Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Na kwa hakika awamu ya tano itakumbukwa kwa Mambo haya na ndio maana wanajitahidi kujenga mamiundo mbinu hata yasiyolipa Leo Wala kesho ili tusiikumbuke kwa ubaya unayoifanya sasaI
Yaani Serikali ya huyu jiwe imekuwa na sifa zote za kibinadamu sasa.. Maana serikali inaongopa, serikali ina roho mbaya, serikali ina husuda, serikali inatapeli, serikali inapora, serikali inaua, inafunga..