Hiyo ni kampuni imeazishwa itafanya kazi kama kampuni nyingine zinavyofanya kazi.Mbona serikali inamiliki 50% kwenye PUMA Energy hakuna shida kama kuna usimamizi mzuri tuu.Na ikwa inalipa kodi na kutoa gawio kama wengine ni jambo zuri.Kutaleta ushindani kama wengine