Serikali na Hatima ya ATCL

Serikali na Hatima ya ATCL

It means your airline is not worth flying! It means it is unsecure to fly with your airline, it means that your whole aviation industry is moribund, non functioning!

This is a reflection of country's leadership. We can not even manage damn airplanes?

- Tanzania bwana, mimi nakumbuka zamani Mustafa Nyanga'nyi akisoma habari katika kipindi cha mbiu ya mikoa Radio Tanzania kutoka Kondoa,

sasa eti leo anaweza kusimamia na kuendesha shirika la ndege la taifa na likawa shirika kweli na kukubalika na mataifa?

Wallahi haya maajabu ya Musa!

Mchungaji.. hiyo inaitwa tu put things "as clearly as humanly possible".. Kwa ufupi ni kwamba ATCL sucks! Kinachoshangaza tumeiamba wimbo huu tangu Januari mwaka huu, badala yake wanatuona maadui!! Kwamba tunataka kuwaharibia kazi na kuwatimua.

Ndugu zangu tatizo la ATCL siyo fedha hata kidogo kama vile tatizo la Tanzania yenyewe siyo fedha!


Another sad day for Tanzania.

So we are leasing planes that are just sitting on the runway. How much money is being lost everyday.

And nobody has been held accountable for anything. I really don't know when this country will wake up.


(a) Hii inaonyesha picha nzuri sana jinsi gani tunavyoendesha mambo yetu. Quality, safety, na efficiency ni mambo ambayo hayamo katika utaratibu wetu utendaji kazi. Ni bahati nzuri sana kuwa usafiri wa anga unasimamiwa na chombo cha kimataifa, kama ingekuwa kusingekuwa na IATA ungeona bado air Tanzania ikiwa iko hewani. Tunafanya hivyo katika kila jambo letu: upangaji wa mipango miji yetu, uendeshaji wa shughuli za serikali, usimamizi wa wa ubora wa bidhaa zinazoingia nchini, usimamzi wa mikataba ya aina yoyote ile n.k.

(b) Nikisema kuwa hiyo yote inatokana na Rais wetu kuwa na madaraka makubwa sana, watu hawatanielewa. Hata hivyo ukweli ni kuwa kazi madaraka makubwa yote hapa nchini kwetu ni ya kuteuliwa ama na Rais au na mteule wa Rais, ikiwa ni pamoja na wakuu wa vyuo vikuu vya serikali (State Universities) !!! Dawa mojawapo kusaidia kuondokana na aibu za namna hii ni kumpunguzia rais wetu madaraka na kuhakikisha kuwa tuna tume imara ya utumishi serikalini (civil service commision) ambayo haiogopi kutetemeshwa na wanasiasa. Kuwepo kwa tume ya namna hiyo kutaimarisha sana utawala wa sheria, na vile vile kutahakikisha kuwa watu wanapewa madaraka kulingana na uwezo wao siyo kutokana na majina yao kama hawa akina Nyang'anyi; ni kweli alikuwa anatangaza RTD mwishoni mwa miaka ya sitini na mwanzoni mwa miaka ya sabini.

(c) Kitu kingine ambacho huenda tumewahi kukijadili ni kuhuzu utaratibu wa Rais kuteua Mawaziri kutokana na wabunge. Utaratibu huu umesababisha Bunge lisiwe na makali kwa vile kuna wabunge wanataka waonekane wazuri kwa serikali ili siku moja waukwae uwaziri. Kama Bunge lingekuwa na makali yake ya kikatiba sawasawa, tungeambiwa kwa kina ni kwa nini jamo hili lilitokea na kama utaratibu wa kistaarabu wa kuwajibia, ni lazima Waziri muhusika naye angehusika. Bunge linapokuwa kali, serikali huogopa na kuwa makini katika maamuzi yake.

