kwani tangu serikali itangaze zimepita siku ngapi kwa unavyodhani????Ulitumia siku ngapi kufuatilia, wengine tulipoona majina hayapo yanayotuhusu tukaendelea na mishe nyingine
Kuna orodha mbili (I.e msingi &sekondari)Mkuu haya majina ni Ajira ya mwaka gani?
Mbona hao walio ajiriwa week iliyopita majina ya A yanaishia 296.
Kuna orodha mbili (I.e msingi &sekondari)
drama za huyu mzee anayependa ututkufu huziweziKatika ajira 4549 zilizotangazwa wiki iliyopita, baadhi ya majina yameajiriwa mara mbili katika vituo viwili tofauti. Ukifatilia katika matokeo yao ya NECTA kwa mwaka husika, unagundua kuwa namba hazikujirudia.
1.Hawa hapa walimaliza F4 mwaka 2010
View attachment 1085322
Matokeo ya NECTA ni namba moja tu
View attachment 1085323
2. Hawa walimaliza F4 2012
View attachment 1085324
Matokeo ya NECTA ni namba moja tu
View attachment 1085325
3. Hawa hapa mmoja alimaliza F4 2011 na mwingine 2015
View attachment 1085328
lakini jambo la kushangaza ni kwamba mwaka 2015 jumla ya idadi ya watahiniwa iliishia 0126 wakati huyu akionekana kuwa na namba 0131.
2011;View attachment 1085329
2015;View attachment 1085330
The Beautyful Ones Are Not Yet Born!
HAPPY MAY DAY!
Nafikiri ni makosa tu yakibinadamu katika uandishi
Pia angalia jina namba 2771 na 2772 ni mtu mmoja na namba mojaKatika ajira 4549 zilizotangazwa wiki iliyopita, baadhi ya majina yameajiriwa mara mbili katika vituo viwili tofauti. Ukifatilia katika matokeo yao ya NECTA kwa mwaka husika, unagundua kuwa namba hazikujirudia.
1.Hawa hapa walimaliza F4 mwaka 2010
View attachment 1085322
Matokeo ya NECTA ni namba moja tu
View attachment 1085323
2. Hawa walimaliza F4 2012
View attachment 1085324
Matokeo ya NECTA ni namba moja tu
View attachment 1085325
3. Hawa hapa mmoja alimaliza F4 2011 na mwingine 2015
View attachment 1085328
lakini jambo la kushangaza ni kwamba mwaka 2015 jumla ya idadi ya watahiniwa iliishia 0126 wakati huyu akionekana kuwa na namba 0131.
2011;View attachment 1085329
2015;View attachment 1085330
The Beautyful Ones Are Not Yet Born!
HAPPY MAY DAY!
Yatakuwa makosa tu ya kibinadamu. C watu hawa walofanya io kazi sio malaika, hakika
Nafikiri ni makosa tu yakibinadamu katika uandishi