Ndugu yangu kazi iendelee haimaanishi kwa utawala (administration) style ileile. Au hujaona mabadiliko na kazi inaendelea?pole bi faiza si ndo mnapenda hayamambo... mnasema kazi iendelee etiee 😂 😂
royotuwa ndio nimeiona 😂 😂 😂Ndugu yangu kazi iendelee haimaanishi kwa utawala (administration) style ileile. Au hujaona mabadiliko na kazi inaendelea?
Ndugu yangu kazi iendelee haimaanishi kwa utawala (administration) style ileile. Au hujaona mabadiliko na kazi inaendelea?
Inaaonesha hujamsikiliza Rais Samia wakati wa kupokea ripoti ya CAG.Kwanini hutakaa umsikie Rais Samia anazungumzia Ufisadi wa kwenye ripoti ya CAG
Rais Samia kuzungumzia Ufisadi kwa sasa ni sawa na kwenda against timu yake mpya ambayo imejaaa Wapigaji ambao ni Certfied. Timu yake ukiangalia ni timu ya wapigaji ukianza na Waziri wake wa Pesa, Mpaka Makamu Mwenyekiti wake wa Chama. Bado hujaja kwa mtu kama Rostam yule anapiga then anapotea...www.jamiiforums.com
Naam. Royal Tour mngeielewa maana na faida yake msingeibeza. Lakini tunawahamu, wengi wenu mnaombeza Rais Samia mna chuki zenu za kibaguzi tu, au wakidini au wakikanda. Hakuna zaidi ya hapo.royotuwa ndio nimeiona 😂 😂 😂