(d) MWKJJ: Nyerere alisema pesa siyo msingi wa maendeleo. Viongozi wetu wanaabudu sana pesa ndiyo maana wanazunguka dunia nzima kuomba pesa; na wanapopata nafasi wanatuibia hizo hizo pesa (V.G. Cent) Bila pesa huwa hawawezi kufikiri namna nyingine ya kuendesha shirika kwa mafanikio. Hawajui kuwa pesa za kuendeshea bishara hutokana zaidi na mipango ya kibiashara ya kampuni kuliko pesa taslimu zinaazomilikiwa na kampuni hiyo. Kama ATCL ingekuwa na mipango imara ya kuendesha biashara, wasingeshindwa kwenda benki na kupata pesa za kuendesha biashara zao.
 
Sasa wao walikuwa wakurugenzi wa shirika linaloshunghulilkia usafiri wa anga, Na anga yenyewe ndio hiyo wamepigwa marufuku kuitumia, shirika halina biashara nyingine ya kufanya technically na wao ndio hawana shughuli ya kufanya hivyo waondoke tu, labda wazigeuze ndege kufanyia mradi wa kuku na bata mzinga sasa.
 
(a) Hii inaonyesha picha nzuri sana jinsi gani tunavyoendesha mambo yetu. Quality, safety, na efficiency ni mambo ambayo hayamo katika utaratibu wetu utendaji kazi. Ni bahati nzuri sana kuwa usafiri wa anga unasimamiwa na chombo cha kimataifa, kama ingekuwa kusingekuwa na IATA ungeona bado air Tanzania ikiwa iko hewani…

Hapana, Air Tanzania isingekuwa hewani.

Kampuni ya kitaifa (TCAA) ndio haswa lilianza kusitisha usafiri wa anga ndani na nje ya Tanzania kabla ya shirika la kimataifa (IATA.) Kwahiyo hata kama IATA isingetia neno la ku ground ndege zetu, bado Air Tanzania ingekuwa grounded!

I think a little credit to TCAA is appropriate, au?
 
Uthibitisho anaoutaka yeye ni upi?Its simple..Management goofed big time, the board failed to deal with them decisively and in a timely way.As a result ATCL has been grounded.No business means loss to the GOT.

Can we bring derivative suite against the board of directors for the loss the nation as suffered? These folks were to act as our agents with utmost good faith and loyalty as a result they milk ATCL to death.

JK may take is that this is another kind of abuse of power... I know the guys might claim that they are covered with business judgment rule but I am we can prove them wrong ....bring them to book and let embraces the rule of law and good governance
 
Hapana, Air Tanzania isingekuwa hewani.

Kampuni ya kitaifa (TCAA) ndio haswa lilianza kusitisha usafiri wa anga ndani na nje ya Tanzania kabla ya shirika la kimataifa (IATA.) Kwahiyo hata kama IATA isingetia neno la ku ground ndege zetu, bado Air Tanzania ingekuwa grounded!

I think a little credit to TCAA is appropriate, au?



Hapana, Tafuta habari sawasawa ujue TCAA ilianzia wapi hadi kuzuia ATC isiruke hewani; haikuanzia kwao. Kama ulifuatilia hii thread hapa, utagundua kuwa TACL ilikaguliwa na IATA na kugundua makosa zaidi ya 500 ndipo TCAA ikaamua kufuta license yake huku ikijua wazi kabisa kuwa IATA nayo itatoa uamuzi wake siku chache zijazo. Kama TCAA ingekuwa macho vya kutosha isingeacha ATCL ifikishe makosa yote hayo 500!
 
business & finance more in this category!

Atcl acquires two aircraft
daily news reporter
daily news; friday,december 29, 2006 @00:03
air tanzania corporation limited (atcl) has leased two aircraft from celtic corporation based in canada. One of the aircraft, boeing 737, landed in dar es salaam on wednesday night, as officials of the airline described its arrival as `a new dawn` for the troubled firm to move out of the red.

‘‘this step marks the new beginning for air tanzania, and the start of an interim phase on our road to become cash positive and a going concern,’’ said ali mfuruki, chairman of atcl board of directors in a statement.

He said the two aircraft were part of the fleet transition from those owned by the firmís former strategic partner, south african airways (saa).

Mr mfuruki said the newly arrived aircraft was scheduled to begin operations today. The second aircraft was expected in the country within a month, he added.

He said atcl has been able to lease the aircraft following the decision by the government to start re-capitalisation of the troubled airline.

