Musukuma: Ni aibu kwa Shirika la Serikali kuacha jukumu lake la msingi na kuanza kuuza mkaa wa mafungu

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,107
49,809
Naunga mkono hoja ya Mbunge,ni aibu hii Serikali ambayo haijigunzi Kwa makosa ya awali.Just imagine DaRT imewashinda na inapata hasara, daladala za mtaani zinapata faidia,Sasa kuuza mkaa ndio wataweza?

Watu wa Serikali hasa nyie Wasomi mbuzi mnatakiwa kuelewa kwamba biashara inahitaji msukumo binafsi wa ndani wa mtu ambao huwezi upata kwenye mambo ya Umma.

Wacheni private sector ifanye biashara nyie wezesheni na mchukue Kodi.

Angalia Walianzisha kampuni ya Mafuta TanOil licha ya kupewa mtaji wa bil.100 lakini hiyo kampuni imepata hasara ya bil.20 ,hizi ni akili au upumbavu?

Majitu ya Nchi hii sijui yakoje ,ni hovyo hovyo kabisa Kila sehemu.Inaudhai sana.


View: https://www.instagram.com/reel/C3BPYB9MTs7/?igsh=MWFtaWlucHJxem15eA==
 
Musukuma hajui analosema.Ukiona biashara au huduma haichangamkiwi na sekta binafsi na ni muhimu wananchi waipate Serikali haina budi kuitoa kwa wananchi wake.
 
Musukuma hajui analosema.Ukiona biashara au huduma haichangamkiwi na sekta binafsi na ni muhimu wananchi waipate Serikali haina budi kuitoa kwa wananchi wake.
Dawa ni kumpa Elimu hiyo, ili muda mwingine afikirie kwanza kabla ya kusema.
 
Elimu gani? Umewahi ona wapi Shirika la Serikali likapata faida? Umepewa Hadi mfano Bil.100 unazalisha hasara una akili timamu?
Soma Tena bandiko nililonukuu kisha soma bandiko lako hili nililonukuu. Kisha ujipime unatosha kuingia kwenye dyaba/ ndoo kubwa la matobo ama ambalo halijatobolewa.
 
Back
Top Bottom