Serikali ya hovyo, Bunge la hovyo na Mahakama ya hovyo. Tumefika hapa kwa CCM kwa kuiba kura na kumlazimisha kuwa rais

Tuliambiwa hapa kazi tu. Imekuwa kinyume. Serikali hii ya Magufuli inaendelea kukopa pesa kwa matumizi yasiyo sahihi, kuna miradi inaendelea kufanywa bila idhini ya hilo bunge dhaifu la Ndugai. Huyu bwana naye amekuwa kichekesho.
Rais amekimbilia Chato wiki ya 7 bila ya maelezo ya kutosha (Kuna wapo wanaojaza mapovu kuwa rais ana haki ya kukaa popote. Mna matatizo ninyi ebu msome katiba inasema nini? Kuna wengine ni watukanaji ambao wapo kwenye payroll ya Polepole, nawataka hao watumie akili kidogo (kama wanazo) tunapojadili hili kwa maslahi ya nchi yetu.

Magufuli amekosa mikutano miwili ya SADC na EAC kujadili mambo muhimu ya kikanda, hatujui sababu. Magufuli hajawahi kwenda UN hata mara moja kwa kipindi alichokaa madarakani, aliyemwakilisha ni waziri asiye na experience yoyote na mahusiano ya kimataifa. Ni mtu wa ovyo anayejua diplomasia ya mitishamba, hakuna anachojua zaidi ya propaganda za levels za ujima.

Atakayesema kuwa hatujakosa lolote kwenye mikutano miwili ya EAC na SADC atakuwa ana shida kichwani, tena kubwa. Madereva wetu wanazuiwa mipakani kwenye nchi zinazotuzunguka, malori yapo mipakani na bidhaa (perishable) zinaendelea kuharibika na wengine ni wagonjwa hawapati matibabu bali wanarudishwa Tanzania kwenda kulundikwa lundikwa huko Amana au Mloganzila na kwenye makambi yasiyo na huduma.

Kwanini Magufuli anaficha namba za wanaougua? Madhara yake yanaeleweka vizuri. Tumekosa fedha za kukinga uchumi kutokana na madhara ya CORONA na kusaidia kuutokomeza ugonjwa wakati majirani zetu wamepewa. UKWELI NI KITU KIZURI SIKU ZOTE huyo Magufuli hajawahi kuwa mkweli.

Kwanini serikali inawazuia hata wafiwa waongelee huu ugonjwa? Je ni taboo kwa Wasukuma kuongelea ugonjwa? Kuna yanayoshangaza ambayo hayaeleweki. Wakati wa msiba wa Jaji Augustino Ramadhani, tuliwaona marais wastaafu wote pamoja na majaji wakuu/kiongozi wastaafu wa Tanzania/Zanzibar wote wakiwa wamevaa Masks, mbona Magufuli hakuonekana? Ana matatizo gani? Tunapaswa tujue kwa sababu sisi ndiyo tunaolipa mshahara wake.

Haya mambo ya kukwepa kwenda mikutano ya SADC, EAC, UN, AU, DAVOS hayaeleweki. Mwanzoni tuliambiwa anaogopa gharama, hizo gharama ni kubwa kiasi gani mbona Kabudi akienda UN anatumia gharama hizo hizo? Kama hata wakiongezeka walinzi watatu kwenye details yake, gharama zake ni kiasi gani? MAGUFULI USITUDANGANYE.
Tatizo kubwa inawezekana ni lugha ya Kiingereza haiwezi hata kidogo (Hizo theses zake sijui ziliandikwaje?) Haya ndiyo mambo ya undugunaizesheni hapo Mlimani yalivyo) Au ni tatizo la kiafya. Maana hatuelewi hivyo lazima tuhisi sababu. Angekuwa anakwenda halafu anatema yai, tungejua hilo si tatizo. Ila kuongea matusi anajua.