He further said the airline could be turned around into a profitable venture by fleet and network expansion, returning to the air tanzania ticket stock, rebranding and a new it platform.

The 19-year-old planes were being leased for a two year contract at 50,000 us dollars each per month.he said the aircraft have a configuration of 16 passengers in business class and 86 in the economy.

halafu angalia hapa

wrong heading by some of us hacks. Atcl has not acquired new jets. It has just leased them. They are 'mtumba', of course -- boeing 737-200.

According to atcl chairman ali mufuruki, the steps marks a new beginning for air tanzania. He would say that, wouldn't he?

"it gives me great pleasure to welcome you to this important occasion in the life of air tanzania company, as we receive the first two boeing 737-200 aircraft leased from canada's celtic capital corporation.

Fancy name, flowery speeches. But i am not impressed by fancy names. We have just had our noses ground in the dirt by the fancy richmond corporation of the us of a. It turned out to be a dud.g

what chairman ali should do is to avail to the press the little print at the bottom of the deal. So he said bongo will pay 50,000 dollars a month. Question -- is it 50,000 dollars for both planes or a piece.


Because if it is 50,000 dollars for the two 'mitumba' planes then that is cool. But if it is 50,000 dollars a piece then it is a rip-off. My spies tell me the lease price is 30,000 dollars a piece. If chairman ali could get two 'mitumba' 737s then we will hail him for his bargaining skills.

Chairman ali enthused about the future of atcl. "this achievement would be made possible by several steps including a fleet expansion, a network expansion, a return to trading on air tanzania stock, a total rebranding exercise and a new information technology platform."

all the best to atcl. I notice that the press was invited. Perhaps there was some booze and food to welcome the 'new' mitumba. Much back slapping and hand shaking. Still atcl has not told us what happened to the deal with saa.

Chairman ali should tell tanzanians -- are the staff of atcl being paid decently? Because bongo has been getting its priorities very wrong. The real workers, the producers, are paid peanuts while there is a strata in the management team which get all the goodies. That, simply, is exploitation.

I wish atcl the best. And when things do not go well, please inform the people of bongo. It is their corporation. The management should be available just like when they were inaugurating their 'mitumba'.

Don't go hiding around, don't go shielding yourself with nonsensical statements that say "i am not the official spokesman of the company". And don't switch off your cellphones.

mbwene2@yahoo.com

if the hiring is as above then another richmond saga on the making a cool 40,000 usd a month on some peoples pockets.

Ndivyo nchi inavyoliwa na wenye meno makali
 
IF THE HIRING IS AS ABOVE THEN ANOTHER RICHMOND SAGA ON THE MAKING A COOL 40,000 USD A MONTH ON SOME PEOPLES POCKETS.

NDIVYO NCHI INAVYOLIWA NA WENYE MENO MAKALI

What the heck. Mr. President, I think hiyo safisha safisha ya mafisadi safari bado ndefu, naomba sasa hivi elekeza darubini yako kwenye watendaji wakuu wa ATCL pamoja na Bodi yote.
 
Hawa copycats wa logo za watu tuliwaona siku nyingi. Hakuna kitu pale ni changa la macho kuonyesha wanafanya kazi.

Hata walipolaza watu airport hakuna hatua yeyote iliyochukuliwa juu yao...labda this time rais ataelewa hawa sio watu wa kuendesha shirika lile.
 
The spill over... (hivi Keko kuna vyumba vingapi kwa VIPs?) maana kuna orodha karibu ya watu kumi peke yake toka ATCL..wanakuja huko..

Shock for SA tourists (News24)
15/12/2008 22:57 - (SA)


Pretoria - Scores of South Africans and foreign tourists who had planned a holiday on Zanzibar's beaches - or a trip to Kilimanjaro - have had their holiday plans shattered after all Air Tanzania's aircraft were grounded.

Tour operators on Monday feverishly tried to find alternative flights for honeymoon couples and other tourists, but due to the holiday peak season all flights were fully booked.

During the past week the Tanzanian Civic Aviation Authority (TCAA) cancelled the airline's operating licence without further ado after an inspection revealed more than 500 operational gaps.

