Mkuu naomba kueleweshwa. Kwa nini serikali isiongeze hisa zake PUMA ENERGY badala ya kuanzisha kampuni mpya kabisa? Tukumbuke pia serikali yenyewe ni "Regulator" pia.Hiyo ni kampuni imeazishwa itafanya kazi kama kampuni nyingine zinavyofanya kazi.Mbona serikali inamiliki 50% kwenye PUMA Energy hakuna shida kama kuna usimamizi mzuri tuu.Na ikwa inalipa kodi na kutoa gawio kama wengine ni jambo zuri.Kutaleta ushindani kama wengine