Serikali ya Kikwete Imefanya nini 2005-2015...

Serikali ya Kikwete Imefanya nini 2005-2015...

[h=2]Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi atembelea Karakana ya Shirika la Reli Tanzania Mkoani Morogoro[/h]
[COLOR=#29597B !important]Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi Mhe.Mhandisi Dkt Charles Tizeba (MB) leo tarehe 19 Novemba, 2013 alitembele Karakana ya Shirika la Reli Tanzania (TRL) iliyopo Mkoani Morogoro. Naibu Waziri ametembelea karakana hiyo kuangalia maendeleo ya uundwaji upya wa vichwa vya treni ambavyo viko kwenye mpango wa matokeo makubwa sasa kwenye sekta ya Uchukuzi kwa ajili ya kuimarisha usafiri wa Reli nchini.

Treni1.jpg

Treni2.jpg


[/COLOR]
 
Ujenzi wa Daraja la Bahi Dodoma

Bahi1.jpg

Bahi2.jpg
 
[h=2]Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania azindua Uwanja wa Ndege wa Mafia na Gati la Mafia[/h] Mafia1.jpg
Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishuka kwenye Ndege, mara baada ya kuwasili katika kiwanja cha ndege cha Mafia kwa ajili ya uzinduzi wa kiwanja hicho na Gati la Mafia.



Mafia2.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifungua kitambaa kwenye jiwe la msingi la Gati la Mafia kuashiria uzinduzi wa Gati hilo.
 
[h=2]Rais Wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aweka jiwe la msingi la Kiwanja cha Ndege cha Kigoma[/h] Kigoma1.jpg
 
[h=2]kikwete atimiza ahadi ya kujenga daraja la mwanhuzi wilayani meatu[/h] MwaNhuzi.jpg
 
Wacha zako hii barabara ni ya mwaka 2010 kwani
Kimsingi nakubali kwamba amejitahidi kufanya kwa kiasi cha uwezo wake kwani hatuwezi kutarijia mark II kuburuta mabehewa ya treni.Ila kwa haya yanayooneshwa kwa vielelezo vya picha hapa ni maendeleo ya Vitu na siyo maendeleo ya Watu. Tunahitaji kuona maendeleo ya watu badala ya vitu .
1.Je Wakulima maisha yao ya mebadilika?
2.Vipi kuhusu wafugaji hali hii imechangia kuboresha maisha yao na kuondoa migogoro na Wakulima.
3.Je halii hii imepunguza vifo vinavyozuilika vya akina mama na watoto Tanzania.
4.Je raslimali za Taifa zimeshawekwa mikononi mwa wananchi kwa usawa na kwa kadri ya uwezo wa Mwananchi.

Kwa ujumla nadhani alichokifanya ni kumalizia mipango ya wenzake iliyokuwa tayari kwa uwekezaji na akasahau kwamba mipango hiyo ilitakiwa iende sambamba na kuboresha hali ya Maisha ya Mwananchi wa Kawaida.
 
Kimsingi nakubali kwamba amejitahidi kufanya kwa kiasi cha uwezo wake kwani hatuwezi kutarijia mark II kuburuta mabehewa ya treni.Ila kwa haya yanayooneshwa kwa vielelezo vya picha hapa ni maendeleo ya Vitu na siyo maendeleo ya Watu. Tunahitaji kuona maendeleo ya watu badala ya vitu .
1.Je Wakulima maisha yao ya mebadilika?
2.Vipi kuhusu wafugaji hali hii imechangia kuboresha maisha yao na kuondoa migogoro na Wakulima.
3.Je halii hii imepunguza vifo vinavyozuilika vya akina mama na watoto Tanzania.
4.Je raslimali za Taifa zimeshawekwa mikononi mwa wananchi kwa usawa na kwa kadri ya uwezo wa Mwananchi.