The International Air Transport Association (Iata) and the TCAA found serious gaps - among other things poor inspection of aircraft and a shortage of pilots and aircraft technicians.

Flights could resume

In terms of the TCAA's declaration, flights were cancelled as a precautionary "but necessary measure to prevent the airline from compromising flight safety".

The TCAA said if the airline met all the requirements, flights could be resumed in two weeks.

Air Tanzania's telephones in Johannesburg remained unanswered and its website was "under construction".

Liesl de Willers of Tribe Safari, who takes between 30 and 50 tourists to Kilimanjaro and Zanzibar every month, said the situation was "chaotic".

Some people were stranded in Tanzania without return flights while she had to try and book flights on other airlines for the stranded people in South Africa.

Only 1Time flies directly to Zanzibar from South Africa.

South African Airways flies to Dar es Salaam. Only Air Tanzania and a few charter planes fly between Dar es Salaam and Arusha, the closest airport to Kilimanjaro, the Serengeti and the Ngorongoro crater.

Robin Christie, CEO of the Association of Southern African Travel Agents (Asata), said it was impossible to say how many people were stranded.

Graham Paterson, 1Time's director of airports and Africa, said the airline had already helped several tourists with flights.
 
The spill over... (hivi Keko kuna vyumba vingapi kwa VIPs?) maana kuna orodha karibu ya watu kumi peke yake toka ATCL..wanakuja huko...


Why double standard kwenye hiyo idara ya magereza? mtuhumiwa anapewa VIP? labda kutengwa kwa sababu za usalama wao lakini hili la VIP, does not sink well into my mind.
 
This is when we need to ask Mheshimiwa tough questions. How can he promote tourism and invite foreign investors when we are failing to run electricity, water, railways, airways and soon roadways?

We know our health and education systems are in shambles. Not only that, most of commercial services and so is the government services are corrupt and full of bureaucracy!

Telll me with everyone getting a clear hi definition picture and ultra stereo sound like FMES sauti ya Umeme about ATC crisis, who with his right mind would like to take a trip to Tanzania?

What is the use to parade taxi cabs in London, New York, Tokyo, Rome, Paris and Berlin while we have nothing to offer?

Should we contract Preceision Air or Kenya Airways to run business on our behalf? guess who will get the revenue?

I curse to the sand that the begging bowl will get bigger next year. With ATCL getting suspended, we may loose at least 50% of our national revenue through tourism!

Mambo Bado....
 
Wakati huo huo KQ inapaa vizuri. This is very frustrating.


Kwa hiyo unakubaliana na jamaa wa Kenya wanaposema kuwa watanzania ni wajinga hawajui kutumia raslimali zao?

Kama kweli watanzania sisi siyo wajinga na wala hatukubaliani na upuuzi huo, je tutakubalina kuingia mitaani kuitaka serikali ituambie hela yetu ya kodi wanaitumiaje kama matokeo yenyewe ni haya. Huoni kuwa zoezi zima la ubinafshijai tangu lianze halijatusaidia watanzania ipasavyo ila faida zote zimekwenda mifukoni mwa viongozi. Pale Kenya wakati waziri alipotaka kujichukulia 2Gcent kwa kuuza hoteli akakabwa koo mpaka akatapika chengi zote? Lakini kwetu sisi jamaa anachukua 2Gcent na kutuficha nchi za nje na sote tunafahamu kabisa nchi nzima lakini bado tunamtetemekea, na hasa pale alipotuchinjia ngombe kila kijiji ndiyo tukasahau kabisa?
 
Lakini kwetu sisi jamaa anachukua 2Gcent na kutuficha nchi za nje na sote tunafahamu kabisa nchi nzima lakini bado tunamtetemekea, na hasa pale alipotuchinjia ngombe kila kijiji ndiyo tukasahau kabisa?

Mwalimu Kichuguu,

Ndivyo tulivyo....mazoea..
 