Ni rais wa nchi gani ana-control Bunge? Anawapangia cha kufanya, eti kisa Serikali ndiyo inatoa budget. Hajui hilo ni wajibu wa serikali kikatiba, Serikali kukusanya na kugawa budget siyo tija, hata bunge lingeweza kukusanya mapato, vile vile mahakama ingeweza. Magufuli anatumia mwavuli wa kutoa bajeti kwa mahakama na bunge ili kuwapa maelekezo ya kufanya, mmeona anayoyafanya, hakuna mahakama huru, tume huru, bunge huru (Eti spika anatuambia yeye ndiye mwenye uwezo wa kufukuza na kuwavua ubunge wabunge kwa sababu ndiye aliyewaapisha., ameshasahau na yeye ni mbunge na kama spika ana mipaka ya kazi yake....Atakumbukwa kwenye historia kama spika wa ovyo kutokea nchini kwetu)

LINI NCHI HII KUTAKUWA NA HAKI?

Ndugai anafanya analotaka, yeye kazi yake kubwa ni kumfurahisha Magufuli kwa kupokea maagizo yake. Ina maana Magufuli anamsaidia kufikiri na kuendesha Bunge. Hivi rais haoni aibu kusema kuwa "AMELIAGIZA BUNGE" kama ni wizara ya serikali. Au anavyoliagiza mahakama kumaliza kesi haraka ili awape pesa za kumalizia miradi ya kujenga mahakama.

HIVI MAGUFULI ANAELEWA CONCEPT YA 3-PILLARS?

Kama haelewi kwa nini washauri wake hawamueleweshi? Jaji mkuu naye ni mtu mwingine mwenye tatizo na legelege. Nilimshangaa analivyokuwa anakataa suala la Tundu Lissu lisichunguzwe na wachunguzi huru. Tangu lini Jaji mkuu anahangaika na uchunguzi? Kweli anajua kazi yake?

Kama kungekuwa na tume huru tusingepata hilo tatizo la kuwa na rais anayekimbia kimbia hovyo.

MADINI YA UKWELI, YOU HAVE SPOKEN IT ALL, SAFI SANA, 🙏🙏🙏🙏🙏
 
Siwezi kuwa wa hovyo. Siwezi kazi ya urais ndiyo maana sikuiomba, nimebaki mwananchi wa kawaida tu LAKINI anayeelewa anachokifanya. Hivyo huwezi kuni-judge, kama ningekuwa na cheo chochote hata udiwani ungeweza ku-gauge performance yangu lakini siwezi kazi za siasa ILA naamini kuna watanzania wengi wenye uwezo wa kuongoza lakini siyo MAGUFULI. Hana kipawa cha uongozi, huyu ndiye yule akiwa seminari alivunja dirisha la bweni lake.......? Uongozi ni kipawa, angekuwa na kipawa na busara asingevunja dirisha la bweni lake. Nikuulize wewe unaweza kuvunja dirisha au mlango wa sehemu unayoishi?....Kama jibu lako ni ndiyo, tuache hayo mengine....ina maana huogopi mbu na wadudu kuingia chumbani kwako??? Ninaandika na nitasema ukweli siku zote bila kuogopa, kama siyo sahihi una haki ya kuniambia kwamba nilichosema hakina ukweli kama ni kweli basi nitaomba samahani.
Ok...ulichoandika hakina ukweli wowote...ukweli pekee ni kuwa una emotions...
 
Kati ya mambo yaliyonishangaza kwenye maelezo ya Ndugai ni kusema kuwa yeye ndiye mwenye uwezo wa kumfuta ubunge mbunge eti kwa sababu ni yeye ndiye aliyewaapisha. Ni reasoning ya kijinga kabisa.

Hivi Jaji mkuu ana uwezo wa kumfuta kazi Rais kwa sababu ndiye aliyemwapisha Rais?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uzuri ubatizo ni wa wote na hakuna upendeleo wa kigogo wala wa mtaani

especially kipindi hiki cha korona

na mwezi wa kumi anapitishwa kwa kishindo,another 5yrs..

Si 'mlimsukumia huo ulais' what do you expect?
 
