Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

Serikali yaajiri walimu hewa(?) Ushahidi huu hapa...

Naomba nichangie kama ifuatavyo......
1.Katika mfumo wa uombaji wa hizi ajira hakukuwa na uwezekano wa kufuta akaunti ya kuombea ajira mara baada ya kuifungua.
2.hakukuwa na uwezekano wa kudelete attachment kama vyeti vya sekondari au taaluma iwapo mtumaji anahisi ametuma kwa makosa.
3.mtandao ulikuwa unasumbua sana sana tena zaidi ya sana wakati wa kuomba isipokuwa siku chache kabla ya deadline kutimu.
Hivyo basi waombaji wengi walifungua akaunti zaidi ya moja huku wakiambatanisha document zilezile kwa sababu ya kuweka maombi yao kwa usawa zaidi,kumbuka kuwa hawakuwa na uwezo wa kufuta akaunt wala kufuta uploaded document.
Kubwa zaidi documents zilisumbua saaaaaana tena sana kuzi upload.watu wakatangaziana kufungua akaunt nyingine na zitakubali kisha zikakubali.

Wizara nao hawakuwa makini kwa upande wao wakati wa uchambuzi.
Umechangia upuuzi kajambee ulale nyambafuuu!
 
Mkuu ni masikitiko halafu kuna kitu kingine watu hawajakiona watu waliopata kazi asilimia kubwa ni watu wenye majina ya kanda ya ziwa niko na list kuna majina ya kisukuma zaid ya 500 yanayoonekana ....

Kwa sababu mm natoka uko na majina nayajua
Kama mtu anabisha atafute majina Yale yale 4500 waone maajabu mengine ya Serikali ya CCM na ukabila....
Mnh&hhh&hh Wakuu kwelii!!??

Mbona hii inataka kuwa hataRi kwa USALAMA wa TAIFA.

TUNAOMBA UFAFANUZI TAFADHALI.
 
Yatakuwa makosa tu ya kibinadamu. C watu hawa walofanya io kazi sio malaika, hakika
 
Naomba nichangie kama ifuatavyo......
1.Katika mfumo wa uombaji wa hizi ajira hakukuwa na uwezekano wa kufuta akaunti ya kuombea ajira mara baada ya kuifungua.
2.hakukuwa na uwezekano wa kudelete attachment kama vyeti vya sekondari au taaluma iwapo mtumaji anahisi ametuma kwa makosa.
3.mtandao ulikuwa unasumbua sana sana tena zaidi ya sana wakati wa kuomba isipokuwa siku chache kabla ya deadline kutimu.
Hivyo basi waombaji wengi walifungua akaunti zaidi ya moja huku wakiambatanisha document zilezile kwa sababu ya kuweka maombi yao kwa usawa zaidi,kumbuka kuwa hawakuwa na uwezo wa kufuta akaunt wala kufuta uploaded document.
Kubwa zaidi documents zilisumbua saaaaaana tena sana kuzi upload.watu wakatangaziana kufungua akaunt nyingine na zitakubali kisha zikakubali.

Wizara nao hawakuwa makini kwa upande wao wakati wa uchambuzi.

Daah kwa huo wizara ambayo iko chini ya ofisi ya 'mkuu' mwenyewe imekosa umakini sio?
 
Serikali haiwezi kuajiri wote...kuna private sector ...kuna Taasisi na kuna mataifa ya nje yenye uhitaji
Ni kweli kabisa na ndio maana mka-duplicate majina kwny hio list.
 
Kwa ufuatiliaji huu inabidi uelewe kwa nini jiwe anatamani awe malaika na kuizima mitandao yote ya kijamii.

Kwa ufuatiliaji huu inabidi uelewe kwa nini mtu kajitoa kwenye open government partnership.

Hongera sana mleta uzi
 
Back
Top Bottom