Pundamilia07
JF-Expert Member
- Oct 29, 2007
- 1,439
- 53
ATCL gets lease to fly again
CHALES KIZIGHA
Daily News; Friday,September 12, 2008 @00:04
The financially troubled Air Tanzania Corporation Limited (ATCL) might soon get a loan amounting to some seven billion shillings from an international bank all guaranteed by the government, it has been learnt. Impeccable sources close to the national flag carrier claimed yesterday that CITI Bank was looking into the airlines request for a loan amounting to some 7.1bn/-.
Air Tanzania had approached several banks for such credit the CITI Bank has agreed to look into its request and chances are things will work out positively, the sources said. The sources also indicated that the airline needed the money to pay for staff salaries and administrative costs, among others. However, the sources claimed that the airlines request for the money had since been rejected, and that the airline can no longer meet its mandatory operational costs such as fuel.
The airline has been experiencing financial problems since 2004 when it incurred a loss of some 7.7bn/-, which improved somewhat when it broke its troubled marriage with the South African Airlines in late 2006. According to Treasury records, it held some 13bn/- by March last year. Some of the workers who did not want their names to be disclosed said the morale of the majority of the workforce has gone down because the company was nosing down.
The government has not kept its word on giving ATCL full support it has not done so since we parted company with the South Africans, they allege. ATCL, formerly known as Air Tanzania Corporation (ATC) was privatized on December 2, 2002 in a deal under which SAA acquired 49 per cent shares in the firm. SAA bought the 49 per cent shares for only $20m which largely went into shareholding the rest going into capital and training accounts.
Ndugu Wadau,
Ndani ya wiki mbili hivi tumesikia serikali na ATC wakitoa taarifa mbalimbali na nyingine zikikinzana juu ya hali inavyoendelea ndani ya ATC.
Sichelei kurudia tena na tena, maoni mengi mbayo yamekuwa yakitolewa kupitia kwa wadau mbalimbali na hata kwenye forum hii kwamba yasipuuzwe katu. Sehemu kubwa ya ushauri ambao umekwishatolewa, unatoka kwa watu ambao wako independent na maslahi yao kwa ATC ni chombo chao cha umma na walipa kodi tu.
Hadi wakati huu sijasikia taarifa kamili toka kwa serikali ambayo tayari imekwishaelezea ni kiasi gani cha fedha ambacho imekwisha toa kwa ATC wakati wa mtafaruku na SAA na vilevile kiasi ambacho pia kimekwishatolewa baada ya SAA kujitoa. Nilimsoma Waziri Shukuru akiongea mbele ya bunge kuwa serikali haiwezi kuitupa ATC na zaidi ya hapo itahakikisha kuwa inaendelea kuwepo.
Sawa, sina tatizo na kauli zake, lakini mambo ya kujiuliza hiyo ATC ambayo serikali inataka iwepo ni ATC gani? Ni ATC hii ambayo itakuwa inapewa mabilioni ya walipa kodi bila ya kupiga hatua? je ni kuwa serikali haioni tatizo la msingi liko wapi? Ni vema serikali nayo na watoa maamuzi wengine wakasema 'siasa sasa basi tufanye maamuzi kisayansi' na kwa haraka.
Mabadiliko ya uongozi ndani ya ATC ni lazima ili kuweza kunusuru hali iliyopo na kufikia azma ya serikali ya kuona ATC inasimama yenyewe bila ya kudai pesa za walipa kodi.
Fedha ambayo tayari ATC imekwishapatiwa nina hakika kuwa ni nyingi na ingeratibiwa vizuri kwa maana kungekuwa na uongozi madhubuti basi hali isingekuwa kama ambavyo ilivyo sasa.
Niwahakikishia wasomaji wote hapa kuwa pesa ambazo serikali inatoa kwa ATC hazitaweza kulikwamua Shirika hilo hapo lilipo endapo hakuta kuwa na uongozi wenye uwezo wa kupanga mikakati mizuri ya kibiashara(Corporate Business Plan) inayotekelezeka na kuisimamia.
Ninaishauri serikali kuwa ifanye mabadilko ya haraka ikiwezekana ikodishe menejimenti ambayo itapewa jukumu la kuindoa ATC hapo ilipo na kuiweka katika hali nzuri na inayoeleweka. Nina uhakika kabisa utaalamu na ari ya kufanya kazi waliyonayo wafanyakazi wa ATC itaunganishwa na kutumiwa vizuri na menejimenti ambayo inaelewa ni nini kinatakiwa kufanyika kwa wakati huu.
Mwisho, ni vema Bodi ya ATC ikachapisha taarifa za Mahesabu ya Kampuni ambayo yamekwishakaguliwa ili wananchi na wadau wengine waweze kuona na kujua hali halisi jinsi ilivyo katika ATC. Taarifa za mahesabu siyo siri tena katika ulimwengu wa leo.