Mku mleta mada, naungana nawe asilimia Mia. Utawala huu Ni hatari kwa afya ya Watanzania. Yaani Utawala unaoficha data za wagonjwa na vifo!!!? Utawala unazika watu usiku kuficha takwimu!!!
Kuna tatizo kubwa kuliko tunavyofikiri. Nionavyo mimi Rais ni kama amezira kazi. Hii ni kwa sababu Ni kwa sababu inawezekanaje kwamba katika janga kubwa namna hii, kiongozi wa nchi muhimu katika maziwa makuu anajifungia wakati raia wake wanaonekana Kama Ni watu waliobeba mabomu ya milipuko kupeleka katika nchi nyingine!!! Tunanyanyapaliwa kila kona, si kwa hiyana bali Ni hali halisi.
Binafsi nashindwa kuelewa tatizo lillopo kwenye akili za watawala hawa. WHO wamesema Mambo rahisi Sana ili kupambana ili kupambana na korona. Kwanza wamesema bado hakuna tiba wala chanjo. Pili wametoa vigezo vitatu vya kufuata: kunawa na maji tiririka, kuvaa barajoa na kuweka social distance. Sasa Rais Magufuli na serikali yake hawaelewi nini!!!?
Ajabu Ni kwamba badala ya kutekeleza kikamilifu haya Mambo rahisi wanakuja na theory za ajabu. Mara kaugonjwa kadogo, mara korona ni "futa tu" watu wajifukizie, mara barakoa zina virusi, mara zimepimwa mapapai, mafenesi, kondoo, kwale na mbuzi.
Ukitazama kwa makini hapa Kuna "conspiracy" dhidi ya uhai wa watanzania.
Cha ajabu katikati ya janga hili ukikutana makada wa CCM wanatoa Maelezo ya kusikitisha Sana. Wanasema "Acha wafe, tutakaobaki tutaendeleza nchi!!!"
RAI KWA WATANZANIA:
Tuchukue tahadhari zote stahiki kujikinga na ugonjwa maana upo tena uko chumbani Wala si sebuleni.
Pili tuwatake watawala wetu ana wachukue hatua stahiki au wajiuzulu. Ukichaguluwa kisha ukashindwa kazi, Uungwana Ni kujiuzulu ili wengine waendeleze Vita. Wala si udhaifu Ni ushujaa
Aluta Continua.
Najitahidi kutumia lugha nyepesi:

Anachokifanya Rais ni mauaji. Hili ni kosa la uaji. Unajua hatari ya jambo. Wewe unakimbia, unaenda kujificha, halafu watu wa chini yako unawaambia, hakuna tatizo, tatizo ni dogo sana, endeleeni na kazi. Kwa nini wewe umekimbia?

Kadiri wenzako wanavyoendelea kufa, ndivyo wewe umavyozidi kujificha na kusikilizia wamedondoka wangapi. Kila unapoambiwa idadi ya wanaoendelea kufa, wewe unajificha na kuwaambia watu, 'hakuna anayekufa, endeleeni kuchapa kazi'. Ni nini hiki kama siyo kuwaua watu wako mwenyewe kwa makusudi?

Ni mauaji ya kukusudia. Huwezi kusema hukujua. Unajua hatari iliyopo, ndiyo maana umeamua kukimbia. Unaijua hatari lakini hujali kama wakifa watu wengine, alimradi wewe upo hai.