Me am totally frustrated! Kuna ufisadi mkubwa sana ATCL, hasa kipindi kile inavunjwa ndoa kati ya ATCL na SA. Kuna Binti mmoja Internal Auditor aliyeajiriwa muda si mrefu kutoka kampuni moja reputable ya ukaguzi wa mahesabu then akafichua mambo mengi. Baada ya miezi kadhaa wakamfukuza. Inasemekana binti huyo machachari ambaye anaipenda profession yake alikataa ku-agree to disagree then wakaamua kumfukuza... Yapo mengi sana pale.
 
...walisema kuwa Mattaka was so successful at PPF,na ATC would have been a piece of cake.Well,walisahau kitu kimoja,kuwa PPF alikuwa anakusanya michango ya wanachama,yeye kazi yale ni ku invest tu.Kapewa vyeo vikubwa...Managing Director&CEO. Akaanza kwa kujikopesha Mercedes Benz ML,na kununua ma Land Cruiser VX's toka Dubai.Its obvious kuwa aliingia na mentality ileile alikuwa nayo PPF.Alisahau kuwa ATC ilikuwa kwenye life support,yeye badala yake akaja kuingozea malaria juu! Hapa ndio huwa namkumbuka marehemu Sanare.
 
Kwa hiyo unakubaliana na jamaa wa Kenya wanaposema kuwa watanzania ni wajinga hawajui kutumia raslimali zao?

Kama kweli watanzania sisi siyo wajinga na wala hatukubaliani na upuuzi huo, je tutakubalina kuingia mitaani kuitaka serikali ituambie hela yetu ya kodi wanaitumiaje kama matokeo yenyewe ni haya. Huoni kuwa zoezi zima la ubinafshijai tangu lianze halijatusaidia watanzania ipasavyo ila faida zote zimekwenda mifukoni mwa viongozi. Pale Kenya wakati waziri alipotaka kujichukulia 2Gcent kwa kuuza hoteli akakabwa koo mpaka akatapika chengi zote? Lakini kwetu sisi jamaa anachukua 2Gcent na kutuficha nchi za nje na sote tunafahamu kabisa nchi nzima lakini bado tunamtetemekea, na hasa pale alipotuchinjia ngombe kila kijiji ndiyo tukasahau kabisa?

Napenda sana yule mtaalamu hapa anavyosema "ndivyo tulivyo".

Nadhani the law of the averages stands.

Tunaweza tukawa na watu wenye uelewa mzuri, lakini wengi wetu ndio kama vile. Kwa hivyo ingawa mmoja wetu anaweza akawa hayupo hivyo, on average ndivyo tulivyo.
 
Me am totally frustrated! Kuna ufisadi mkubwa sana ATCL, hasa kipindi kile inavunjwa ndoa kati ya ATCL na SA. Kuna Binti mmoja Internal Auditor aliyeajiriwa muda si mrefu kutoka kampuni moja reputable ya ukaguzi wa mahesabu then akafichua mambo mengi. Baada ya miezi kadhaa wakamfukuza. Inasemekana binti huyo machachari ambaye anaipenda profession yake alikataa ku-agree to disagree then wakaamua kumfukuza... Yapo mengi sana pale.

Usiogope kutaja jina lake kama unalo. Kuwashambulia mabaradhuli kwa upande mmoja inahitajika, na kuwapa heshma yao watu wenye nyoyo safi ni wajibu pia. Hasa ukichukulia kwamba inaonekana watu wenye nyoyo safi are in short supply katika maeneo ya dunia tuliyojikuta tupo.
 
How things fell apart for ATCL

2008-12-14 12:07:59
By Richard Mgamba

Officials seemed to be gathering nails for Air Tanzania`s `coffin` this week, when the ailing airline suspended service amid a mound of safety violations and a mountain of debt.

They dined and wined two years ago, after the end of controversial `partnership` between South African Airways and Air Tanzania Company Ltd, hoping that the move would propel the cash-strapped national carrier to stability and success, but now things seem to have irreparably fallen apart for the state-owned airline.

ATCL`s safety problems are just the latest hitch for the already troubled airline, which for nearly seven years has failed to post any profit, but has accumulated over $30m in losses. But what really went wrong? Can ATCL be rescued financially?


This week sure seemed a long way off from the toast that once christened the partnership between South African Airways and Air Tanzania Company Ltd.