CHALES KIZIGHA
Daily News; Friday,September 12, 2008 @00:04
The financially troubled Air Tanzania Corporation Limited (ATCL) might soon get a loan amounting to some seven billion shillings from an international bank all guaranteed by the government, it has been learnt. Impeccable sources close to the national flag carrier claimed yesterday that CITI Bank was looking into the airlines request for a loan amounting to some 7.1bn/-.
Air Tanzania had approached several banks for such credit the CITI Bank has agreed to look into its request and chances are things will work out positively, the sources said. The sources also indicated that the airline needed the money to pay for staff salaries and administrative costs, among others. However, the sources claimed that the airlines request for the money had since been rejected, and that the airline can no longer meet its mandatory operational costs such as fuel.
The airline has been experiencing financial problems since 2004 when it incurred a loss of some 7.7bn/-, which improved somewhat when it broke its troubled marriage with the South African Airlines in late 2006. According to Treasury records, it held some 13bn/- by March last year. Some of the workers who did not want their names to be disclosed said the morale of the majority of the workforce has gone down because the company was nosing down.
The government has not kept its word on giving ATCL full support it has not done so since we parted company with the South Africans, they allege. ATCL, formerly known as Air Tanzania Corporation (ATC) was privatized on December 2, 2002 in a deal under which SAA acquired 49 per cent shares in the firm. SAA bought the 49 per cent shares for only $20m which largely went into shareholding the rest going into capital and training accounts.
Ndugu Wadau,
Ndani ya wiki mbili hivi tumesikia serikali na ATC wakitoa taarifa mbalimbali na nyingine zikikinzana juu ya hali inavyoendelea ndani ya ATC.
Sichelei kurudia tena na tena, maoni mengi mbayo yamekuwa yakitolewa kupitia kwa wadau mbalimbali na hata kwenye forum hii kwamba yasipuuzwe katu. Sehemu kubwa ya ushauri ambao umekwishatolewa, unatoka kwa watu ambao wako independent na maslahi yao kwa ATC ni chombo chao cha umma na walipa kodi tu.
Hadi wakati huu sijasikia taarifa kamili toka kwa serikali ambayo tayari imekwishaelezea ni kiasi gani cha fedha ambacho imekwisha toa kwa ATC wakati wa mtafaruku na SAA na vilevile kiasi ambacho pia kimekwishatolewa baada ya SAA kujitoa. Nilimsoma Waziri Shukuru akiongea mbele ya bunge kuwa serikali haiwezi kuitupa ATC na zaidi ya hapo itahakikisha kuwa inaendelea kuwepo.
Sawa, sina tatizo na kauli zake, lakini mambo ya kujiuliza hiyo ATC ambayo serikali inataka iwepo ni ATC gani? Ni ATC hii ambayo itakuwa inapewa mabilioni ya walipa kodi bila ya kupiga hatua? je ni kuwa serikali haioni tatizo la msingi liko wapi? Ni vema serikali nayo na watoa maamuzi wengine wakasema 'siasa sasa basi tufanye maamuzi kisayansi' na kwa haraka.
Mabadiliko ya uongozi ndani ya ATC ni lazima ili kuweza kunusuru hali iliyopo na kufikia azma ya serikali ya kuona ATC inasimama yenyewe bila ya kudai pesa za walipa kodi.
Fedha ambayo tayari ATC imekwishapatiwa nina hakika kuwa ni nyingi na ingeratibiwa vizuri kwa maana kungekuwa na uongozi madhubuti basi hali isingekuwa kama ambavyo ilivyo sasa.
Niwahakikishia wasomaji wote hapa kuwa pesa ambazo serikali inatoa kwa ATC hazitaweza kulikwamua Shirika hilo hapo lilipo endapo hakuta kuwa na uongozi wenye uwezo wa kupanga mikakati mizuri ya kibiashara(Corporate Business Plan) inayotekelezeka na kuisimamia.
Ninaishauri serikali kuwa ifanye mabadilko ya haraka ikiwezekana ikodishe menejimenti ambayo itapewa jukumu la kuindoa ATC hapo ilipo na kuiweka katika hali nzuri na inayoeleweka. Nina uhakika kabisa utaalamu na ari ya kufanya kazi waliyonayo wafanyakazi wa ATC itaunganishwa na kutumiwa vizuri na menejimenti ambayo inaelewa ni nini kinatakiwa kufanyika kwa wakati huu.
Mwisho, ni vema Bodi ya ATC ikachapisha taarifa za Mahesabu ya Kampuni ambayo yamekwishakaguliwa ili wananchi na wadau wengine waweze kuona na kujua hali halisi jinsi ilivyo katika ATC. Taarifa za mahesabu siyo siri tena katika ulimwengu wa leo.
Last edited by a moderator: