mkadiriaji majenzi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2023
- 260
- 559
Habari wana jamvi.
Nina wiki apa Nachingwea mkoa wa Lindi lakini ni kama tunaishi Gizani umeme unakatika kila siku tena kwa masaa 10 na zaidi.
Ila Wenyeji wanasema ni kawaida na wameshazoea.
Mfano jana umeme umekatika saa 9 mchana umerudi leo saa 5 Asubuhi.
Kwetu Kaskazini huu ujinga sijawahi kuuona.
Nina wiki apa Nachingwea mkoa wa Lindi lakini ni kama tunaishi Gizani umeme unakatika kila siku tena kwa masaa 10 na zaidi.
Ila Wenyeji wanasema ni kawaida na wameshazoea.
Mfano jana umeme umekatika saa 9 mchana umerudi leo saa 5 Asubuhi.
Kwetu Kaskazini huu ujinga sijawahi kuuona.