The two companies had celebrated at the time, touting the 2002 buy-in as a breakthrough that would propel the cash-strapped national carrier to stability and success, but now things seem to have irreparably fallen apart for the state-owned airline.

The airline`s failure stings even more given the region`s troubled past in aviation - ATC was only established 30 years ago after the East African Airways, which operated under the umbrella of the collapsed East African Community, had itself folded.

While its counterpart Kenya Airways (KQ) has beaten the odds to become one of Africa\'s biggest airlines, under the slogan of `the proud of Africa`, ATCL seems to have survived only to illustrate the poor management of state-owned corporate entities and the lack of business skills within most African governments.

ATCL`s safety problems are the latest hitch for the already troubled airline, whose profits and reputation have been compromised in recent months by a lack of proper strategic planning and recurrent financial woes.

Since June, ATCL has lost about 60 per cent of its market share in both domestic and regional routes, with routes between Dar es Salaam and Mwanza and Johannesburg plagued with cancellations.

In June the airline had five planes in its fleet of Boeing 737-200s, Air Buses and DC 9s, but by the end of last month only two were operating.

ATC was formed in 1977 and privatised in February 2002 under the government`s Presidential Parastatal Sector Reform Commission (PSRC).

Air Tanzania Company Limited (ATCL), a limited liability company, was established under the Companies Act to take over the operating assets, and specified rights and liabilities of ATC, as well as the creation of a new company, Air Tanzania Holding Company (ATHCO), to take over the non-operating assets and all other liabilities of ATC.

South African Airways was the winning bidder and in December 2002, after signing an agreement with the government, it bought a 49 per cent stake in ATC for $20m - $10m as the value of the shares and the remaining $10m for the Capital and Training Account for financing its proposed business plan.

SAA planned to create its East African hub in Dar es Salaam to form a ``Golden Triangle`` between Southern, Eastern and Western Africa. It had also intended to replace ATC`s fleet with Boeing 737-800s, 737-400s and 767-300s.

But after four years of partnership the plan had stalled in its tracks, and the two airlines parted ways in 2006.

In March of that year, the government announced that ATCL had accumulated a loss of 24.7bn/- over the four years, casting a bleak future on the nation`s carrier.

Things only gotten worse from there, as ATCL has failed to post profit over the past two years, nor has it been able to raise itself out of debt or reshuffle its management for better results.

No cash, no business plan

According to an investigation conducted by The Guardian on Sunday, ATCL`s total collapse can be attributed in large part to a lack of a proper business plan and a feasibility study on where the airline planned to head after parting with SAA.

Inside sources say the lack of cash to operate it as well as failure to meet the safety regulations set by both local and international regulators have also sunk the airline deeper in the hole.

Despite the government`s pledge to revive ATCL with a multi-billion shilling bailout, nearly 25 months since its partnership with SAA ended the state has failed to honour its pledge.

According to ATCL Chief Executive Officer David Mattaka, the government had promised, among other things, to cover the 3.5bn/- fuel debt accumulated during the SAA-ATCL partnership, but none of that money has been allocated thus far, forcing the airline to spend part of its modest income to service the debt.

The government also promised to inject cash as operational capital to empower the airline to lease and buy medium- and long-range fleets that would have been used to operate both regional and international routes.

But according to details made available to The Guardian on Sunday, the pledge wasn't fully honoured by the government, and the once prosperous airline - which in the early '80s operated Dar-London, Dar-United Emirates routes in addition to its regional and domestic routes - continued to flounder.

Though on Thursday Mattaka praised the government for its support - contradicting his earlier remarks that the airline `was left an orphan` by the government - available details show that the state has yet to fully commit to bailing out the ailing airline.

As a result, this week the company failed to buy the 5.5 tonnes of jet fuel needed to fly its Boeing 737-200 from Mwanza to Dar es Salaam.

The plane had been grounded for the past two months due to technical problems discovered in the takeoff stage, but after the company's engineers managed to repair the engine, the plane still could not fly to Dar es Salaam due to lack of jet fuel.

The airline`s main supplier BP Ltd refused to give ATCL the fuel on loan.

It costs about $1,300 (1.56m/-) for a tonne of jet fuel, according to data from BP Ltd made available to The Guardian on Sunday this week.