Kwa ujumla nadhani alichokifanya ni kumalizia mipango ya wenzake iliyokuwa tayari kwa uwekezaji na akasahau kwamba mipango hiyo ilitakiwa iende sambamba na kuboresha hali ya Maisha ya Mwananchi wa Kawaida.

Unataka uletewe Sinia la ubwabwa nyumbani sio?
 
Unataka uletewe Sinia la ubwabwa nyumbani sio?
Hapana ndugu yangu Annael akisha leta sinia la Ubwabwa nyumbani ndo ata haribu kabisa Mimi mbali na kazi yangu ni mkulima mdogo mdogo.Hali yetu ni mbaya mno tunalima mazao hakuna masoko,Kupeleka watoto shule ni ghali sana na hakuna anayejishughulisha kuboresha masoko na bei za pembejeo ambazo ni kubwa sana hazi randani kabisa na bei ya mazao sokoni.

Huko kijijini tunakotumia muda mrefu ukiugua na kwenda Hospitali ni majanga ndugu yangu mtu ukiumwa tumbo panadol,ukiumwa kichwa panadol na Ukiumwa Jino Panadol,typhod panadol na hata malaria ni hivyohivyo.

Tunachokitaka kukiona ni mazingira ya mkulima kuboreshwa halingumu inayomkabili Mkulima kwa mtu ambaye Muda Mrefu yuko mjini hawezi ifahamu.

Hali yetu kiuchumi(wastani wa mapato) ni mbaya kuliko hata wakati wabarabara mbovu ambapo hata ukiuza gunia moja la Mchele ungeweza kupata fedha ya kujikimu kwa sasa gunia hilo ukiliuza bei yake ni ndogo kuliko miaka mitatu iliyopita.Ungejaribu kulitazama jambo hili kwa upande huo ungenielewa nilikuwa na maanisha nini.

Tunahitaji mipango inayotafsiri sera na kubadilisha maisha yetu basi.Hatuhitaji hisani za takrima ya Sinia la Ubwabwa,Kofia Tshirt,Nyamapori wala Kanga.
 
Ufunguzi wa Jengo la Ghorofa kwa Ajili ya Makazi ya Askari Magereza Mjini Iringa
Mbeya1.jpg

Mbeya2.jpg

 
Hapana ndugu yangu Annael akisha leta sinia la Ubwabwa nyumbani ndo ata haribu kabisa Mimi mbali na kazi yangu ni mkulima mdogo mdogo.Hali yetu ni mbaya mno tunalima mazao hakuna masoko,Kupeleka watoto shule ni ghali sana na hakuna anayejishughulisha kuboresha masoko na bei za pembejeo ambazo ni kubwa sana hazi randani kabisa na bei ya mazao sokoni.

Huko kijijini tunakotumia muda mrefu ukiugua na kwenda Hospitali ni majanga ndugu yangu mtu ukiumwa tumbo panadol,ukiumwa kichwa panadol na Ukiumwa Jino Panadol,typhod panadol na hata malaria ni hivyohivyo.

Tunachokitaka kukiona ni mazingira ya mkulima kuboreshwa halingumu inayomkabili Mkulima kwa mtu ambaye Muda Mrefu yuko mjini hawezi ifahamu.

Hali yetu kiuchumi(wastani wa mapato) ni mbaya kuliko hata wakati wabarabara mbovu ambapo hata ukiuza gunia moja la Mchele ungeweza kupata fedha ya kujikimu kwa sasa gunia hilo ukiliuza bei yake ni ndogo kuliko miaka mitatu iliyopita.Ungejaribu kulitazama jambo hili kwa upande huo ungenielewa nilikuwa na maanisha nini.

Tunahitaji mipango inayotafsiri sera na kubadilisha maisha yetu basi.Hatuhitaji hisani za takrima ya Sinia la Ubwabwa,Kofia Tshirt,Nyamapori wala Kanga.
Nipe jina la kijiji hicho halafu niona kama unasema kweli nikupe data za hapo.
 
Back
Top Bottom