Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,117
- 16,500
Kila ubongo una ukomo wake wa kufanya kazi. Ulifanya kwa kadiri ya uwezo wako na yeye kafanya kwa kadiri ya uwezo wake. Nawapenda woteUlitumia siku ngapi kufuatilia, wengine tulipoona majina hayapo yanayotuhusu tukaendelea na mishe nyingine