``If the company has even failed to buy 5.5 tonnes of fuel for its plane due to financial problems, what else do you want to prove that it has gone bankrupt?`` asked a senior official from ATCL headquarters this week.

The cost of poor planning?
While the airline has been gunning for a government bailout, inside sources told The Guardian on Sunday that since it took over about two years ago, the new management has failed to come up with a comprehensive business plan backed by credible feasibility study.

As a result the company went ahead and leased an older Air Bus plane A320, whose operation costs proved to be yet another burden to the company.

ATCL leased the 156-passenger plane from a Liberian-registered company called Wallis Aviation Services at a staggering $370,000 per month.

The A320, manufactured in 1997, was previously operated by Air Jamaica before it was abandoned two years ago due to rising fuel costs.

ATCL, which for the past three decades has operated Boeing planes almost exclusively, turned suddenly to Air Bus without having its own crews and engineers to man the plane.

``All of the pilots and engineers were trained to man a Boeing 737-200. The decision to operate Air Bus was taken blindly for questionable reasons and it has cost us dearly,`` an ATCL official who requested anonymity told The Guardian on Sunday.

The official went on, ``We have built our reputation in the region on having the best engineers and pilots, who were trained at high cost to man the Boeing 737-200...but suddenly the airline, without trained crews, was forced to operate an Air Bus.``

According to details made available to The Guardian on Sunday, ATCL was forced to hire international crews to man the leased plane, which has been operating regional and domestic routes for the past six months.

ATCL also entered into a maintenance agreement with Air Mauritius in order to allow the latter to provide technical services for the leased A320, contributing to the plane`s $800,000 monthly operational costs.

At this cost, critics of the project doubt that ATCL has any chance of breaking even this year, considering the high fuel costs seen over the past 36 months. Fuel consumes nearly 60 percent of the airlines\' operation costs.

While other regional players like South African Airways and Kenya Airways abandoned Air Bus fleets recently, citing higher operation costs, ATCL decided to do the opposite, raising concern on the management`s judgment.

ATCL`s CEO dismissed the criticisms of the company\'s decision to lease the A320, which he said was a decision backed with facts and reality.``

``People just think that a plane is acquired easily like buying a car or motorbike,`` Mattaka said. ``It is a very complicated process that involves months of negotiations as well as the safety inspection of the earmarked fleet.``

Ignored experts?
Some aviation experts inside the troubled airline had earlier advised ATCL management to instead acquire a Boeing 737-300, which consumes 15 percent less fuel than an A320 but has a lower carriage capacity of 128 passengers.

To start with, the 737-300 would have been suitable to operate regional and domestic routes, considering the current business nature of ATCL, a senior official from the company told The Guardian on Sunday this week.
The two aircrafts have similar types of engines but the 737-300 has less power than the A320.

Since ATCL has already been operating the Boeing 737-200, it would have been cheap and easy for the latter to adjust to the 737-300 in terms of training and developing the same calibre of pilots and engineers familiar with Boeing technology.

``The Boeing 737-300 was available at $250,000 but the management abandoned the plan under the claims that the A320 was cheaper to operate,`` the senior official said. ``Time has proved them wrong.``

Experts say leasing and operating the 156-seat A320 on the Dar-Mwanza and Dar-Johannesburg routes wasn`t an economically viable decision based on the availability of passengers and cargo.

The Dar-Mwanza route for instance has an average of 70 passengers per trip, though during the high season the number can reach 100, whereas the Johannesburg-Dar es Salaam route has a minimum of 90 passengers with figures picking up to about 120 during peak seasons.

Defended its decision
But while announcing its move to acquire the Air Bus A320, the then minister for infrastructure defended the move saying that the proposed plane was economically viable because of its modest fuel consumption.

Doing a comparison with what ATCL was spending on fuel to operate its 737-200, the former minister said it was the right decision to make the switch from Boeing to Air Bus, in order to position the company in a competitive direction.

However, experts further came out saying it was unfair to compare the A320 with the 737-200 because the two planes have different carriage capacity, engine configuration and technical specifications.
 
Back
Top Bottom