Serikali ya Kijiji yajiuzulu, wahusika waitupia lawama CCM Kata wa Hezya - Mbozi Mkoani Songwe

Serikali ya Kijiji yajiuzulu, wahusika waitupia lawama CCM Kata wa Hezya - Mbozi Mkoani Songwe

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
3,177
Reaction score
7,472


Serikali ya Kijiji cha Namwangwa, Kata ya Hezya Wilayani Mbozi mkoani Songwe ikiongozwa na Mwenyekiti Japhet Mbukwa imeachia madaraka kwa madai ya Mtendaji wa Kata amemkamata na kumshikilia katika ofisi yake kwa madai ya kuwa Mwenyekiti huyo anahifadhi Wakimbizi wanaoharibu mazingira na kumtaka alipe fedha ili aachiwe.

Video: Songwe TV1
 
Hongera mtendaji wa kata wa ccm

Mkuu wa wilaya naye amkamate mtendaji huyo wa ccm

Ccm waendelee kukamatana hivyo hivyo

Kuna Waziri naye kanyanganywa passport

Inapendedeza pale genge la wahuni wanaponyoshana wenyewe Kwa wenyewe
 
20 January 2026
Songwe, Tanzania

SERIKALI YA KIJIJI YAJIUZURU CCM YATUPIWA LAWAMA KATA YA HEZYA MBOZI


View: https://m.youtube.com/watch?v=JoLdIMXPKac
Serikali ya Kijiji cha Namwangwa kata ya Hezya wilayani Mbozi mkoani Songwe ikiongzwa na Mwenyekiti JAPHET MBUKWA imeachia Madaraka kwa Madai ya Mtendaji wa kata kumkamata na kumshikilia kaika ofisi yake kwa madai ya kuwa mwenyekiti huyo anahifadhi wakimbizi wanaoharibu mazingira kwa kuchoma mkaa n.k na kumtaka alipe fedha ili aachiwe
 
Wacha waendelee kunyoshana.Shetani Hana rafiki.🤣🤣🤣🤣😍😍😍
 
Back
Top Bottom