AbdulKensington
Member
- Oct 21, 2008
- 72
- 6
Ninashauri kwamba serekali iunde tume ya kujadili makosa yaliofanyika ATCL na kuwajibisha wale watendaji waliofanya makosa yaliosababisha mambo yote haya....hii ni aibu!
Ninashauri kwamba serekali iunde tume ya kujadili makosa yaliofanyika ATCL na kuwajibisha wale watendaji waliofanya makosa yaliosababisha mambo yote haya....hii ni aibu!
Lakini wakubwa niwaulize ni kwa nini tunategemea kuwa ni wajibu wa hawa wahujumu kujirekebisha na sio wajibu wetu sisi kuchukua hatua kali zaidi.
Mtu akipewa dhamana ya uongozi, akaleta madudu,ufisadi tunamnyonga. Maana ni wauaji kama wauaji wengine
...walisema kuwa Mattaka was so successful at PPF,na ATC would have been a piece of cake.Well,walisahau kitu kimoja,kuwa PPF alikuwa anakusanya michango ya wanachama,yeye kazi yale ni ku invest tu.Kapewa vyeo vikubwa...Managing Director&CEO. Akaanza kwa kujikopesha Mercedes Benz ML,na kununua ma Land Cruiser VX's toka Dubai.Its obvious kuwa aliingia na mentality ileile alikuwa nayo PPF.Alisahau kuwa ATC ilikuwa kwenye life support,yeye badala yake akaja kuingozea malaria juu! Hapa ndio huwa namkumbuka marehemu Sanare.
Kwa hiyo unakubaliana na jamaa wa Kenya wanaposema kuwa watanzania ni wajinga hawajui kutumia raslimali zao?
Kama kweli watanzania sisi siyo wajinga na wala hatukubaliani na upuuzi huo, je tutakubalina kuingia mitaani kuitaka serikali ituambie hela yetu ya kodi wanaitumiaje kama matokeo yenyewe ni haya. Huoni kuwa zoezi zima la ubinafshijai tangu lianze halijatusaidia watanzania ipasavyo ila faida zote zimekwenda mifukoni mwa viongozi. Pale Kenya wakati waziri alipotaka kujichukulia 2Gcent kwa kuuza hoteli akakabwa koo mpaka akatapika chengi zote? Lakini kwetu sisi jamaa anachukua 2Gcent na kutuficha nchi za nje na sote tunafahamu kabisa nchi nzima lakini bado tunamtetemekea, na hasa pale alipotuchinjia ngombe kila kijiji ndiyo tukasahau kabisa?
Simbamwene, nadhani unamwonea Waziri husika. Angalia vema na utagundua nani haswa wa kubeba lawama hizi!Kwenye hili Waziri wa Miundo Mbinu hatakiwi kujiuzulu?
Tena hawa Precision wamepata fursa ya kufanya watakavyo, labda Community AirLine wajiweke sawa mapema zaidi. Vinginevyo hali ya usafiri wa anga inazidi kuwa tete!