Jukumu la kwanza la Rais na Serikali yoyote Duniani, ni kuwalinda watu wake. Wa kwetu jukumu lake la kwanza, ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mku mleta mada, naungana nawe asilimia Mia. Utawala huu Ni hatari kwa afya ya Watanzania. Yaani Utawala unaoficha data za wagonjwa na vifo!!!? Utawala unazika watu usiku kuficha takwimu!!!
Kuna tatizo kubwa kuliko tunavyofikiri. Nionavyo mimi Rais ni kama amezira kazi. Hii ni kwa sababu Ni kwa sababu inawezekanaje kwamba katika janga kubwa namna hii, kiongozi wa nchi muhimu katika maziwa makuu anajifungia wakati raia wake wanaonekana Kama Ni watu waliobeba mabomu ya milipuko kupeleka katika nchi nyingine!!! Tunanyanyapaliwa kila kona, si kwa hiyana bali Ni hali halisi.
Binafsi nashindwa kuelewa tatizo lillopo kwenye akili za watawala hawa. WHO wamesema Mambo rahisi Sana ili kupambana ili kupambana na korona. Kwanza wamesema bado hakuna tiba wala chanjo. Pili wametoa vigezo vitatu vya kufuata: kunawa na maji tiririka, kuvaa barajoa na kuweka social distance. Sasa Rais Magufuli na serikali yake hawaelewi nini!!!?
Ajabu Ni kwamba badala ya kutekeleza kikamilifu haya Mambo rahisi wanakuja na theory za ajabu. Mara kaugonjwa kadogo, mara korona ni "futa tu" watu wajifukizie, mara barakoa zina virusi, mara zimepimwa mapapai, mafenesi, kondoo, kwale na mbuzi.
Ukitazama kwa makini hapa Kuna "conspiracy" dhidi ya uhai wa watanzania.
Cha ajabu katikati ya janga hili ukikutana makada wa CCM wanatoa Maelezo ya kusikitisha Sana. Wanasema "Acha wafe, tutakaobaki tutaendeleza nchi!!!"
RAI KWA WATANZANIA:
Tuchukue tahadhari zote stahiki kujikinga na ugonjwa maana upo tena uko chumbani Wala si sebuleni.
Pili tuwatake watawala wetu ana wachukue hatua stahiki au wajiuzulu. Ukichaguluwa kisha ukashindwa kazi, Uungwana Ni kujiuzulu ili wengine waendeleze Vita. Wala si udhaifu Ni ushujaa
Aluta Continua.
Hakuna utamaduni wa kujiuzulu nchi hii, alijiuzulu Mzee Mwinyi peke yake wengine wanalazimishwa sio kwa hiari yao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok...ulichoandika hakina ukweli wowote...ukweli pekee ni kuwa una emotions...
Ni kipi ambachi si cha kweli? Unaweza kukitaja...just outline you don't have to describe.Sina emotions kwa taarifa yako, wapo raia wengi wa nchi hii wenye emotions wanaoendelea kunyanyaswa na hii serikali na pia ambao wamekosa kiongozi, aliyekuwepo ameikimbia IKULU wakati wa janga hili la CORONA. Viongozi wengine duniani wanawafariji wananchi wao na kuweka huduma za afya bora. Huyu wa kwetu ameshakimbia.
 
Najitahidi kutumia lugha nyepesi:

Anachokifanya Rais ni mauaji. Hili ni kosa la uaji. Unajua hatari ya jambo. Wewe unakimbia, unaenda kujificha, halafu watu wa chini yako unawaambia, hakuna tatizo, tatizo ni dogo sana, endeleeni na kazi. Kwa nini wewe umekimbia?

Kadiri wenzako wanavyoendelea kufa, ndivyo wewe umavyozidi kujificha na kusikilizia wamedondoka wangapi. Kila unapoambiwa idadi ya wanaoendelea kufa, wewe unajificha na kuwaambia watu, 'hakuna anayekufa, endeleeni kuchapa kazi'. Ni nini hiki kama siyo kuwaua watu wako mwenyewe kwa makusudi?

Ni mauaji ya kukusudia. Huwezi kusema hukujua. Unajua hatari iliyopo, ndiyo maana umeamua kukimbia. Unaijua hatari lakini hujali kama wakifa watu wengine, alimradi wewe upo hai.

Jukumu la kwanza la Rais na Serikali yoyote Duniani, ni kuwalinda watu wake. Wa kwetu jukumu lake la kwanza, ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Very correct. Na hii ndiyo "Conspiracy" yenyewe dhidi ya wananchi. Rais anajifungia, watu wanakufa huku akiwa ametoa maagizo wasaidizi watoe takwimu zisizoonyesha uhalisia. Tukiuliza wanasema eti takwimu halisi zitasababisha "taharuki."
"TAHARUKI" ni msamiati mpya wa hofu ya watawala wa awamu ya tano. Hofu yao wanaigeuzia kwa Wananchi.
Alipigwa Lisu risasi; wakasema alikuwa anasababisha "taharuki" kwa Wananchi, utafikiri hao Wananchi ni mataahira wanaotaharuki bila kufikiri.
Kwa kweli viongozi wa awamu ya tano ni majanga, na tusipokuwa makini wengi tutakufa kama Inzi wao wakichekelea!!!
 
Tuliambiwa hapa kazi tu. Imekuwa kinyume. Serikali hii ya Magufuli inaendelea kukopa pesa kwa matumizi yasiyo sahihi, kuna miradi inaendelea kufanywa bila idhini ya hilo bunge dhaifu la Ndugai. Huyu bwana naye amekuwa kichekesho.
Rais amekimbilia Chato wiki ya 7 bila ya maelezo ya kutosha (Kuna wapo wanaojaza mapovu kuwa rais ana haki ya kukaa popote. Mna matatizo ninyi ebu msome katiba inasema nini? Kuna wengine ni watukanaji ambao wapo kwenye payroll ya Polepole, nawataka hao watumie akili kidogo (kama wanazo) tunapojadili hili kwa maslahi ya nchi yetu.

Magufuli amekosa mikutano miwili ya SADC na EAC kujadili mambo muhimu ya kikanda, hatujui sababu. Magufuli hajawahi kwenda UN hata mara moja kwa kipindi alichokaa madarakani, aliyemwakilisha ni waziri asiye na experience yoyote na mahusiano ya kimataifa. Ni mtu wa ovyo anayejua diplomasia ya mitishamba, hakuna anachojua zaidi ya propaganda za levels za ujima.

Atakayesema kuwa hatujakosa lolote kwenye mikutano miwili ya EAC na SADC atakuwa ana shida kichwani, tena kubwa. Madereva wetu wanazuiwa mipakani kwenye nchi zinazotuzunguka, malori yapo mipakani na bidhaa (perishable) zinaendelea kuharibika na wengine ni wagonjwa hawapati matibabu bali wanarudishwa Tanzania kwenda kulundikwa lundikwa huko Amana au Mloganzila na kwenye makambi yasiyo na huduma.

Kwanini Magufuli anaficha namba za wanaougua? Madhara yake yanaeleweka vizuri. Tumekosa fedha za kukinga uchumi kutokana na madhara ya CORONA na kusaidia kuutokomeza ugonjwa wakati majirani zetu wamepewa. UKWELI NI KITU KIZURI SIKU ZOTE huyo Magufuli hajawahi kuwa mkweli.

Kwanini serikali inawazuia hata wafiwa waongelee huu ugonjwa? Je ni taboo kwa Wasukuma kuongelea ugonjwa? Kuna yanayoshangaza ambayo hayaeleweki. Wakati wa msiba wa Jaji Augustino Ramadhani, tuliwaona marais wastaafu wote pamoja na majaji wakuu/kiongozi wastaafu wa Tanzania/Zanzibar wote wakiwa wamevaa Masks, mbona Magufuli hakuonekana? Ana matatizo gani? Tunapaswa tujue kwa sababu sisi ndiyo tunaolipa mshahara wake.

Haya mambo ya kukwepa kwenda mikutano ya SADC, EAC, UN, AU, DAVOS hayaeleweki. Mwanzoni tuliambiwa anaogopa gharama, hizo gharama ni kubwa kiasi gani mbona Kabudi akienda UN anatumia gharama hizo hizo? Kama hata wakiongezeka walinzi watatu kwenye details yake, gharama zake ni kiasi gani? MAGUFULI USITUDANGANYE.
Tatizo kubwa inawezekana ni lugha ya Kiingereza haiwezi hata kidogo (Hizo theses zake sijui ziliandikwaje?) Haya ndiyo mambo ya undugunaizesheni hapo Mlimani yalivyo) Au ni tatizo la kiafya. Maana hatuelewi hivyo lazima tuhisi sababu. Angekuwa anakwenda halafu anatema yai, tungejua hilo si tatizo. Ila kuongea matusi anajua.

Ni rais wa nchi gani ana-control Bunge? Anawapangia cha kufanya, eti kisa Serikali ndiyo inatoa budget. Hajui hilo ni wajibu wa serikali kikatiba, Serikali kukusanya na kugawa budget siyo tija, hata bunge lingeweza kukusanya mapato, vile vile mahakama ingeweza. Magufuli anatumia mwavuli wa kutoa bajeti kwa mahakama na bunge ili kuwapa maelekezo ya kufanya, mmeona anayoyafanya, hakuna mahakama huru, tume huru, bunge huru (Eti spika anatuambia yeye ndiye mwenye uwezo wa kufukuza na kuwavua ubunge wabunge kwa sababu ndiye aliyewaapisha., ameshasahau na yeye ni mbunge na kama spika ana mipaka ya kazi yake....Atakumbukwa kwenye historia kama spika wa ovyo kutokea nchini kwetu)

LINI NCHI HII KUTAKUWA NA HAKI?

Ndugai anafanya analotaka, yeye kazi yake kubwa ni kumfurahisha Magufuli kwa kupokea maagizo yake. Ina maana Magufuli anamsaidia kufikiri na kuendesha Bunge. Hivi rais haoni aibu kusema kuwa "AMELIAGIZA BUNGE" kama ni wizara ya serikali. Au anavyoliagiza mahakama kumaliza kesi haraka ili awape pesa za kumalizia miradi ya kujenga mahakama.

