ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,556
Huenda kukatokea hata kiongozi mmoja aliyeko bungeni,wizarani na hata mamlaka za juu zaidi atakayeiona post hii basi lipewe uzito na ikibidi liangaliwe upya.
Ushuru wa gari pale bandarini ni mkubwa mno tofauti hata na nchi nyingi tu hata hapa Afrika,hili kwa kweli linatuumiza sana na kuzidisha ugumu wa majukumu yetu
Hebu fikiria kuna mtu alileta nchini Toyota Hilux lililotumika toka south Africa alilouziwa na mzawa kule kwa thamani sawa na Tshs milioni nne,alipofika tz akatakiwa alipe ushuru- kodi ya tshs 18 m,Hili linawezekana vipi?
Ukiachilia mbali hilo,hizi gari toka Japan mtu unafikisha Tanzania kwa milioni saba unakuja ambiwa ulipie ushuru almost sawa na bei ya manunuzi! hili ni tatizo japo inaonekana kama kawaida,
Tunaomba gharama zishuke sasa,sijui katika sheria za kodi kuna pahali pamehalalisha makato hayo makubwa kwa bidhaa ya gari?ni formula au sheria gani inatumiwa na TRA?kuingiza gari nchini ni dhambi?
Kwanini TRA wasikate hata 08% ya bei ya manunuzi?
kwanini gari tu iwekewe kodi ya ajabu? na cha kuvunja moyo nilisikia wabunge mbali ya mishahara mikubwa ya 12 M@mwezi,mbali ya posho za vikao wao wana msamaha wa ushuru wa gari!pengine ndio kisa utetezi haupo kwenye hili hata bungeni.
Tuombe serikali ilitazame upya jambo hili ili nasi watu wenye vipato vya chini tuagize ka usafiri
Maisha yenyewe mafupi.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Ushuru wa gari pale bandarini ni mkubwa mno tofauti hata na nchi nyingi tu hata hapa Afrika,hili kwa kweli linatuumiza sana na kuzidisha ugumu wa majukumu yetu
Hebu fikiria kuna mtu alileta nchini Toyota Hilux lililotumika toka south Africa alilouziwa na mzawa kule kwa thamani sawa na Tshs milioni nne,alipofika tz akatakiwa alipe ushuru- kodi ya tshs 18 m,Hili linawezekana vipi?
Ukiachilia mbali hilo,hizi gari toka Japan mtu unafikisha Tanzania kwa milioni saba unakuja ambiwa ulipie ushuru almost sawa na bei ya manunuzi! hili ni tatizo japo inaonekana kama kawaida,
Tunaomba gharama zishuke sasa,sijui katika sheria za kodi kuna pahali pamehalalisha makato hayo makubwa kwa bidhaa ya gari?ni formula au sheria gani inatumiwa na TRA?kuingiza gari nchini ni dhambi?
Kwanini TRA wasikate hata 08% ya bei ya manunuzi?
kwanini gari tu iwekewe kodi ya ajabu? na cha kuvunja moyo nilisikia wabunge mbali ya mishahara mikubwa ya 12 M@mwezi,mbali ya posho za vikao wao wana msamaha wa ushuru wa gari!pengine ndio kisa utetezi haupo kwenye hili hata bungeni.
Tuombe serikali ilitazame upya jambo hili ili nasi watu wenye vipato vya chini tuagize ka usafiri
Maisha yenyewe mafupi.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app