muafi
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 2,115
- 4,801
Serikali ya CCM chini ya Rais Samia Imeamua kwa makusudi kutuacha watanzania na kuangali maslai yao.
Hali ni mbaya sana mtaani vyakula bei hazishikiki.
Vyakula vinavushwa mipakani na kwenda nje ya nchi sisi hatupati.
Imefika hatua sasa hivi mabwenyenye wananunua mzigo bado upo shambani wanavuna na kupeleka nje ya nchi, Kilimanjaro kuna njaa lakini mahindi yanapitia hapohapo kwenda Kenya.
Sasa hivi unga wa sembe kilo moja 2000 hii haijawai kutokea kabisa.
Mchele 2400 kilo
Serikali ipo kimya tu wao wana hela za kula.
CCM imeamua kutusaliti, sasa hivi sokoni hatuoni mahindi yanatoka kwenye stock yanawekwa kwenye maroli yanavuka boda.
Tukisema hivi wanaona kama tunatania maana wao hali ya mtaani hawaijui.
Sawa bwana.
Hali ni mbaya sana mtaani vyakula bei hazishikiki.
Vyakula vinavushwa mipakani na kwenda nje ya nchi sisi hatupati.
Imefika hatua sasa hivi mabwenyenye wananunua mzigo bado upo shambani wanavuna na kupeleka nje ya nchi, Kilimanjaro kuna njaa lakini mahindi yanapitia hapohapo kwenda Kenya.
Sasa hivi unga wa sembe kilo moja 2000 hii haijawai kutokea kabisa.
Mchele 2400 kilo
Serikali ipo kimya tu wao wana hela za kula.
CCM imeamua kutusaliti, sasa hivi sokoni hatuoni mahindi yanatoka kwenye stock yanawekwa kwenye maroli yanavuka boda.
Tukisema hivi wanaona kama tunatania maana wao hali ya mtaani hawaijui.
Sawa bwana.