HIVI MAGUFULI ANAELEWA CONCEPT YA 3-PILLARS?

Kama haelewi kwa nini washauri wake hawamueleweshi? Jaji mkuu naye ni mtu mwingine mwenye tatizo na legelege. Nilimshangaa analivyokuwa anakataa suala la Tundu Lissu lisichunguzwe na wachunguzi huru. Tangu lini Jaji mkuu anahangaika na uchunguzi? Kweli anajua kazi yake?

Kama kungekuwa na tume huru tusingepata hilo tatizo la kuwa na rais anayekimbia kimbia hovyo.
Da hii Ndo jamii forum,Mkuu umepiga nondo sio za nchi hii
 
Anasoma ingawa anaweza kuweka pamba masikioni!!! Hiivi hawa wazee wa CCM kama wapo wanadhani hii behaviour ya Magufuli ya kutoshirikiana na MARAIS wenzie kuthibiti corona ni NORMAL kweli? Mnataka mtu aweje ndio mje kumsaidia? CCM kama chama kina wajibu wa kutafakali suala hili kwa kina kwa niaba ya watanzania wote. Someone should stand up like a man and be counted within ccm.
Not only within CCM. We should all stand up for our lives and the lives of our children.
Wakuu waliopo miongoni mwetu wakumbuke juu ya ile "Hima Empire theory." Isije ikawa ni moja ya mikakati: "Acha wafe, wapungue, ili Bahima tuwe wengi tuwatawale kirahisi."
 
Sasa si muanzishe selikali yenu pale ufipa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, 'Crimea," hili linatuhusu sote Wala si serikali ya akina fulani ianzishwe. Hivi Ni haki kwako kwamba katikati ya Vita kiongozi mkuu amejificha!!!?
Nikwambie kwamba wakati wa Vita vya kumng'oa Nduli Idd Amin Dada, Mwalimu Nyerere alikuwa miongoni mwetu tena hadi alifika kwenye uwanja wenyewe wa mapambano kule Kyaka. Huyu wenu Mbona anatuchanganyia picha!!?
 
Kama umeona ni pumba kwanini unapoteza muda wako kusoma, sijakulazimisha ufikiri kama mimi, kama una akili toa sababu kwanini huyo Magufuli si tatizo siyo unaropoka usichojua.Jibu kwa pointi ili niweze kukubaliana na pointi zako, haitoshi tu to beat around the bush! Kisiwa cha amani duniani, na hao watu wanaopotezwa? na index ndogo ya happiness katika nchi yetu?.....Upeo wako wa kufikiri ni mdogo.
Usibishane nae huyo polepole atakupotezea tu muda! Tangu akabidhiwe kazi ya kupiga debe akili zake aliziacha kwao!
 
Tuliambiwa hapa kazi tu. Imekuwa kinyume. Serikali hii ya Magufuli inaendelea kukopa pesa kwa matumizi yasiyo sahihi, kuna miradi inaendelea kufanywa bila idhini ya hilo bunge dhaifu la Ndugai. Huyu bwana naye amekuwa kichekesho.
Rais amekimbilia Chato wiki ya 7 bila ya maelezo ya kutosha (Kuna wapo wanaojaza mapovu kuwa rais ana haki ya kukaa popote. Mna matatizo ninyi ebu msome katiba inasema nini? Kuna wengine ni watukanaji ambao wapo kwenye payroll ya Polepole, nawataka hao watumie akili kidogo (kama wanazo) tunapojadili hili kwa maslahi ya nchi yetu.

Magufuli amekosa mikutano miwili ya SADC na EAC kujadili mambo muhimu ya kikanda, hatujui sababu. Magufuli hajawahi kwenda UN hata mara moja kwa kipindi alichokaa madarakani, aliyemwakilisha ni waziri asiye na experience yoyote na mahusiano ya kimataifa. Ni mtu wa ovyo anayejua diplomasia ya mitishamba, hakuna anachojua zaidi ya propaganda za levels za ujima.

