja mkataba ni nani
Labda aipitielo wali breach contract kwa serekale kushindwa kutimiza haki na wajibu wake. Hivyo basi serekale inalazimishwa itimize wajibu wake kwa kuilipa benk kwa kuwa mdai wao anadaiwa na benki.

Nadhani aipitielo wameidhinisha malipo kwenda benk moja kwa moja.

Kwa nilivyomuelewa Dokita abby.
 
Hivi kama vile niko kuzimu hivi!! Kipindi kile si walisema LOWASA amewafuata wachawi wa mvua Malaysia kumbe ni gharama kiasi hiki? Bora tugawane haka NA nchi kila mmoja akatiwe kipande chake
 
yaan ningekua mm ndio msemaji wa serikali hapa ndio ilikua fursa nzuri ya kuisafisha serikali!

ningeitisha press na kusema, yes hilo ni deni letu!! na ndio maana akina seth na Lugemalila wako jela kwa vile walikula hela za hawa watu mnawaona wanaibuka sahz! sasa msemaji anakuna kusema hatudaiwi?? kwanini mmewaweka ndani akina seth aka Singasinga na Lugemalila???

pumbavu kabisa huyu!!
Hahahaha, hii ni bonge la point, na wananchi wangewaelewa vzr mno
 
Ukipitia hiyo hukumu na mtiririko wake ni masikitiko tupu; what is wrong with us Africans.

We need business lawyers in this country, baada ya kusoma uzembe kwa upande wa serikari mtu unabaki unajiuliza mikataba serikari inayoingia kwa siri leo yenye maisha ya miaka sijui 99+ kama bandari na gas in 30 years watu watakaokuja kuendesha nchi in that era sijui watakutana na nini humo ndani.

Kilichowazi lazima watakutana na terms za kushangaza sana iliwezekana vipi kuingia makubaliano ya ovyo katika miaka hii nina uhakika ni ovyo kwa sababu hawa watu ata elementary law inawashinda kumbe Singa singa aliomba kwenda kutoa ushahidi mahakama ya huko ikamzuia na hawa wapuuzi hawakuona umuhimu wake.

Like I always said SCHK awakuwafuata IPTL na icho kigezo chao cha ‘security deed’ kwenye mkopo waliochukua na kudai kinawapa uhalali wa umiliki kwa sababu mziki wao ungekuwa tofauti na IPTL walishasema awawatambui kwanini serikari isingetaka kuona huo mzozo unatatuliwa kwanza baina yao kabla ya kiherehere chao; the rest is just pity.

In short ukisoma hukumu you get the idea ni kiasi gani Tanzania maswala ya contract law ilivyotatizo.

Lord have mercy.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom