Ukweli ni kwamba TANESCO wanakera kama inavyokera timu yetu ya Taifa

Wazolee

JF-Expert Member
Sep 1, 2018
2,701
3,090
Tanesco kadiri siku zinavyokwenda ndio wanazidi kuwa sugu Yani Sasa hivi wanakata kata tu umeme bila ya sababu yoyote

Nesema bila ya sababu yoyote Kwa sababu sisi kama wateja wao hawajatuambia chochote Kwa Nini wanakata kata umeme

Yani Kwa Sasa huku kwetu umeme kuwaka ni kama bahati mbaya ila Giza ndio kawaida

Hata siku kama ndio upo huo umeme unakatika katika zaidi ya mara 10 Kwa siku

Hapa sahizi tokea liingie Giza Yani Kwa hi nusu saa umekatika na kuwaka mara 3 na hivi Sasa umekatika tena sijui utawaka saa ngapi

Ni kitu gani kinasababisha hivi Je!

Transformer mbovu na wameshindwa kuzitengeneza?

Waya zinalegea na wameshindwa kuzikaza?

Nguzo zimeoza Kila siku zinaanguka na wao hawana nguzo zingine ?

Maana haiwezekani Kila siku umeme unakatika katika Ina maana wameshindwa kuutibu hilo tatizo na sidhani kama Kuna tatizo katika umeme la kiufundi Tanesco wakashindwa kulitibu Kwa mwezi mzima ila huu ni uzembe na hakuna kiongozi wanayemuogopa

Eneo ni Chamazi

R.I.P Magufuli
Ndio kiongozi pekee uliyeweza kuiongoza hi nchi
 
Andiko zuri Mkuu! Badili tu kichwa Cha habari yako, hawa Tanesco ni janga la Taifa, kuna Watu wamefilisika kutokana na tatizo hili la Umeme, Biashara zimekufa kwa sababu Biashara hizo zinategemea Umeme wa uhakika ambao haupo kwa sasa.
 
Leo tumepewa ratiba mpya ya mgao utakaoanza saa 1 kamili asubuhi mpaka saa 1 kamili usiku kila siku.
 
Leo tumepewa ratiba mpya ya mgao utakaoanza saa 1 kamili asubuhi mpaka saa 1 kamili usiku kila siku.
Mkuu ebu weka hiyo ratiba tuone kama itakuwa kweli. Maana huu unaoendelea hata siyo mgao ni katakata tu. Na uchumi ulivyo, wanaonunua jenereta hata hawapo. Maana wenye bishara kubwa wengi tayari wanazo.
 
Tanesco kadiri siku zinavyokwenda ndio wanazidi kuwa sugu Yani Sasa hivi wanakata kata tu umeme bila ya sababu yoyote

Nesema bila ya sababu yoyote Kwa sababu sisi kama wateja wao hawajatuambia chochote Kwa Nini wanakata kata umeme

Yani Kwa Sasa huku kwetu umeme kuwaka ni kama bahati mbaya ila Giza ndio kawaida

Hata siku kama ndio upo huo umeme unakatika katika zaidi ya mara 10 Kwa siku

Hapa sahizi tokea liingie Giza Yani Kwa hi nusu saa umekatika na kuwaka mara 3 na hivi Sasa umekatika tena sijui utawaka saa ngapi

Ni kitu gani kinasababisha hivi Je!

Transformer mbovu na wameshindwa kuzitengeneza?

Waya zinalegea na wameshindwa kuzikaza?

Nguzo zimeoza Kila siku zinaanguka na wao hawana nguzo zingine ?

Maana haiwezekani Kila siku umeme unakatika katika Ina maana wameshindwa kuutibu hilo tatizo na sidhani kama Kuna tatizo katika umeme la kiufundi Tanesco wakashindwa kulitibu Kwa mwezi mzima ila huu ni uzembe na hakuna kiongozi wanayemuogopa

Eneo ni Chamazi

R.I.P Magufuli
Ndio kiongozi pekee uliyeweza kuiongoza hi nchi
Inaonekana ni nchi nzima wanavyokata.

Sielewi tatizo ni kitu gani maana sidhani kama wametoa taarifa rasmi. Zaidi nilisikia kwenye taarifa ya habari majuzi wakisema kule Tanga kuna hitilafu ambayo imechangia umeme kutokuingizwa kwenye grid ya Taifa.

Nchi hii bora liende tu hakuna lolote.
 

Attachments

  • Screenshot_20240123-095239_Document Viewer.jpg
    Screenshot_20240123-095239_Document Viewer.jpg
    77.7 KB · Views: 2
Na CHADEMA Baada Ya Kuandama Mambo Ya Maan Kama Hay Ya Umeme Na Sukar Wao Wanapambania Mtumbo Yao Halafa Wanataka Muwaunge Mkono Kweny Maslah Yao Fumbafu
 
Back
Top Bottom