Atakayesema kuwa hatujakosa lolote kwenye mikutano miwili ya EAC na SADC atakuwa ana shida kichwani, tena kubwa. Madereva wetu wanazuiwa mipakani kwenye nchi zinazotuzunguka, malori yapo mipakani na bidhaa (perishable) zinaendelea kuharibika na wengine ni wagonjwa hawapati matibabu bali wanarudishwa Tanzania kwenda kulundikwa lundikwa huko Amana au Mloganzila na kwenye makambi yasiyo na huduma.

Kwanini Magufuli anaficha namba za wanaougua? Madhara yake yanaeleweka vizuri. Tumekosa fedha za kukinga uchumi kutokana na madhara ya CORONA na kusaidia kuutokomeza ugonjwa wakati majirani zetu wamepewa. UKWELI NI KITU KIZURI SIKU ZOTE huyo Magufuli hajawahi kuwa mkweli.

Kwanini serikali inawazuia hata wafiwa waongelee huu ugonjwa? Je ni taboo kwa Wasukuma kuongelea ugonjwa? Kuna yanayoshangaza ambayo hayaeleweki. Wakati wa msiba wa Jaji Augustino Ramadhani, tuliwaona marais wastaafu wote pamoja na majaji wakuu/kiongozi wastaafu wa Tanzania/Zanzibar wote wakiwa wamevaa Masks, mbona Magufuli hakuonekana? Ana matatizo gani? Tunapaswa tujue kwa sababu sisi ndiyo tunaolipa mshahara wake.

Haya mambo ya kukwepa kwenda mikutano ya SADC, EAC, UN, AU, DAVOS hayaeleweki. Mwanzoni tuliambiwa anaogopa gharama, hizo gharama ni kubwa kiasi gani mbona Kabudi akienda UN anatumia gharama hizo hizo? Kama hata wakiongezeka walinzi watatu kwenye details yake, gharama zake ni kiasi gani? MAGUFULI USITUDANGANYE.
Tatizo kubwa inawezekana ni lugha ya Kiingereza haiwezi hata kidogo (Hizo theses zake sijui ziliandikwaje?) Haya ndiyo mambo ya undugunaizesheni hapo Mlimani yalivyo) Au ni tatizo la kiafya. Maana hatuelewi hivyo lazima tuhisi sababu. Angekuwa anakwenda halafu anatema yai, tungejua hilo si tatizo. Ila kuongea matusi anajua.

Ni rais wa nchi gani ana-control Bunge? Anawapangia cha kufanya, eti kisa Serikali ndiyo inatoa budget. Hajui hilo ni wajibu wa serikali kikatiba, Serikali kukusanya na kugawa budget siyo tija, hata bunge lingeweza kukusanya mapato, vile vile mahakama ingeweza. Magufuli anatumia mwavuli wa kutoa bajeti kwa mahakama na bunge ili kuwapa maelekezo ya kufanya, mmeona anayoyafanya, hakuna mahakama huru, tume huru, bunge huru (Eti spika anatuambia yeye ndiye mwenye uwezo wa kufukuza na kuwavua ubunge wabunge kwa sababu ndiye aliyewaapisha., ameshasahau na yeye ni mbunge na kama spika ana mipaka ya kazi yake....Atakumbukwa kwenye historia kama spika wa ovyo kutokea nchini kwetu)

LINI NCHI HII KUTAKUWA NA HAKI?

Ndugai anafanya analotaka, yeye kazi yake kubwa ni kumfurahisha Magufuli kwa kupokea maagizo yake. Ina maana Magufuli anamsaidia kufikiri na kuendesha Bunge. Hivi rais haoni aibu kusema kuwa "AMELIAGIZA BUNGE" kama ni wizara ya serikali. Au anavyoliagiza mahakama kumaliza kesi haraka ili awape pesa za kumalizia miradi ya kujenga mahakama.

HIVI MAGUFULI ANAELEWA CONCEPT YA 3-PILLARS?

Kama haelewi kwa nini washauri wake hawamueleweshi? Jaji mkuu naye ni mtu mwingine mwenye tatizo na legelege. Nilimshangaa analivyokuwa anakataa suala la Tundu Lissu lisichunguzwe na wachunguzi huru. Tangu lini Jaji mkuu anahangaika na uchunguzi? Kweli anajua kazi yake?

Kama kungekuwa na tume huru tusingepata hilo tatizo la kuwa na rais anayekimbia kimbia hovyo.
Hizo kura aliibiwa nani?
 
Back
Top Bottom