VoiceOfReason
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,194
- 1,355
Hakuna pesa za elimu ya bure na afya ya bure
(ni kweli kwa sasa na kwa mtindo huu hizi pesa hazitapatikana, tutaendelea kuwa omba omba mpaka miaka 1000 baada ya uhuru..!!)
Kwa kauli ya Waziri Mkuu mwenyenye Mh. Pinda alisema inachukua 10% tu ya watu kulisha nchi nzima.. (nakubaliana nae 100%) kilimo cha sasa ni efficient sana na kwa kutumia machinery taasisi kama moja au mbili tu zinaweza kulisha nchi nzima na kupata surplus ya kuweza kuuza.
Cha ajabu kinachotokea sasa hiyo 10% itakayolisha nchi tunataka iwe wageni kutoka nje ambao tunawapa ardhi bora kwa kisingizio kwamba watamsaidia mkulima mdogo wakati ukweli ni kwamba mkulima mdogo atakufa, hawa watu wanajali faida tu hata kodi watatumia loopholes kuzikwepa na watahakikisha wanacheza na supply ili demand ibakie kubwa na kusababisha bei zisishuke sana.
Swali langu ni kwamba hivi Serikali haiwezi kuhakikisha kwamba hao10% watakaolisha nchi wasiwe ni state ili kuhakikisha kwamba wanachojali sio profit bali ni service kama (afya na elimu ya bure na kuacha kutembeza bakuli kuwa omba omba) ? Sababu wanachofanya sasa ni kazi ya uuzaji na kuwa madalali. Hivi hii ndio kazi ya serikali kutafuta wawekezaji ?, kwanini wenyewe washindwe kuwekeza..?
Dont get me wrong sikatai uwekezaji ila kwanini baada ya kuzalisha kwa wingi na kwa bei nafuu wawekezaji wasiitwe waje kujenga viwanda vya food processing ili ajira ziongezeke (lakini means of production iwe state owned for the benefit of the people) how much does it cost au how hard is it mpaka serikali ishindwe..?
Please tell me why the government can not do this , na kama ni kweli serikali ipo pale kuzunguka kila mahali na kubembeleza watu waje wajichotee sehemu zetu zenye rutuba wakati kuna mazao yanaoza vijijini kwa kukosa wanunuzi.
Na kama serikali imeshindwa kuwekeza yenyewe labda ipo kwenye kazi ambayo sio yake na wapishe wengine wajaribu na wenyewe waingie kuwa taasisi ya biashara..
Kwa kauli ya Waziri Mkuu mwenyenye Mh. Pinda alisema inachukua 10% tu ya watu kulisha nchi nzima.. (nakubaliana nae 100%) kilimo cha sasa ni efficient sana na kwa kutumia machinery taasisi kama moja au mbili tu zinaweza kulisha nchi nzima na kupata surplus ya kuweza kuuza.
Cha ajabu kinachotokea sasa hiyo 10% itakayolisha nchi tunataka iwe wageni kutoka nje ambao tunawapa ardhi bora kwa kisingizio kwamba watamsaidia mkulima mdogo wakati ukweli ni kwamba mkulima mdogo atakufa, hawa watu wanajali faida tu hata kodi watatumia loopholes kuzikwepa na watahakikisha wanacheza na supply ili demand ibakie kubwa na kusababisha bei zisishuke sana.
Swali langu ni kwamba hivi Serikali haiwezi kuhakikisha kwamba hao10% watakaolisha nchi wasiwe ni state ili kuhakikisha kwamba wanachojali sio profit bali ni service kama (afya na elimu ya bure na kuacha kutembeza bakuli kuwa omba omba) ? Sababu wanachofanya sasa ni kazi ya uuzaji na kuwa madalali. Hivi hii ndio kazi ya serikali kutafuta wawekezaji ?, kwanini wenyewe washindwe kuwekeza..?
Dont get me wrong sikatai uwekezaji ila kwanini baada ya kuzalisha kwa wingi na kwa bei nafuu wawekezaji wasiitwe waje kujenga viwanda vya food processing ili ajira ziongezeke (lakini means of production iwe state owned for the benefit of the people) how much does it cost au how hard is it mpaka serikali ishindwe..?
Please tell me why the government can not do this , na kama ni kweli serikali ipo pale kuzunguka kila mahali na kubembeleza watu waje wajichotee sehemu zetu zenye rutuba wakati kuna mazao yanaoza vijijini kwa kukosa wanunuzi.
Na kama serikali imeshindwa kuwekeza yenyewe labda ipo kwenye kazi ambayo sio yake na wapishe wengine wajaribu na wenyewe waingie kuwa taasisi ya biashara..